Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Amini usiamini, simba na yanga wanajuana na ndio maana ni ngumu sana kwa vilabu vingine kugombea kombe lolote dhidi ya miamba hii miwili hapa nchini.
Azam anajitahidi kufurukuta ila anazidiwa nje ya uwanja (ulonzi)
Simba na yanga waneshaanza kupigishana shoti hivi sasa, wazee wanahaha huku na kule ili mambo yaende sawa pindi msimu mpya utakapo anza.
kwa simba na yanga usajili mzuri pekee siyo silaha ya mafanikio yao, nyuma ya pazia kuna sarakasi nyingi sana kulinda nyota za wachezaji wao.
Simba tofauti na misimu mitatu nyuma msimu huu waneamua kurudi kwa wazee wao kuweka mambo sawa, yanga nao misimu hii mitatu ya mafanikio, wazee wao walikuwa kitu kimoja pia usiri ulikuwa mkubwa mno kwenye mikakati yao.
Ndugu zangu kwenye maisha ya mwanadamu hakuna kitu kibaya kama (gundu) yaani unaweza kuwa msomi mzuri, mafanyaji wa kazi mzuri, ila watu wakipigisha shoti nyota yako basi utahangaika sana, kila unalolifanya hola. Kama usiposanuka, utasubiri sana.
Azam anajitahidi kufurukuta ila anazidiwa nje ya uwanja (ulonzi)
Simba na yanga waneshaanza kupigishana shoti hivi sasa, wazee wanahaha huku na kule ili mambo yaende sawa pindi msimu mpya utakapo anza.
kwa simba na yanga usajili mzuri pekee siyo silaha ya mafanikio yao, nyuma ya pazia kuna sarakasi nyingi sana kulinda nyota za wachezaji wao.
Simba tofauti na misimu mitatu nyuma msimu huu waneamua kurudi kwa wazee wao kuweka mambo sawa, yanga nao misimu hii mitatu ya mafanikio, wazee wao walikuwa kitu kimoja pia usiri ulikuwa mkubwa mno kwenye mikakati yao.
Ndugu zangu kwenye maisha ya mwanadamu hakuna kitu kibaya kama (gundu) yaani unaweza kuwa msomi mzuri, mafanyaji wa kazi mzuri, ila watu wakipigisha shoti nyota yako basi utahangaika sana, kila unalolifanya hola. Kama usiposanuka, utasubiri sana.