Kuna vijana wengi wa kiume in their late 20's wenye mwonekano smart, kazi nzuri, kipato, gari, lakini hawajaoa

Frankly speaking niko na 30+ na mke sina. I have a girlfriend na ananipenda mbaya. Only that we are not married makes her sad.
 
Wee
S

Suala sio kupenda hapa.
Hebu nenda chumbani kavue nguo zako zote halafu Anza kuangalia kazi za viungo VYAKO vya mwili.
MB.o.o na ku.ma Zina kazi yake usimfanye Mungu mjinga.
Wee esita wewe ....esita ,esita nakuitaj mara tatu ,
Umeolewa
 
Mkuu late 20's sisi bado wadogo
🤓🤓
 
Ukiwa vizuri hata wanawake waliopinda waakaa mkao wa kuolewolewa n wewe.
Akijua unapenda dini atajifanya mlokole.
Akijua unapenda miziki anajifanya msanii.
Akijua unapenda simba, atanunua na jezi inadvance ili akae kisimbasimba.
Mkuu una hoja ila fanya kuedit hii post yako
 
Kuna mudhungu mmoja aliwahi kusema kwamba.

Everyone on this world run on their time zone. Sijui alimaanisha nini
 
Kujilaumu tu ,kunadhihirisha huyo mungu anaefanya watu anaowapenda wajilaumu ana akili za mdoli.
JIEPUSHE NA ULIMI WAKO KUMDHARAU,KUMKASHIFU NA KUMTUKANA MUNGU.
MI NAMUOGOPA SANA MUNGU.
NAOGOPA NA KAULI ZAKO UNAZOZITOA KUHUSU MUNGU.
 
JIEPUSHE NA ULIMI WAKO KUMDHARAU,KUMKASHIFU NA KUMTUKANA MUNGU.
MI NAMUOGOPA SANA MUNGU.
NAOGOPA NA KAULI ZAKO UNAZOZITOA KUHUSU MUNGU.
Mungu hayupo, angekuwepo usingemwogopa yeye wala kauli za watu usingeziogopa, hata huo msamiati wa OGOPA usingewezekana kuwepo. Unachoogopa wewe ni imagination na hisia zako ambazo zinakutengenezea illusion.Haiwezekani awepo mungu anaetupenda na mwenye uwezo wote afu tuwe tunaingiwa na uoga.
 
Shida mtu wa kumuoa ambaye anamaadili, hatakupenda kwa sababu ya mali zako, hatakusumbua , anauwezo wa kulea familia , ataachana na mashoga wanaompoteza


Wanawake wengi wajuaji na wanaakili wanayoita yakisasa


Kupata mke kwa sasa ngumu

Wengi tunawaona wanaoa kwa harusi za mamilioni lakini ndoa huvunjika mda mfupi


Lazima kuwe na uoga
 
A
Kizazi Cha nyoka Kiko kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…