Kuna uwezekano wa Mungu kuwa na nguvu sawa kitu alichokiumba (shetani)?

Kuna uwezekano wa Mungu kuwa na nguvu sawa kitu alichokiumba (shetani)?

Kwanza kuna vitu inaonekana umevielewa vibaya.
Moja ni asili ya Ibilisi, Ibilisi sio malaika alie asi, Sifa ya malaika hawezi kuasi kwa sababu hawana uhiari wa kufanya mambo(willing) bali hufanya kadri wanavyoelekezwa na Mungu.
Viumbe wenye sifa ya uhiari ni binadamu na majini, Ibilisi ni katika majini. Ningekueleza asili yake kwa undani ila time is very limited kwa sasa.
Unaposema shetani ni sifa na sio kiumbe kwa maana kila chenye kuasi kati ya mwanadamu au majini hupewa sifa hii ya shetani japokuwa wengi umkusudia Ibilisi kama shetani.
Kuhusu Mungu kuzidiwa na kiumbe alichokiumba nadhani umeshajijibu kwenye maelezo yako kwamba Mungu akawa wabadilishia lugha watu wa Babeli hii inaonyesha Mungu ana nguvu kuwazidi ndio maana akaweza kuwabadilishia lugha.
Any questions so far.?
yes nakumbuka kwenye quran inamtaja ibilisi kama ni abaa sajada na alikuwa ni mmoja wa majini wadogo sana hivyo akachukuliwa mbinguni.

swali inakuwaje mungu aumbe sifa kinzani?
 
Ramadhani njema wanajamvi!

leo naleta hoja lakini hoja yangu ni ya kiimani nataka kujua kupata kujifunza kutokana na fikra zangu hazinishawishi pia,nifahamike mimi imani yangu ni muislamu hivyo siyo kama nakebehi kuhusu hoja yangu na ikiwa nimekosea mungu anisamehe.

Qur'an na bibilia vinamtambua ibilisi ni kama malaika aliyeasi (rejea surat baqarah pale aibilisi alipoambiwa kuwa amsujudie mwanaadamu hakika yeye ni kiumbe bora,ibilisi aliasi na mungu akamlaani,lakini pia hata upande wa bible katika kurasa na sura ya mwanzo mungu ameongelea uumbaji wa dunia pamoja na mwanadamu na akampa ibilisi sura ya nyoka ambae amemdanganya Eva na mungu alipogundua hilo baadae akawalaani wote akamwambia hawa atazaa kwa uchungu,ibilisi atatembelea tumbo lake na adamu atatafuta kwa shida.

Hoja yangu ipo hapa je,inawezekana mungu akaumba kiumbe kinachomzidi nguvu?rejea maandiko ya ujenzi wa mnara wa babeli mungu aliposhuka chini na kuwasikia watu wake wakisemezana kwamba wajenge mnara mkubwa ili kuacha historia ya vizazi ndipo mungu akaona kuwa hawa wanadamu wanaongelea lugha moja na utaifa mmoja akituacha hivyo huenda tukafanya makubwa zaidi,na tukapata kutafuta ule mti mkuu wa uzima akaogopa na kutufautisha lugha pamoja kututawanya.

Swali ni kweli mungu hakujua anachokiumba kina nguvu kiasi gani?au alijua mwanadamu ataishi atakavyo yeye lakini je hakujua uwezo wa sauti na akili?

Swali fikirishi kuna nguvu ya wema ambayo ni mungu na nguvu ya ubaya ni shetani ni kwamba unapotenda wema basi imetekeleza maandiko ila ubaya umekengeuka maamrisho inakuwaje?kuwe na nguvu mbili wakati mmoja (wema na ubaya).

Uhalisia upo hivi mimi mfanyabiashara mdogo siwezi kulinganishwa au kujilinganisha na mfanyabiashara mkubwa kama bakhresa inakuwa upande wa hizi nguvu mbili zinashabiana?

NAWASILISHA
Watu wanaosadikika kuwa wa SHETANI ni wema sana hata kwa matendo yao, watu waliotokana na maombi kwa mfano RAIS, na wanasiasa wengine ambao ni zao la kufunga na kuomba wamekua wauaji sana na wasio na huruma kwa watu wengine, shetani wa bongo ni mwema sana
 
Mtoto anayebalehe akianza kurudi usiku kila mtu akiwa amelala huwa anaona hakuna wa kumfanya kitu, hata mzee wake huwa anaona kama anammudu. Sasa mzee anaweza mchukua akamweka ndani polisi siku mbili tatu ili ajifunze na kumkumbusha kuwa hayupo in control kama anavyodhani.

Kiimani Sisi akiwemo Shetani ni viumbe vya MUNGU. Nadhani kuna muda MUNGU anatukumbusha tu kuwa hatupo in control kama tunavyodhani.
mungu anajua nini tutafanya je hakuliona hilo?mpaka asikitike kuhusu watu wa NUH,sodoma na gomora?
 
Ikiwa nguvu hasi huyo Ni shetani
Ikiwa nguvu chanya huyo Ni Mungu.

Mungu WA kwenye vitabu hivi vya Dini yupo tofauti Sana.

Wanakwambia Quran sio kiarabu.
Sasa kama sio kiarabu Ni sawa.

Lakini ukifikiria Kwa undani Quran Ni kiarabu.

Swali Mungu hutamkwa vipi Kwa kiarabu.
 
mungu anajua nini tutafanya je hakuliona hilo?mpaka asikitike kuhusu watu wa NUH,sodoma na gomora?
OK. Tukiweka assumption kuwa MUNGU anaogopa viumbe vyake na nguvu zote hizi ambazo tunaamini anazo tusisahau kujiuliza pia ni nini hutokea kwa mdudu mende anapokutana na binadamu anayemuogopa?
 
Nakumbuka Yesu alipotembelewa na MERRY MAGDALENA ambae alikuwa amemiliki pepo 7 mwilini mwake na alitengwa na jamii yake ila alipofika kwa yesu ndipo aliombewa na hao wadudu wakamtoka hivyo mashetani yapo ndani yetu ndiyo maana zamani ilikuwa kazi yao kuwatia watu uchizi,miaka ya juzi wakawa wanawapa watu magojwa ila now days wanakuja ndotoni ndiyo maana manabii wamekuwa wengi mno kumbe hawajui kuwa wao ni waganga kama waganga wengine.

tukitumia hoja za kisayansi ndiyo tunaweza kutengeneza parametors za kumuindicate shetani kitabia,ila kidini shetani ni kiumbe.
Swala la Mary magdalena tuliweke pembeni kwa leo..
Lina uelewa mkubwa kuliko unavyolihadithia..
 
sawa lakini vitabu vya dini vinaonesha mungu mda mwengine alikasirishwa na matendo yetu na mpk kutaka kutufuta katika uso wa dunia rejelea historia na vizazi vya NOAH/NUH.
Lakini mwisho la lile Gharika la Nuhu! Mungu alisema hatakuja kutoa hukumu tena kwa mwanadamu! Ndio maana akaja bwana wetu Yesu Kristo kwa ajili ya ukombozi wa dhambi zetu! Sahizi kila kitu ni kwa Bwana wetu Yesu Kristo, maana Huyo ndio Njia(way) ya Kweli( the truth) ya Uzima( the Life) mtu hata kwenda kwa baba Bila kupitia kwake.
 
sifa anayopingana nayo.
Ok Nachelea kusema swali lako lina maelezo mapana sana. Ila nitajaribu kujibu kwa ufupi.
Kwanza mwanzilishi wa ulimwengu na vyote vilivyomo ni Mungu mwenyewe. Hivyo hapa utaona kuwa kumbe ata sifa kinzani na anavyotaka yeye, aliye design ni yeye mwenyewe swali lako ni je kwanini Mungu afanye hivyo?
Swali linabaki kuwa mwenye majibu ya kutosheleza na uhakika ni yeye mwenyewe ALLAH. Na hapa tukubali kuwa kuna maarifa mengi mwenyezi Mungu katuficha na hajatufunilia au kawafunulia watu wachache.
Nirudi katika msingi wa swali lako sifa kinzani zipo katika kila kitu na hili mwenyezi Mungu kalisema mwenyewe kuwa hakika ameumba vitu katika pair(jozi) na ndio maana kuna usiku na mchana, dume na jike, uongo na ukweli, urefu na ufupi vivyo hivyo mema na mabaya.
Hapa utaona kuwa kumbe sifa kinzani uwepo wake ni kanuni ya maumbile.
Na ndio maana kwakuwa mwenyezi Mungu analijua hilo ndio maana akatupa akili ili tuweze kutambua kwa hakika kuwa jambo hili ni baya na hili ni zuri na akatutaka tutumie akili hizo hizo tuyashinde matamanio yetu kwa kufanya mazuri tu na bado akatuletea na mitume na manabii na vitabu vyake vitukufu kwa dhana hii ni kwamba hapa Mungu ametuonea huruma sana wanadamu na ndio maana akatupa nyenzo zote za kumshinda Ibilisi hivyo kuliko kulalamika ni bora kujitahidi kufanya mema.
 
Kwanza kuna vitu inaonekana umevielewa vibaya.
Moja ni asili ya Ibilisi, Ibilisi sio malaika alie asi, Sifa ya malaika hawezi kuasi kwa sababu hawana uhiari wa kufanya mambo(willing) bali hufanya kadri wanavyoelekezwa na Mungu.
Viumbe wenye sifa ya uhiari ni binadamu na majini, Ibilisi ni katika majini. Ningekueleza asili yake kwa undani ila time is very limited kwa sasa.
Unaposema shetani ni sifa na sio kiumbe kwa maana kila chenye kuasi kati ya mwanadamu au majini hupewa sifa hii ya shetani japokuwa wengi umkusudia Ibilisi kama shetani.
Kuhusu Mungu kuzidiwa na kiumbe alichokiumba nadhani umeshajijibu kwenye maelezo yako kwamba Mungu akawa wabadilishia lugha watu wa Babeli hii inaonyesha Mungu ana nguvu kuwazidi ndio maana akaweza kuwabadilishia lugha.
Any questions so far.?
Mkuu mwaga shule, utabarikiwa sana, niamini utakuwa umetutoa wengi gizani.

[emoji106][emoji106][emoji106] kama unataka jamaa amwage madini kuhusu hili jambo naomba tuweke likes za kutosha ili jamaa aone umuhimu wa kutoa shule hii. Likes za kutosha please.
 
Ramadhani njema wanajamvi!

leo naleta hoja lakini hoja yangu ni ya kiimani nataka kujua kupata kujifunza kutokana na fikra zangu hazinishawishi pia,nifahamike mimi imani yangu ni muislamu hivyo siyo kama nakebehi kuhusu hoja yangu na ikiwa nimekosea mungu anisamehe.

Qur'an na bibilia vinamtambua ibilisi ni kama malaika aliyeasi (rejea surat baqarah pale aibilisi alipoambiwa kuwa amsujudie mwanaadamu hakika yeye ni kiumbe bora,ibilisi aliasi na mungu akamlaani,lakini pia hata upande wa bible katika kurasa na sura ya mwanzo mungu ameongelea uumbaji wa dunia pamoja na mwanadamu na akampa ibilisi sura ya nyoka ambae amemdanganya Eva na mungu alipogundua hilo baadae akawalaani wote akamwambia hawa atazaa kwa uchungu,ibilisi atatembelea tumbo lake na adamu atatafuta kwa shida.

Hoja yangu ipo hapa je,inawezekana mungu akaumba kiumbe kinachomzidi nguvu?rejea maandiko ya ujenzi wa mnara wa babeli mungu aliposhuka chini na kuwasikia watu wake wakisemezana kwamba wajenge mnara mkubwa ili kuacha historia ya vizazi ndipo mungu akaona kuwa hawa wanadamu wanaongelea lugha moja na utaifa mmoja akituacha hivyo huenda tukafanya makubwa zaidi,na tukapata kutafuta ule mti mkuu wa uzima akaogopa na kutufautisha lugha pamoja kututawanya.

Swali ni kweli mungu hakujua anachokiumba kina nguvu kiasi gani?au alijua mwanadamu ataishi atakavyo yeye lakini je hakujua uwezo wa sauti na akili?

Swali fikirishi kuna nguvu ya wema ambayo ni mungu na nguvu ya ubaya ni shetani ni kwamba unapotenda wema basi imetekeleza maandiko ila ubaya umekengeuka maamrisho inakuwaje?kuwe na nguvu mbili wakati mmoja (wema na ubaya).

Uhalisia upo hivi mimi mfanyabiashara mdogo siwezi kulinganishwa au kujilinganisha na mfanyabiashara mkubwa kama bakhresa inakuwa upande wa hizi nguvu mbili zinashabiana?

NAWASILISHA
wakati MUNGU anataka kumuumba bin-adam,alisema"na tumuumbe m2 kwa mfano we2" manake si kufanana nae kwa sura tu!! hapana,,,2na nguvu kubwa za kiakili{ndo manake 2meendelea sana kisayansi},,,2na nguvu kubwa sana kiroho'nikimaanisha positive power {roho ya KIMUNGU-ndo manake baadhi ye2 wanauwezo wa kuombea wagonjwa wakapona na kufukuza mapepo pia,pia kuna manabii walikuwa na uwezo wa kufufua wa2 kam YESU KRISTO na nabii ELIA MTISHBI},,,pia 2na negative positive{roho ya kishetani-ndo manake tunalogana wenyewe kwa wenyewe, nambo kama hayo}..........niende kwenye point,,,,,binadamu tumeumbwa na HLKA,yaani binadamu anajiongeza kutokana na mazingira,mfano aligundua kutengeneza nyumba baada ya kuona hali ya hewa na wanayam wakali wanazingua,aligundua moto baada ya kuona baridi ni kali na pia kuchoka kula nyama mbichi n.k,tofauti na wanayama wanaofuata SILKA yaani wao tangu waumbwe mfumo wao wa maisha ni uleule!! unaona bwana!! sasa basi kutokana na akili nyingi alizo nazo binadamu wakati mwingine tunavuka mipaka{sio kwamba MUNGU hawezi kutudhibiti no } MUNGU alichoka na upweke kumbuka biblia kitabu cha mwanzo kinasema[hapo mwanzo ROHO YA MUNGU ILITULIA JUU ya maji} yaani upweke ulimchosha MUNGU ndo manake akaona ajitengenezee CHANGAMOTO,na moja ya CHANGAMOTO ni VISA VYA BINADAMU NA MAJINI!!!!!!...."nimejaribu kukuelewesha ila sio lazima liwe ndo jibu la mwisho}
 
wakati MUNGU anataka kumuumba bin-adam,alisema"na tumuumbe m2 kwa mfano we2" manake si kufanana nae kwa sura tu!! hapana,,,2na nguvu kubwa za kiakili{ndo manake 2meendelea sana kisayansi},,,2na nguvu kubwa sana kiroho'nikimaanisha positive power {roho ya KIMUNGU-ndo manake baadhi ye2 wanauwezo wa kuombea wagonjwa wakapona na kufukuza mapepo pia,pia kuna manabii walikuwa na uwezo wa kufufua wa2 kam YESU KRISTO na nabii ELIA MTISHBI},,,pia 2na negative positive{roho ya kishetani-ndo manake tunaliogana wenyewe kwa wenyewe, nambo kama hayo}..........niende kwenye point,,,,,binadamu tumeumbwa na HLKA,yaani binadamu anajiongeza kutokana na mazingira,mfano aligundua kutengeneza nyumba baada ya kuona hali ya hewa na wanayam wakali wanazingua,aligundua moto baada ya kuona baridi ni kali na pia kuchoka kula nyama mbichi n.k,tofauti na wanayama wanaofuata SILKA yaani wao tangu waumbwe mfumo wao wa maisha ni uleule!! unaona bwana!! sasa basi kutokana na akili nyingi alizo nazo binadamu wakati mwingine tunavuka mipaka{sio kwamba MUNGU hawezi kutudhibiti no } MUNGU alichoka na upweke kumbuka biblia kitabu cha mwanzo kinasema[hapo mwanzo ROHO YA MUNGU ILITULIA JUU ya maji} yaani upweke ulimchosha MUNGU ndo manake akaona ajitengenezee CHANGAMOTO,na moja ya CHANGAMOTO ni VISA VYA BINADAMU NA MAJINI!!!!!!...."nimejaribu kukuelewesha ila sio lazima liwe ndo jibu la mwisho}
sawa
 
Back
Top Bottom