Kuna uwezekano wa Mungu kuwa na nguvu sawa kitu alichokiumba (shetani)?

Kuna uwezekano wa Mungu kuwa na nguvu sawa kitu alichokiumba (shetani)?

Wasichojua wengi ni kwamba nguvu zote za giza unazojua na usizojua zilitoka kwa Muumba ila zikageuzwa kinyume na yeye.
 
Yakobo 1:13-16

"Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu.

Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.

Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.

Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike."
Kwa maana hiyo MUNGU ndiye aliyemuumbia mwanadamu tamaa na halafu tamaa hiyo hiyo ndiyo inakuwa mwanzo wa anguko la mwanadamu.

Hivi leo hii mhandisi akikabidhiwa daraja ajenge, akajenga baada muda fulani likabomoka,
Je, atakaelaumiwa atakuwa ni mhandisi au daraja lililobomoka?
 
Namna pekee ya Shetani kuwa sawa na Mungu ni iwapo naye asingeumbwa.

Ukishasema aliumbwa, basi mwondoe kabisa kwenye kundi hilo.
 
Kwa maana hiyo MUNGU ndiye aliyemuumbia mwanadamu tamaa na halafu tamaa hiyo hiyo ndiyo inakuwa mwanzo wa anguko la mwanadamu.

Hivi leo hii mhandisi akikabidhiwa daraja ajenge, akajenga baada muda fulani likabomoka,
Je, atakaelaumiwa atakuwa ni mhandisi au daraja lililobomoka?
Mhandisi atalaumiwa Endapo ataweka Misingi Iliyo mibovu kwenye Daraja na hata material yasiyojitoleza na Huku akijua Kuwa material hayo hayawezi kuimili Mikiki ya Magari..

Yaanu tuseme Mhandisi Asiweke Nondo aweke Mbao kati ya Zege akitegemea inaweza kushikirua Zege..
 
Mhandisi atalaumiwa Endapo ataweka Misingi Iliyo mibovu kwenye Daraja na hata material yasiyojitoleza na Huku akijua Kuwa material hayo hayawezi kuimili Mikiki ya Magari..

Yaanu tuseme Mhandisi Asiweke Nondo aweke Mbao kati ya Zege akitegemea inaweza kushikirua Zege..
Sasa mbona mwanadamu analaumiwa sana kwani binadamu kajiumba
 
Back
Top Bottom