[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Miaka kama 3 iliyopita nilikua abroad kuna malaya akaomba nikirudi nimnunulie s9 plus,kipindi iko ilikua inagonga kwenye usd 600,kiroho safi nikakubali,ila siku naenda kununua hiyo simu wakati niko dukani machale yakanicheza,hilo duka lina upande wanauza used na refurbished phones,nikaenda huko nikamchukulia j5 used kwa usd 90,siku nampa nikamsomesha kiume akaelewa,nov last year akaniblock pumbavu kwa simu niliynunua kwa pesa yangu
Kaka cc
Usiogope kaka wifi yangu km akikuelewa haina shidaKufa kufaana naligombea nikiwa namba wani na wewe nitaomba uwe campaign meneja wangu
Hahahahha pole, ilmradi haufi mwachie Mungu.Simu niliyonunua kwa pesa yangu ndio iliyofanya kazi ya kuniblock
Sanuka mkuu tujue ulicho hongaSimu tu inakuuma kuhonga?[emoji28]
Tukisema tuliyohonga si utashangaa mkuu
Maelezo kuntu kabsaHamjamuelewa. Anachoongelea sio thamani ya simu. Anaweza kuhonga hata sh milioni 2 pesa taslimu lakini sio kumnunulia mwanamke simu ya laki 2. Yaani anahisi atakuwa anamrahisishia mawasiliano na wanaume wengine. Inauma simu umenunua wewe halafu hiyo hiyo inatumika kuwasilianana na wanaume wengine.
Mwambie mkuu aje nimfubdisheDogo tafuta pesa, najua sasa hivi huna pesa.
'Macho matatu' nimeitupa juzi kwa kidada fulani, halafu nashangaa kinaniambia inamsumbua kutumia!
We unaamini ilo jimbo lipo huru??Jimbo zima linajua nilisivyo na utani. Basi usisahau kunifanyia connection ili nikichukua jimbo utapata ujira wako. Hakuna haja ya kumtafuta steve Nyerere wakati Upo
Kikubwa "PUMZI"Hahahahha pole, ilmradi haufi mwachie Mungu.
Mambo ya kugombea jimbo, jimbo linakuona wewe ndio una shida saana ya jimbo....Jimbo huru ilo kagombee sasa
Naona tunafanana sera zetu[emoji2][emoji2]Mambo ya kugombea jimbo, jimbo linakuona wewe ndio una shida saana ya jimbo....
Mie nataka jimbo linigombee mimi[emoji3]
Yanaenda hivyo hivyo tuu.Mapenzi ya mtandaoni haya daaah
KwakweliKikubwa "PUMZI"
Ukitaka kupata mwanamke asiye na sponsor, K utaziona katika movies. Kawaida yetu, kama unamtaka mwanamke aliyesimama kama mahondaw kazi yako ni kutupa ndoana na ukakaba siku sponsor wakiachana unaziba nafasi. Usijihangaishe ati umtenganishe na sponsor wake, utaumia bure kazi ni kuwa na subra. Muulize mwenyewe nilianza lini kumchombeza kabla ya kumpata Smart911 na hata akiwa naye naendelea mdogo mdogo. Hata leo kama ana sponsor sikati tamaa navuta subra ipo siku yes! Upo hapoWe unaamini ilo jimbo lipo huru??
Kwa uzuri ule hakosi sponsor ni mwendo wa toa kitu weka kitu.....
Yaani sisi na ma ekspiriensi yetu, ma eksipozha etu, na aikyuu yetu, bado tukagombee jimbo, sio jimbo kutusaka sisi[emoji848]Naona tunafanana sera zetu[emoji2][emoji2]
Una kwalifikeshens za kumpa moyo(kuuguza) mgonjwa mahututiUkitaka kupata mwanamke asiye na sponsor, K utaziona katika movies. Kawaida yetu, kama unamtaka mwanamke aliyesimama kama mahondaw kazi yako ni kutupa ndoana na ukakaba siku sponsor wakiachana unaziba nafasi. Usijihangaishe ati umtenganishe na sponsor wake, utaumia bure kazi ni kuwa na subra. Muulize mwenyewe nilianza lini kumchombeza kabla ya kumpata Smart911 na hata akiwa naye naendelea mdogo mdogo. Hata leo kama ana sponsor sikati tamaa navuta subra ipo siku yes! Upo hapo
Cc Smart911Was just an appreciation mkuu! Yaliyopita si ndwele
Cc@Smart911Future impossible tense lol?