Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Niliwahi kutana na barmaid kalaza one ya o level, three ya pcb na bachelor ya environmental science!!

Sikumlaaaaa! Tulikuwa marafiki Hadi akapotea.

Bamed wa digrii za ualimu, Sheria nk ni wengi mmno.
Duh environment science ya SUA iyo ni ngumu balaa.me cjawai kukutana na wasomi.

Sema ni Hali ya maisha tu.
 
Hali mbaya alisoma kozi gan?
 
Kawaida sana aseee.... Kuna mshkaji .. nafikiri nilishahadithiaga humu...kipindi tunamaliza chuo SAUT 2008/9... Kuna mshkaji tulikuwa tunasoma naye ila yeye alikuwa tayari kazini alikuwa mwanajeshi.... Alipata demu mkali kinyama RUMORS CLUB.... Tukaenda naye mpaka magetoni ..Sasa mitungi mingi na tumekesha tukapitia Royal Pub piga mamtori ndio tukaenda magetoni .... Jamaa mchanamchana hivi watu wimbi ndio linakata flani akatushtua Wana oya njooni ...bar flani IPO bondeni ndio akaanza kutupa story za yule manzi.... Jamaa alioa kabisa yani.... Na yupo naye mpaka wa Leo na demu ni mtulivu kinyama yani huwezi dhani kama alimpatia mazingira yale. Kifupi demu ndio alikuwa ameanza kazi ya pale club ya uhudumu... Mchana anatembeza uji soko la langolango usiku anauza hapo Rumors club... Baba yake alipata ajali akavunjika miguu .... Noma sana. Walikuwa wanakaa maeneo ya mto. Mirongo upande wa makaburi ya waislamu. Tulienda na mshkaji mpaka kwao aseeee..... Jamaa alichukua jumlajumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…