Kuna wadada humu wananichanganya roho

Kuna wadada humu wananichanganya roho

Dogo umetumwa na maccm uje ututoe kwenye mada za maana tumestuka na kura zote ni kwa lowasa
 
sikujua kama hao wengne ni wanaume simu yangu haioneshi avatar picha. naombeni samahani niliowakosea hapo juu sijafanya makusudi, najaribu kuedit lakini inakataa
Mbona Unaji koti wewe mwenyewe? Kuwa mpole mods wasikuchoke wakakubakisha na boksa...Muulize gilesi yaliyo mkuta! mods wanakucheki tuu..
 
mimi ni member mpya hapa jf ni dogo wa miaka 17 tu before sijajiunga jf kuna wadada humu nikisoma post zao walikuwa wanakonga nyoyo zangu mpka nimeamua kujiunga jf wadada wenyewe ni heaven on the earth, cute b, madame b, evelyn salt, mgiriki, harufu, bujibuji, apologize lady, charty, aspirin, holygrail, asakunte same, faiza foxy, nifah, badili tabia, kiwatengu yaani kama ningekuwa na pesa ningemuoa ata mmoja sema umri hauruuhusu..

Ningeweza ningekuozesha huyu wa chama cha magamba ukambadili chama geto
 
Ningeweza ningekuozesha huyu wa chama cha magamba ukambadili chama geto

nani Faiza Foxy?? huyu dada tukiwa mmu huwa nampenda saana, shughuli tukienda jukwaa la uchaguzi. kweli nimeamini unaempenda akikuudhi hasira zinakuwa twice
 
Back
Top Bottom