Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

Dau lilikuwa dogo ila hiyo ngoma ulikuwa unaichapa.

Wengine wanapenda muanze na stori za uongo uongo kupendana ila deep down wanauza.

Msipeleke utakatifu pale hasa kwenye platform kama bar,lounge, Cassino whatever.

Mpeleke vile anavyokuja ila huyo mwamba asiweke Malaya ndani ikiwa Bado yeye si Malaya lazima alie kinyakyusa.
Kulia kinyakyusa ena [emoji23][emoji23]
 
Nisiiongeze wala ku[FONT=Poppins, Monaco, Menlo, Consolas, roboto mono, andale mono, ubuntu mono, monospace]punguza kitu ila amini nakuambia, hakuna mahakama itoayo hukumu bila kukutanisha pande mbili, mshitaki na mshitakiwa na pia bado na mashahidi watahusika pia. WEWE UMEAMUA KUTOA HUKUMU KUPITIA MAELEZO YA UPANDE MMOJA KUA MAKINI SANA. HAKUNA MWENYE SHINDA AKATOA UONE RANGI ZAKE ZOTE KWA MDA MFUPI TU. NATAMAN NIKUELEZEE YALINIONISIBU KWA SCENERIO INAYOFANNA NA HIO ILA MIMI SIO MWANDISHI MZURI[/FONT]
Pole sana mkuu.

Ila umeshawahi kuisikia methali ya zamani, "doctors differ, patients die"?
 
Muoe mkuu usiishie kumsikitikia tu

Kama amesoma then anauza bar Kama barmaid maana yake hii elimu ya bongo ina mapungufu makubwa Sana

Anakunywa pombe anakuwa barmaid anatongozeka kirahisi inshort yupo depressed Sana

Mungu amsaidie
Kwakweli Mungu anitie nguvu nisongeshe nae hili gurudumu la maisha. Bado nam-study.
 
Mkubwa una roho nyepesi ila kaza ndugu yangu cha msingi usimchukue kisa ana hitaji msaada au kwa huruma ya aliyo pitia ... mchukue kwa sababu umemuelewa na unataka kuwa nae ... niseme tu fanya maamuzi kwa ubongo sio moyo
Sawa mkuu asante wa ushauri.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jumatatu ukienda kazin, hutokuta Kila kitu Ndani.

Bar Maid , hapelekwi nyumban.


Kama ulitaka kumjua, ungemjua akiwa Kwa Huyo best uliompita madarasa mawili.


Kila Bar Maid husema "ukija kunichukia ,Njoo na vipimo vya Ukimwi,".


Ukienda kweli Na Vipimo, anakupiga chenga !!


Mwanamke, Msomi ,mwenye kumcha Mungu, anayejua siku Moja anatakiwa kua Mke, ten mzuri mrefu ana shep.. hawezi Kaa kumtembelea Club au kufanya kazi hizo au kunywa mapombeeeee Kwa namna ulivyoelezea !!.



Umepigwa na kitu kizito.

Nakupa Stori, niliwah kutana na Demu kazin kwangu PISI PISI ,mchaga Mmoja mweupee, sura ya kisomali, nzurii, takoo na Shep Hilo.

Yule mwanamke akaniambiaga Amemaliza BAED -UDOM , huku alipona alikua kaolew, ila jamaa kamzengua kaamua kupanga.


Siku Moja nikamuita Lodge fulan hivi, tukala akanywa , Sasa Ile muda wa kulana ..

Kwanza picha linaanza Demu hataki kunyonyana midomo.

Demu hataki kupima oil

Demu anavuma nguo ila akabaki na kiblauzi juu, Nikamuuliza vipi? Kwann hutoi hiko kiblauzi chajuu??.


Akasema ohoo atatoa akitaka kuloga bafuni.


Sasa Mimi Kuna kitu nikishakinotice Kwa mwanamke tu basi nakua na hofu na mchezo unaishia hapo.


Nikawa nmejikaza nikasema kwakua navaa ndom Wacha nipige..

Nilivaa ndomu, ila kabla sijamuingizia paipu nikawa namgusa gusa kwenye maeneo ya MITOKI ( TEZI) ..kwapani, nyuma ya masikio, shingon ... Duuuh nikakuita Kuna MITOKI kwenye kwapa, na nyuma ya masikio, nikawa namdadisi kiujanja ujanja, akadai inamuda mrefu... ( Watu wenye maambukizi ya VVU wengi wanakuaga na MITOKI ya muda mrefu).


Basi nikasema Tena, kwakua na ndomu na kilainishi Wacha nipige tu.


Nikawa nmemuweka DOGGIE , ili kumuweka hiyo stail, kale kablauzi kakashuka Kwa chin kuelekea mabegan kwake.

Nikaona ana ALAMA kama ya kovu la kuungua moto Upande Mmoja WA kulia tu ( Kwa wale walowah kuona mgonjwa wa MKANDA WA JESHI, AKISHAPONA, Huwa kunabaki alama ya kovu).

Nikaunganisha Doti, ya MITOKI na hili la Kovu na Historia zake za UDOM

Nikajua huyu Demu ni MGONJWA .


Mboo ikalala, nikajifanya nmepata dharura, nikampa Hela ya Nauli Misimbazi mitatu, nikasepa.

Kesho yake nikamwambia, Tuonane nimebeba vipimo vya Ukimwi.

OYAAAA, ALINIKWEPAAAAA ...mpaka Leo .


Baada ya siku Kadhaa, nikajaga kuonana naye kwenye Bar Moja maarufu sana, Mimi nilienda kuchukua Kuku alokaangwa .

Demu akapita, ilikua usiku, nmevaa jaketi na kofia, hakunitambua.

Alikua kavaliaa kataiti chupi, alafu na t-shirt , akiashiria kua anajiuza na nimuhudumu wa pale.




.USIFANYE CHOCHOTE NA HUYO DEMU KAMA HUJAMJUA KWA KILA ENGOOO, UTAMUACHA MCHUMBA WA MAANA, UPIGWE NA KITU KIZITO.
Dah mkuu umezungumza mazito sana.

Nashukuru kwa ushauri aisee, I will do the needful.
 
Msenge una bahati Sana,chuma cha mjerumani hicho,lakini usipende haraka Angalia unayoyataka yamo kwanza, je,hiyo story ya huyo mbaba kwanini alikubali waowane lakini hakutaka mtoto nae hiyo ni fix check it properly.
Nimekusoma sana mkuu. Nashukuru kwa ushauri.
 
"Mwanamke anaeijua thamani yake hawezi kufanya kazi bar"..

Sitetei ila haya ni maisha mkuu, Kuna time kwenye survival watu wanaweka hizo pride na reputation pembeni.

Na isitoshe wanawake wengi tu wanatumia mili yao for survival ila huwa inapachikwa majina tofauti. Kuna wengi wanaingia kwenye ndoa na mahusiano kwa ajili ya cash kiasi mwanaume ukiishiwa wanakimbia.. Hawa sio wauzaji??.

Vipi wale wenye madanga yanayowaweka mjini ?..

Worse enough kuna hao tunaowaheshimu kama wake za watu ila wanaliwa maofisini hadi na madereva boda kwa kupewa sifa, upendeleo na care za kipuuzi puuzi tu.. Je, wapo any way better
Mkuu, umepiga kwenye chemba ya moyo, huyu akikujibu ni-tag [emoji28]
 
Mkuu usiende pupa hakikisha una varify hizo taarfa zake ipasavyo , ikiwezeka usitafute ndugu nenda kijj alichoish huko kakae kijj kwao peleleza kama kweli chukua jiko ,

Ila ukitiliashaka neno lake alikwambia kuw sio kweli piga chin,

Kila la heri haya mambo hayanaga kanuni
 
Mkuu unaenda kufanya kosa alilofanya mdogo wangu.

Dogo alikuja kukaa na mm sinza mwaka 2015, tumekaa tunapush business hadi akawa na gari yake akapanga kwake.

Akaja kukutana na barmaid wa hukohuko sinza, pisi ni class A, na akawa anaisifia ina tabia njema kama wewe tu unavyoisifia hii.

Nikamwambia, "mdogo wangu kama kuna kitu kiongo duniani ni mwanamke mzuri lkn mwenye shida" Sasa hakunisikiliza, kachukua ile malaya kaweka ndani. Yeye anaona kapata wife material.

Kilichomtokea hadi leo anachukia wanawake vibaya sana. Dogo alipata story anagongewa na boda ila dem akiambiwa anaanza zile "My kwa hio uniamini, mm bora nirudi kwetu tu japo kuna shida usinitafutie sababu" dogo anapoa.

Sasa siku kamfumania dem anagongwa live tena sebuleni na mshikaji wa pale pale bar alipomtolea, na huyo msenge alikua bodyguard tu. Dogo kuleta fujo akala vitasa na jamaa likasepa. Pale pale na yule manzi akaingia kuchukua vyake akasepa na matusi juu kwamba jamaa hajui kukaza mwanamke. Alifedheheshwa sana dogo hadi sasa ukimwambia mwanamke hatokuelewa.

Moral of tje story ni kwamba, huyo dem ana shida zake na ww umeingia 18 zake. Kula temana nae, inaonekana una moyo mwepesi sana, uko easily impressed, na hizo lwa mwanaume ni weakness.

Tomba huyo dem mara 3 tu, ukiendelea kuwa na mawazo hayo basi yafuate! Ila kwa sie ambae tunatumia wanawake sana tunajua, kuna malaya mmoja eti namaliza game asbh namkuta anaosha vyombo, kapika na chai. Nikanywa chai yake nikamlipa atembee, hawa viumbe wanaangalia kaupepo, akikuona unajiweza anakulengesha uwe mnunuaji wa jumla wakati akiendelea kuuzia wale wa rejareja
 
Relax mjomba mauno yasikupagawishe hizo ni genye tu zinakusumbua mpe muda msome tu kama mwaka hiv mpe uhuru ujue tabka yake akitaka kutoka out mwambie sawa simu usimfutilia hata akienda choon
Nimekusoma sana mkuu
 
Back
Top Bottom