Kuna vitu vya kuhonga ila bado sijawaza kuja kuhonga simu

Unaongelea sm? Tafuta hela ndg watu tunahonga gari&apartment na biashara we unaongelea sm!

Sm utahonga na hata zaid ya hapo ila ni kutokana na uwezo wako
Kila mtu anaishi kulingana na uwez wake na pia anapata wanawake walevel yake

Wewe wa level yako ni hao ulionao ila jinsi kipato chako kitakavyozid kupanda ndo pia wanawake utakaopata level yao itakuwa juu na pia vitu vya kuhonga vitakuwa juu kulingana na uwezo ndg


Unahonga elf 20 sababu ndo level yako ya uchumi

Yule anahonga mil 20 sababu ndo uwez wae wa kiuchumi
 
wee! ongea taratibu wasikusikie raha ya mwnaume kuhonga ndugu.
unaweza kuwa sahihi huwezi kuonga simu kwakuwa watu watatumia simu hiyohiyo kukugongea basi honga ata kagari mtanunua wote mafuta.
 
[emoji39][emoji16][emoji3][emoji3][emoji16][emoji23]Makaveli Mungu anakuona

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…