Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
0fba8824103842d58cc30733c3e40962.jpg

Mbona anakuwa kama Mangungo wa Msovero?
 
Ukiona kobe juu ya mti ujue kapandishwa. Hakuna narudia tena hakuna shabiki/kiongozi wa Pan Africa akawa shabiki wa Simba kama ambavyo hakuna shabiki/kiongozi wa Red Star/Nyota Nyekunda akawa shabiki wa Yanga.

Naanza kuamini kuwa yale yaliyokuwa yanasemwa kuwa huyu jamaa na baadhi ya wajumbe wa bodi wapo kwenye "payroll" ya jamaa wa upande wa pili na wanataka kumpa timu mdogo wa jamaa wa upande wa pili.

Mwanzoni nilipuuza zile goli tano nikiamini kuwa Simba alizidiwa na Yanga kiufundi nikawapuuza wale wote waliokuwa wanasema kuwa zile goli ni za mchongo. Lakini baada ya kusikia alichozungumza Cadena kuhusiana na Manula nikiunganisha na maneno anayotamka huyu mzee nimeshapata jibu zile goli zilitengenezewa wapi na pale uwanjani watu walikuja tu kukamilisha kazi iliyopangwa kiustadi sana.

Ni wakati sasa wa wanachama kuishinikiza BMT na serekali kwa ujumla iwaamuru hao mamluki waitishe mkutano wa wanachama ili wawaondoe kidemokrasia ili wakose visingizio.

Ni mtizamo tu
 
Ukiona kobe juu ya mti ujue kapandishwa. Hakuna narudia tena hakuna shabiki/kiongozi wa Pan Africa akawa shabiki wa Simba kama ambavyo hakuna shabiki/kiongozi wa Red Star/Nyota Nyekunda akawa shabiki wa Yanga.

Naanza kuamini kuwa yale yaliyokuwa yanasemwa kuwa huyu jamaa na baadhi ya wajumbe wa bodi wapo kwenye "payroll" ya jamaa wa upande wa pili na wanataka kumpa timu mdogo wa jamaa wa upande wa pili.

Mwanzoni nilipuuza zile goli tano nikiamini kuwa Simba alizidiwa na Yanga kiufundi nikawapuuza wale wote waliokuwa wanasema kuwa zile goli ni za mchongo. Lakini baada ya kusikia alichozungumza Cadena kuhusiana na Manula nikiunganisha na maneno anayotamka huyu mzee nimeshapata jibu zile goli zilitengenezewa wapi na pale uwanjani watu walikuja tu kukamilisha kazi iliyopangwa kiustadi sana.

Ni wakati sasa wa wanachama kuishinikiza BMT na serekali kwa ujumla iwaamuru hao mamluki waitishe mkutano wa wanachama ili wawaondoe kidemokrasia ili wakose visingizio.

Ni mtizamo tu
Kuna Chura somewhere hajagundulika.
 
Kuna tajiri anaitaka Simba.
Ila kajificha.
Usajiri walioufanya Simba hapa karibuni ni wa Kimagumashi sana.
Kama muwekezaji wetu anaona haya mambo mimi namshauri achukue B.20 yake aiache timu kwa wawekezaji wa mpira wa miguu.

Kukumbushana kila siku mambo ya B.20 nadhani wadau wa Simba wamekinahi
 
Back
Top Bottom