Kuna vitu vya kuhonga ila bado sijawaza kuja kuhonga simu

[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
 
Maelezo kuntu kabsa
 
Jimbo zima linajua nilisivyo na utani. Basi usisahau kunifanyia connection ili nikichukua jimbo utapata ujira wako. Hakuna haja ya kumtafuta steve Nyerere wakati Upo
We unaamini ilo jimbo lipo huru??
Kwa uzuri ule hakosi sponsor ni mwendo wa toa kitu weka kitu.....
 
We unaamini ilo jimbo lipo huru??
Kwa uzuri ule hakosi sponsor ni mwendo wa toa kitu weka kitu.....
Ukitaka kupata mwanamke asiye na sponsor, K utaziona katika movies. Kawaida yetu, kama unamtaka mwanamke aliyesimama kama mahondaw kazi yako ni kutupa ndoana na ukakaba siku sponsor wakiachana unaziba nafasi. Usijihangaishe ati umtenganishe na sponsor wake, utaumia bure kazi ni kuwa na subra. Muulize mwenyewe nilianza lini kumchombeza kabla ya kumpata Smart911 na hata akiwa naye naendelea mdogo mdogo. Hata leo kama ana sponsor sikati tamaa navuta subra ipo siku yes! Upo hapo
 
Una kwalifikeshens za kumpa moyo(kuuguza) mgonjwa mahututi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…