Tetesi: Kuna viongozi wanaolipwa na serikali ya Misri ili tusitumie maji ya ziwa Victoria

Tetesi: Kuna viongozi wanaolipwa na serikali ya Misri ili tusitumie maji ya ziwa Victoria

Ziwa victoria ni chanzo kinachopeleka maji river nile, Ambapo misri ni final destination kama mpokeaji maji kutoka ziwa victoria.

Hivyo basi sisi watanzania tukiwa na project (irrigation schemes) nyingi kama hzi kiwago cha maji kitakacho kua kinapotea kila siku kitakua kikubwa, Na kupelekea kiwango cha maji kupungua nchini misri.
Tukumbuke kwamba maji hadi yafike misri yanipita sudani na uganda ambapo pia yatatumika katika miradi mbalimbali.

Egypt ni nchi inayotegemea sana kilimo(large scale agriculture) kwa kutumia njia ya umwagiliaji.

Hitimisho.
Egypt ili wafanikishe kilimo cha umwagiliaji wanategemea maji kutoka victoria kupitia mto nile.
Kiwango cha wingi au uchache wa maji mto nile unategemea sana utumiaji wetu maji sisi watanzania.
Kwani Misri iko Tanzania? au sehemu ya Tanzania? Ziwa Victoria liko Tanzania, matatizo yao sio sehemu yetu,hatuwezi kupata matatizo ili wao wanufaike.
 
Kuna miradi ya kilimo ya Bugwema Kakono Buswahili nk tafiti zimefanyika tangu miaka ya 70. Implementation ni shida kisa pesa.

Ukienda WB kukopa pesa ya mradi unakutana na kigingi cha mmisri kwa kisingizio miradi hailipi.

Well said !

Egypt economically yuko vizuri kuliko Tanzania hivyo. Misri anatumia uwezo wake wa kifedha kutukandamiza watanzania
 
256px-River_Nile_map.svg.png


Kuna tuhuma kuwa baadhi ya viongozi wa awamu iliyopita na wengine wa awamu hii wako kwenye payroll ya serikali ya Egypt ili kuzima au ku sabotage kwa namna mbali mbali miradi ya kilimo cha Umwagiliaji na matumizi mengine ya maji toka ziwa victoria

Baadhi yao wako ndani ya idara mbali mbali za serikali na maslahi yao ni kwa ajili ya serikali ya Misri na sio Tanzania

Imefika mahala baadhi ya miradi imepigwa chini na watu wa idara ya mazingira kwa visingizio mbali mbali kuwa ili watanzania wasitumie maji ya aiwa victoria

Naomba wenye kujua undani wa haya madai watujuze kwa nini tumewekewa restriction kutumia maji wakati Ethiopia na Sudan wanaendelea na miradi mikubwa mikubwa ya Umwagiliaji na Mabwawa makubwa ya umeme na kadhalika huku sisi tunaambiwa kuwa maji kwenda Shinyanga na mikoa mingine haiwezekani

Tafuta kwanza mkataba wa matumizi ya maji ya Lake Nile na Victoria kwanza The Nile Water Agreement of 1929 ndipo uju na hizi allegations. Nakushauri uwe unafanya kwanza home work kwa kina kabla hujafanya tuhuma kwa watu kwa kujisingizia eti unauliza.
 
Kimsingi sisi watanzania tunahaki ya kutumia ziwa victoria kwa vyovyote vile ilimradi tu, tusichafue mazingira na vyanzo vya maji.

Kuna viongozi wachache wanahujumu matumizi ya ziwa victoria kwa maslahi yao binafsi na misri pia

Je unafahamu nini kuhusu The Nile Water Agreement of 1929?
 
Mkuu:
Kwa hiyo sisi hatuna haki ya matumizi ya hayo maji, kwa sababu tutaleta upungufu.

Je tukichukua kutoka kwenye vyanzo au mito inayo ingiza kwenye ziwa victoria bado tutakuwa hatuna haki?

Je unafahamu nini kuhusu The Nile Water Agreement of 1929?
 
Mbona unamungunya maneno ?Waziri wa mambo ya nchi za nje alietoka alipinga kutumia maji ,je alitaka kuwa raisi wa Tanzania au wa Misri?

Je unafahamu nini kuhusu The Nile Water Agreement of 1929?
 
Mi nawafahamu wawili tu. Kuna yule waziri wa zamani msomi kabisa wa unyakyusani na mwenzake mmoja alingushagwa na krikuu time flani hapo nyuma na kuna kipindi aliwahi kuwa mla tende mzuri tu kule mashariki ya kati kisa bakuli...!
Mwagika mkuu hatuogopani saivi bwana
au nitumie hayo majina pm niyamwage mwenyewe
 
Mi nawafahamu wawili tu. Kuna yule waziri wa zamani msomi kabisa wa unyakyusani na mwenzake mmoja alingushagwa na krikuu time flani hapo nyuma na kuna kipindi aliwahi kuwa mla tende mzuri tu kule mashariki ya kati kisa bakuli...!
Mwagika mkuu hatuogopani saivi bwana
au nitumie hayo majina pm niyamwage mwenyewe
 
Hivi mtoa hoja umefanyia uchunguzi na tafiti kabla ya kutuletea ndani ya jf.?
 
kijiografia pia misri wapo karibu na bahari ya mediteraniani sasa basi kwann wasitumie hiyo bahari pindi wakiona maji yamepungua ebu wacha maneno yako mkuu maji yanatoka kwetu alafu tupewe mashart tena ya kuyatumia
hata hivyo bahar ya shamu ipo karibu na ndio maana waisraeli walikimbilia huko coz waliona ni karibu hivyo basi hawa watu wasitegemee ziwa victoria

hii kitu niliwahi isikia kipindi cha mkwere, nikabaki mdomo wazi
 
Tafuta kwanza mkataba wa matumizi ya maji ya Lake Nile na Victoria kwanza The Nile Water Agreement of 1929 ndipo uju na hizi allegations. Nakushauri uwe unafanya kwanza home work kwa kina kabla hujafanya tuhuma kwa watu kwa kujisingizia eti unauliza.
inasemaje hebu tumwagie
 
Je unafahamu nini kuhusu The Nile Water Agreement of 1929?


Mkuu:
Inawezekana mimi sifahamu chochote kuhusu huo mkataba (NWA 1929)
Swali ni kwamba hao walio ingia huo mkataba ni akina nani na kwa maslahi ya nani.

Kama wewe si mtanzania au mkazi wa eneo husika naomba usijibu lolote.
 
Ziwa victoria ni chanzo kinachopeleka maji river nile, Ambapo misri ni final destination kama mpokeaji maji kutoka ziwa victoria.

Hivyo basi sisi watanzania tukiwa na project (irrigation schemes) nyingi kama hzi kiwago cha maji kitakacho kua kinapotea kila siku kitakua kikubwa, Na kupelekea kiwango cha maji kupungua nchini misri.
Tukumbuke kwamba maji hadi yafike misri yanipita sudani na uganda ambapo pia yatatumika katika miradi mbalimbali.

Egypt ni nchi inayotegemea sana kilimo(large scale agriculture) kwa kutumia njia ya umwagiliaji.

Hitimisho.
Egypt ili wafanikishe kilimo cha umwagiliaji wanategemea maji kutoka victoria kupitia mto nile.
Kiwango cha wingi au uchache wa maji mto nile unategemea sana utumiaji wetu maji sisi watanzania.
kwaiyo unamaanisha sisi wenye ziwa victoria na wenye vijito vilivyokauka kumwaga maji ziwa victoria hatuna haki yakutumia maji ya ziwani kwakuwa tuu wa egypt watakosa maji kwenye mto nile...huo ni upumbavu.
mh huogopi sandarusi?
 
256px-River_Nile_map.svg.png


Kuna tuhuma kuwa baadhi ya viongozi wa awamu iliyopita na wengine wa awamu hii wako kwenye payroll ya serikali ya Egypt ili kuzima au ku sabotage kwa namna mbali mbali miradi ya kilimo cha Umwagiliaji na matumizi mengine ya maji toka ziwa victoria

Baadhi yao wako ndani ya idara mbali mbali za serikali na maslahi yao ni kwa ajili ya serikali ya Misri na sio Tanzania

Imefika mahala baadhi ya miradi imepigwa chini na watu wa idara ya mazingira kwa visingizio mbali mbali kuwa ili watanzania wasitumie maji ya aiwa victoria

Naomba wenye kujua undani wa haya madai watujuze kwa nini tumewekewa restriction kutumia maji wakati Ethiopia na Sudan wanaendelea na miradi mikubwa mikubwa ya Umwagiliaji na Mabwawa makubwa ya umeme na kadhalika huku sisi tunaambiwa kuwa maji kwenda Shinyanga na mikoa mingine haiwezekani
Usiogope nina imani Rais wetu yupo makini sana na kama kuna ukweli utaona matokeo na kwa sasa ni kimya kimya amini hivyo nchi inahitaji sana kusonga mbele watu wachache wasiokuwa na hofu ya Mungu hawawezi kutukosesha haya matumaini tuliyonayo kwa nchi yetu na vizazi vijavyo hakika Magufuli atawatumbua tena bila ganzi
 
Mijitu mingine bwana n laana tupu.Unakuta yanakomaa" in marufuku" kufanya shughuli zozote ndani ya mita 60 toka chanzo cha maji! Wakati huo halitoi mbadala wake na njaa inatafuna nchi.Sijui yamerogwa??!! Mbona Misri wanatumia na hawalii njaa na nchi yao jangwa,au yanasubiri yapelekwe ziara ya mafunzo Uarabuni?
 
Ziwa victoria ni chanzo kinachopeleka maji river nile, Ambapo misri ni final destination kama mpokeaji maji kutoka ziwa victoria.

Hivyo basi sisi watanzania tukiwa na project (irrigation schemes) nyingi kama hzi kiwago cha maji kitakacho kua kinapotea kila siku kitakua kikubwa, Na kupelekea kiwango cha maji kupungua nchini misri.
Tukumbuke kwamba maji hadi yafike misri yanipita sudani na uganda ambapo pia yatatumika katika miradi mbalimbali.

Egypt ni nchi inayotegemea sana kilimo(large scale agriculture) kwa kutumia njia ya umwagiliaji.

Hitimisho.
Egypt ili wafanikishe kilimo cha umwagiliaji wanategemea maji kutoka victoria kupitia mto nile.
Kiwango cha wingi au uchache wa maji mto nile unategemea sana utumiaji wetu maji sisi watanzania.
Correction;:
Maji mengi yanayofika Misri yanatoka Ethiopia kuliko Victoria
google:; Nile facts
 
Nilishangaa kuona Membe anataka tusiyatumie maji ya Ziwa victoria eti kwa sababu Misri itaathirika. Akaenda mbele hata k kuzishawishi nchi za Maziwa makuu kuifikiria Misri zaidi kwa madai eti sisi nchi za ukanda huu wa kusini mwa mto nile tunapata mvua za kutosha! Huyu Membe mtu wa ajabu sana!.

Wao Misri wana bahari ya mediteranian, wanaweza kufanya desalination.

Misri wana Jangwa la Sahara. Ambayo chini yake huenda kuna maji mengi kama ambayo Libya waligundua.

Isitoshe sisi tuna mgogoro wa Ziwa Nyasa, sasa inakuwaje anagive up rights za Watanzania kuyafaidi Maji ya Ziwa hilo la Victoria?

Huyu Membe hatufai,angetuuza!!
Na alilikomalia mpaka ikashangaza. "Kwanini tutumie maji ya Ziwa Victoria Wakati Misri hawana maji ?" aliuliza watanzania.
 
Back
Top Bottom