POST TRUTH
Senior Member
- Nov 18, 2016
- 104
- 147
heeeeeeeee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kumchafua mwingine kwa kuwa tu unapenda awe mchafu, hizi unazosema ungeanzishia mjadala wake.Plus mvua ya mabomu na umeme wa upepo Singida
Sasa unamaanisha nini? nami nimesema nini? chuki yako kwa Lowasa haiwezi futa mazuri yake, Lowasa amekomaa maji yakaenda shinyanga, hutaki basi edit badala ya Lowasa weka jina la mpenzi wako, mccm sijui nani kawaloga mnachuki mbaya sana.Lowasa alilikuta tu aliyewakabili wamisri kuwa lilwalo na liwe Tanzania itatumia maji ya Victoria kupeleleka maji maeneo kame ya shinyanga alikuwa Mwandosya alipotamka Hilo misri wakasema Hilo tamko ni kutangaza vita Mwandosya akiwa waziri akakomaa wamisri WAKANYWEA NDIPO LOWASA akiwa waziri akatekeleza Yale aliyokomalia mwandosya.
kijiografia pia misri wapo karibu na bahari ya mediteraniani sasa basi kwann wasitumie hiyo bahari pindi wakiona maji yamepungua ebu wacha maneno yako mkuu maji yanatoka kwetu alafu tupewe mashart tena ya kuyatumiaZiwa victoria ni chanzo kinachopeleka maji river nile, Ambapo misri ni final destination kama mpokeaji maji kutoka ziwa victoria.
Hivyo basi sisi watanzania tukiwa na project (irrigation schemes) nyingi kama hzi kiwago cha maji kitakacho kua kinapotea kila siku kitakua kikubwa, Na kupelekea kiwango cha maji kupungua nchini misri.
Tukumbuke kwamba maji hadi yafike misri yanipita sudani na uganda ambapo pia yatatumika katika miradi mbalimbali.
Egypt ni nchi inayotegemea sana kilimo(large scale agriculture) kwa kutumia njia ya umwagiliaji.
Hitimisho.
Egypt ili wafanikishe kilimo cha umwagiliaji wanategemea maji kutoka victoria kupitia mto nile.
Kiwango cha wingi au uchache wa maji mto nile unategemea sana utumiaji wetu maji sisi watanzania.
Hata haya utakuja kusikia kwamba "wanachonga sana"Haya ndiyo mambo ya msingi ya kuyajadili na kuyafanyia kazi!
Mkuu:
Kwa hiyo sisi hatuna haki ya matumizi ya hayo maji, kwa sababu tutaleta upungufu.
Je tukichukua kutoka kwenye vyanzo au mito inayo ingiza kwenye ziwa victoria bado tutakuwa hatuna haki?
Sasa sisi ziwa lipo kwetu, kwanini tusitumoe kwa maslahi yeteu na tumuangalie maslah ya wamisri?Ziwa victoria ni chanzo kinachopeleka maji river nile, Ambapo misri ni final destination kama mpokeaji maji kutoka ziwa victoria.
Hivyo basi sisi watanzania tukiwa na project (irrigation schemes) nyingi kama hzi kiwago cha maji kitakacho kua kinapotea kila siku kitakua kikubwa, Na kupelekea kiwango cha maji kupungua nchini misri.
Tukumbuke kwamba maji hadi yafike misri yanipita sudani na uganda ambapo pia yatatumika katika miradi mbalimbali.
Egypt ni nchi inayotegemea sana kilimo(large scale agriculture) kwa kutumia njia ya umwagiliaji.
Hitimisho.
Egypt ili wafanikishe kilimo cha umwagiliaji wanategemea maji kutoka victoria kupitia mto nile.
Kiwango cha wingi au uchache wa maji mto nile unategemea sana utumiaji wetu maji sisi watanzania.
kijiografia pia misri wapo karibu na bahari ya mediteraniani sasa basi kwann wasitumie hiyo bahari pindi wakiona maji yamepungua ebu wacha maneno yako mkuu maji yanatoka kwetu alafu tupewe mashart tena ya kuyatumia
hata hivyo bahar ya shamu ipo karibu na ndio maana waisraeli walikimbilia huko coz waliona ni karibu hivyo basi hawa watu wasitegemee ziwa victoria