Tetesi: Kuna viongozi wanaolipwa na serikali ya Misri ili tusitumie maji ya ziwa Victoria

alafu kawa balozi wako, mwishoe atakunyima visa huko alikoenda tuweni macho
 


Kwahiyo nini hitimisho la mchango wako?
 
hii habari niliwahi isikia na jamaa akamtaja mtu mkubwa tu serikalini katika awamu iliyopita na alikuwepo kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi mwaka 2015, kumbe haya madai ni kweli, aisee, basi hawa jamaa wanatuua sana, nenda ukerewe waliozungukwa na ziwa victoria, shida ya maji ile mbaya,
 
kuna mtu yuko na JK leo huko addis analeta ngonjera zake JF usiku huu kuteteta ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…