johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndio maana kukawepo " kujiuzulu "πππ, Ko kila failure solutions n kujiuzulu?, Wacha tusubir majibu ya hyo kamat wahusika wawajibishwe , small minded hata hili watamuhusisha Rais ππ
Kauliwa?Hapa hatuko kwenye siasa bwashee.
Mtu kafa ujue!!
Ndio maana kaunda kamati maalumu kuthibitisha hilo!
Nchi hii watu hatupendani kwa kweli.Ukute alikataa kutoa rushwa.RC muongo muongo tu ,Mwenyekiti wa madereva wa malori kaconfirm kwamba Dereva alikufa mikononi mwa polisi.
Kwako Mwalimu Kashasha.
Development has no party.
Ina wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa!Hiyo kamati Ina madereva wangapi? Wamiliki wamagari je? Nadhani polisi ndo watakua wamejaa ndani ya kamati.kesi ya fisi kapelekewa fisi aitatue
Subiri taarifa ya kamati!Kauliwa?
Wewe jamaa noma sana Yaani uliitunza barua hiyo?!!?. Hongera Sana Mkuu hii ni bonge la Uzalendo.Barua Ya Rais Mstaafu Mzee Ally Hassan Mwinyi (Kipindi Waziri Wa Mambo Ya Ndani mwaka 1977),
Alikua Waziri Wa Mambo Ya Ndani kipindi cha utawala wa Mwalimu J K Nyerere mwaka 1977, polisi walisababisha vifo vya raia huko Mwanza na Shinyanga. Aliandika barua hii ya kujiuzulu kwa Mwalimu Nyerere.
Hii barua ukiisoma vizuri na ukaielewa mantiki yake unaweza ukatokwa na machozi, ukitafakari Mawaziri wa Zamani (Wenye busara na hekima) VS Mawaziri Wa Sasa (Watapia tumbo).
View attachment 1689432
Mafua yanguu[emoji134]Tukio linalozungumzwa sana mitandaoni kwa sasa ni kifo cha dereva wa lori huko Mbeya ambaye hadi sasa chanzo chake bado ni kitendawili.
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya amesema sasa ifike mwisho kwa serikali ya CCM kuwa inanyooshewa kidole kwa kila mambo ya hovyo yanapotokea.
Kama kamati ya RC Chalamila itabaini kuhusika kwa polisi kama kisababishi cha kifo basi Waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene ni lazima ajiuzulu kuonyesha uwajibikaji wa kisiasa, na yeye hatakuwa waziri wa kwanza kujiuzulu hata mzee Mwinyi alijiuzulu miaka ile ya 70 japokuwa hakuwepo mkoa wa tukio, amemaliza mzee Mgaya kwa hasira.
Maendeleo hayana vyama!
Kapime isije kuwa Covid 19!Mafua yanguu[emoji134]
Jf kuna watu makini sana!Wewe jamaa noma sana Yaani uliitunza barua hiyo?!!?. Hongera Sana Mkuu hii ni bonge la Uzalendo.
Kwani chanzo Cha mauaji hakijulikani?Kuchunguza chanzo cha mauaji!
Wewe unakijua?Kwani chanzo Cha mauaji hakijulikani?
Wanasiasa hudhani ukijiudhuru ndo mwisho wako wa Kisiasa.....Barua Ya Rais Mstaafu Mzee Ally Hassan Mwinyi (Kipindi Waziri Wa Mambo Ya Ndani mwaka 1977),
Alikua Waziri Wa Mambo Ya Ndani kipindi cha utawala wa Mwalimu J K Nyerere mwaka 1977, polisi walisababisha vifo vya raia huko Mwanza na Shinyanga. Aliandika barua hii ya kujiuzulu kwa Mwalimu Nyerere.
Hii barua ukiisoma vizuri na ukaielewa mantiki yake unaweza ukatokwa na machozi, ukitafakari Mawaziri wa Zamani (Wenye busara na hekima) VS Mawaziri Wa Sasa (Watapia tumbo).
View attachment 1689432
Comedy za ccm zimeanza,[emoji870]tenaTukio linalozungumzwa sana mitandaoni kwa sasa ni kifo cha dereva wa lori huko Mbeya ambaye hadi sasa chanzo chake bado ni kitendawili.
Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya amesema sasa ifike mwisho kwa serikali ya CCM kuwa inanyooshewa kidole kwa kila mambo ya hovyo yanapotokea.
Kama kamati ya RC Chalamila itabaini kuhusika kwa polisi kama kisababishi cha kifo basi Waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene ni lazima ajiuzulu kuonyesha uwajibikaji wa kisiasa, na yeye hatakuwa waziri wa kwanza kujiuzulu hata mzee Mwinyi alijiuzulu miaka ile ya 70 japokuwa hakuwepo mkoa wa tukio, amemaliza mzee Mgaya kwa hasira.
Maendeleo hayana vyama!
Hata mzee Lowassa!Wanasiasa hudhani ukijiudhuru ndo mwisho wako wa Kisiasa.....
Wajifunze Kwa Mzee Mwinyi ambaye Baadaye akaja kuwa Rais wa Nchi hii.
Hapa hatuzungumzii ruzuku bwashee!Comedy za ccm zimeanza,[emoji870]tena