Kuna Video iliyokuwa ikionesha Polisi/traffic wa Inyala, Mbeya wakimshusha kwa nguvu dereva wa lori. Polisi wadai amekufa kwa homa ya mapafu

Kuna Video iliyokuwa ikionesha Polisi/traffic wa Inyala, Mbeya wakimshusha kwa nguvu dereva wa lori. Polisi wadai amekufa kwa homa ya mapafu

Barua Ya Rais Mstaafu Mzee Ally Hassan Mwinyi (Kipindi Waziri Wa Mambo Ya Ndani mwaka 1977),

Alikua Waziri Wa Mambo Ya Ndani kipindi cha utawala wa Mwalimu J K Nyerere mwaka 1977, polisi walisababisha vifo vya raia huko Mwanza na Shinyanga. Aliandika barua hii ya kujiuzulu kwa Mwalimu Nyerere.

Hii barua ukiisoma vizuri na ukaielewa mantiki yake unaweza ukatokwa na machozi, ukitafakari Mawaziri wa Zamani (Wenye busara na hekima) VS Mawaziri Wa Sasa (Watapia tumbo).

View attachment 1689432
Wewe jamaa noma sana Yaani uliitunza barua hiyo?!!?. Hongera Sana Mkuu hii ni bonge la Uzalendo.
 
Tukio linalozungumzwa sana mitandaoni kwa sasa ni kifo cha dereva wa lori huko Mbeya ambaye hadi sasa chanzo chake bado ni kitendawili.

Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya amesema sasa ifike mwisho kwa serikali ya CCM kuwa inanyooshewa kidole kwa kila mambo ya hovyo yanapotokea.

Kama kamati ya RC Chalamila itabaini kuhusika kwa polisi kama kisababishi cha kifo basi Waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene ni lazima ajiuzulu kuonyesha uwajibikaji wa kisiasa, na yeye hatakuwa waziri wa kwanza kujiuzulu hata mzee Mwinyi alijiuzulu miaka ile ya 70 japokuwa hakuwepo mkoa wa tukio, amemaliza mzee Mgaya kwa hasira.

Maendeleo hayana vyama!
Mafua yanguu[emoji134]
 
Ao wameua live tu safi kwa mchukua video yani wamemfanya kama gunia la pumba kumtupa chini inabid wawajibike kwa mauaji, tofauti na hapo wawe makini wataletewa gari zima zima
 
Barua Ya Rais Mstaafu Mzee Ally Hassan Mwinyi (Kipindi Waziri Wa Mambo Ya Ndani mwaka 1977),

Alikua Waziri Wa Mambo Ya Ndani kipindi cha utawala wa Mwalimu J K Nyerere mwaka 1977, polisi walisababisha vifo vya raia huko Mwanza na Shinyanga. Aliandika barua hii ya kujiuzulu kwa Mwalimu Nyerere.

Hii barua ukiisoma vizuri na ukaielewa mantiki yake unaweza ukatokwa na machozi, ukitafakari Mawaziri wa Zamani (Wenye busara na hekima) VS Mawaziri Wa Sasa (Watapia tumbo).

View attachment 1689432
Wanasiasa hudhani ukijiudhuru ndo mwisho wako wa Kisiasa.....

Wajifunze Kwa Mzee Mwinyi ambaye Baadaye akaja kuwa Rais wa Nchi hii.
 
Tukio linalozungumzwa sana mitandaoni kwa sasa ni kifo cha dereva wa lori huko Mbeya ambaye hadi sasa chanzo chake bado ni kitendawili.

Kada mkongwe wa CCM mzee Mgaya amesema sasa ifike mwisho kwa serikali ya CCM kuwa inanyooshewa kidole kwa kila mambo ya hovyo yanapotokea.

Kama kamati ya RC Chalamila itabaini kuhusika kwa polisi kama kisababishi cha kifo basi Waziri wa mambo ya ndani mh Simbachawene ni lazima ajiuzulu kuonyesha uwajibikaji wa kisiasa, na yeye hatakuwa waziri wa kwanza kujiuzulu hata mzee Mwinyi alijiuzulu miaka ile ya 70 japokuwa hakuwepo mkoa wa tukio, amemaliza mzee Mgaya kwa hasira.

Maendeleo hayana vyama!
Comedy za ccm zimeanza,[emoji870]tena
 
Kitu hamjui vituo vingi vya polisi tanzania vimejaa watu makatili sana, huko vituoni kwao wamejaza marungu na zana mbali mbali za kuwapigia watu pindi upofikishwa huko vituoni kwao, mfano huyu dereva kitendo cha kubishana nao walipofika sero huku atakuwa alipigwa sana maskini wa Mungu mpaka akakata moto.
 
Back
Top Bottom