Nilishangaa kuona Membe anataka tusiyatumie maji ya Ziwa victoria eti kwa sababu Misri itaathirika. Akaenda mbele hata k kuzishawishi nchi za Maziwa makuu kuifikiria Misri zaidi kwa madai eti sisi nchi za ukanda huu wa kusini mwa mto nile tunapata mvua za kutosha! Huyu Membe mtu wa ajabu sana!.
Wao Misri wana bahari ya mediteranian, wanaweza kufanya desalination.
Misri wana Jangwa la Sahara. Ambayo chini yake huenda kuna maji mengi kama ambayo Libya waligundua.
Isitoshe sisi tuna mgogoro wa Ziwa Nyasa, sasa inakuwaje anagive up rights za Watanzania kuyafaidi Maji ya Ziwa hilo la Victoria?
Huyu Membe hatufai,angetuuza!!