Kuna vijana wajinga sana katika hii nchi

Kuna vijana wajinga sana katika hii nchi

Hapo sasa uwaambie mada za kula mbususu na kuhonga uone response yao
 
Hapo sasa uwaambie mada za kula mbususu na kuhonga uone response yao

Haya ni mahsusi kwa wale vijana wa hovyo wasiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili.

Hao wapo wengi zaidi humu JF.
 
Inawezekana una wazo zuri ila wameona huna nia njema labda umewaonyesha tabia za kuwaona wanakukombea mboga hapo kazini ndo maana wameruka mtego
 
Inawezekana una wazo zuri ila wameona huna nia njema labda umewaonyesha tabia za kuwaona wanakukombea mboga hapo kazini ndo maana wameruka mtego
Ebu lete mchanganuo wa hiyo idea kwanza
 
Back
Top Bottom