Kuna viongozi wengi ni Usalama wa Taifa!?

Mbona kashindwa sasa kuzuia makamanda kina soka, saanane wasipotezwe ?...au mbona kashindwa kufahamu hata waliopo ?
Kwasababu level yake ni informer, anavuta posho, tokea lini Mangi akaacha posho?
Upande mmoja analamba asali ya Mama, upande mwingine anapokea posho za kitengo, na upande mwingine ni Jackpot la Ruzuku.

Halafu ati tunamuambia amuachie Lissu😆
 
Mmmh ngumu kumeza kaka,,tamu kusikiliza,lkn nakumbuka kuna uzi aliwahi kuutoa humu yeriko Nyerere,jinsi wafanyavyo kazi watu hawa,na mtu 1 yuko swideni nadhani,ametunga kitabu kabisa,nadhani wanatoa elimu ili si raia tujue tu namna yakuishi nao,na si kuwataja, maana haifai kufanya hivyo.
 
Una mdogo wa kike? Around 30's hivi?

Nataka tu nijue kama ni mdogo wako...

Cc: Mahondaw
The family tuna 5 boys na 3 girls, na sisi Wasukuma ni ma jembe kazi, mimi nina 5 girls na 4 boys. Ila Mzee si haba, wadogo zangu kwa baba wametapakaa kila kona!. Ukimuona kama anafanana na mimi tuu ni wetu, binti yangu mwenyewe wa kwanza ni over 30!.
P
 
Hahaha...
Over 30yrs...

Msukuma!!
Dah!! Basi sikuulizi tena...
Nishapata jibu...


Cc: Mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…