Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]inabidi kuwe na kikaoHivi ni mimi tu humu JF ndio sina gari au kuna wenzangu?
Bas mbususu utaisikia mtandaoni kwa mzabzabNimtoe wap Sasa wakati ata hizo ela za kumfatia kuku sina 😂😂😂 . Kwa kweli Mungu ananipenda
Maarifa yenye chizi wake.... muoe mmalizane.. au kama nenda kwake mkayaongeeHuyu dada rafiki yangu wa muda toka tukiwa chuo. Jana alipenda tuonane tuweze ongea mawili matatu sababu ilikuwa ni weekend. Nilichukuana naye tukawa sehemu tunapata viburudisho then akaomba tunapoondoka tupitie somewhere nimchukulie kuku wa kuchoma. nikasema haina shida. So we went there. Akasema haina haja ya kushuka sababu alishakunywa sana so niagize tuje tukae kwenye gari, sikuona haja ya kuzima gari nikaona niache tu gari ipo on maana sipendi kufungua vioo vumbi lisije ingia ndani. so niliacha gari AC ipo on.
Nimeenda nikaagiza na kusimamia kidogo. nikarudi kumkuta amegonga gari eti alikuwa anajaribu kugeuza kabisa. Kmbe katika kurudi nyuma amegonga gari ya watu na kupasua taa ya gari yangu na ya huyo mwingine. Nimemkuta anatokwa jasho ile mbaya haelewi cha kufanya. Namuuliza why did you do that. anasema niliona tu nigeuze gari kabisa kumbe sikuangalia vizuri nyuma sijazoea kutumia Camera.
Huyu dada kwa kweli nimeshindwa kuelewa nimfanye nini maana amenipa hasara ambayo haikuwa na sababu. Jamaa imebidi nimlipe kwa ajili ya taa nami pia nikanunue taa kwa ajili ya gari yangu. Yeye amebaki tu anakodoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango. hawa watu wengine sijui waliumbwa wapi. Nilienda mshusha kwake na kuondoka sina hamu naye tena. Anatuma tu text kuwa nimsamehe tuoane tuyamalize au niende kwake tukaongee. Nami sioni cha kwenda kuongea naye. Na mimi naye nina matatizo sana na madada wa na mna hii ambao hawajielewi. Naanza hata kujionea mashaka kuwa pengine sasa mimi ndo tatizo.
Sina namna Ndio maisha ninayo ishi. Yan naishia kuziona kwenye mitandao tu.Bas mbususu utaisikia mtandaoni kwa mzabzab
Sasa si ukamuoe... kweli kwenye miti hapana wajenzi. Carlos The Jackal njoo huku bana umpe huyu bwana maujanja. Anataka kumuacha miss independent mwenye gari yake. DeepPond mkuu busara zako kidogo huku uje umwelekeze bwana mdogo kuhusu michepukoana agari yake si kwamba hana gari.
Maskini,mwisho itapotelea humohumoSina namna Ndio maisha ninayo ishi. Yan naishia kuziona kwenye mitandao tu.
Ni bora ipolee humu kuliko kupotelea kwa mtu asiye sahihi.Maskini,mwisho itapotelea humohumo
Sema jamaa anakismati; gharama za matengenezo ndio mahari... Aloooh... na demu Ana gari juu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahiyo dada kaona bora tuu muoane na hasara kashakupa [emoji1787]
Hakuna namna ....ila usipige nyeto bas plzzNi bora ipolee humu kuliko kupotelea kwa mtu asiye sahihi.
Wadada wanakuonea siku hizi.Huyu dada rafiki yangu wa muda toka tukiwa chuo. Jana alipenda tuonane tuweze ongea mawili matatu sababu ilikuwa ni weekend. Nilichukuana naye tukawa sehemu tunapata viburudisho then akaomba tunapoondoka tupitie somewhere nimchukulie kuku wa kuchoma. nikasema haina shida. So we went there. Akasema haina haja ya kushuka sababu alishakunywa sana so niagize tuje tukae kwenye gari, sikuona haja ya kuzima gari nikaona niache tu gari ipo on maana sipendi kufungua vioo vumbi lisije ingia ndani. so niliacha gari AC ipo on.
Nimeenda nikaagiza na kusimamia kidogo. nikarudi kumkuta amegonga gari eti alikuwa anajaribu kugeuza kabisa. Kmbe katika kurudi nyuma amegonga gari ya watu na kupasua taa ya gari yangu na ya huyo mwingine. Nimemkuta anatokwa jasho ile mbaya haelewi cha kufanya. Namuuliza why did you do that. anasema niliona tu nigeuze gari kabisa kumbe sikuangalia vizuri nyuma sijazoea kutumia Camera.
Huyu dada kwa kweli nimeshindwa kuelewa nimfanye nini maana amenipa hasara ambayo haikuwa na sababu. Jamaa imebidi nimlipe kwa ajili ya taa nami pia nikanunue taa kwa ajili ya gari yangu. Yeye amebaki tu anakodoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango. hawa watu wengine sijui waliumbwa wapi. Nilienda mshusha kwake na kuondoka sina hamu naye tena. Anatuma tu text kuwa nimsamehe tuoane tuyamalize au niende kwake tukaongee. Nami sioni cha kwenda kuongea naye. Na mimi naye nina matatizo sana na madada wa na mna hii ambao hawajielewi. Naanza hata kujionea mashaka kuwa pengine sasa mimi ndo tatizo.
Kwan ww ujawai isikia ile taarab inaimba "raha jipe mwenyewe"Hakuna namna ....ila usipige nyeto bas plzz
Utampata mstaarabu utashindwa kuperform mkuuKwan ww ujawai isikia ile taarab inaimba "raha jipe mwenyewe"
Kumbe!? Ila mm nimesema tu.Utampata mstaarabu utashindwa kuperform mkuu
Mwambie ajiunge jamiiforum ili na yeye awe na gari, huku wote tunayo magari sijui yeye anakwama wapi.? Kweli wadada wengine wanakeraaHuyu dada rafiki yangu wa muda toka tukiwa chuo. Jana alipenda tuonane tuweze ongea mawili matatu sababu ilikuwa ni weekend. Nilichukuana naye tukawa sehemu tunapata viburudisho then akaomba tunapoondoka tupitie somewhere nimchukulie kuku wa kuchoma. nikasema haina shida. So we went there. Akasema haina haja ya kushuka sababu alishakunywa sana so niagize tuje tukae kwenye gari, sikuona haja ya kuzima gari nikaona niache tu gari ipo on maana sipendi kufungua vioo vumbi lisije ingia ndani. so niliacha gari AC ipo on.
Nimeenda nikaagiza na kusimamia kidogo. nikarudi kumkuta amegonga gari eti alikuwa anajaribu kugeuza kabisa. Kmbe katika kurudi nyuma amegonga gari ya watu na kupasua taa ya gari yangu na ya huyo mwingine. Nimemkuta anatokwa jasho ile mbaya haelewi cha kufanya. Namuuliza why did you do that. anasema niliona tu nigeuze gari kabisa kumbe sikuangalia vizuri nyuma sijazoea kutumia Camera.
Huyu dada kwa kweli nimeshindwa kuelewa nimfanye nini maana amenipa hasara ambayo haikuwa na sababu. Jamaa imebidi nimlipe kwa ajili ya taa nami pia nikanunue taa kwa ajili ya gari yangu. Yeye amebaki tu anakodoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango. hawa watu wengine sijui waliumbwa wapi. Nilienda mshusha kwake na kuondoka sina hamu naye tena. Anatuma tu text kuwa nimsamehe tuoane tuyamalize au niende kwake tukaongee. Nami sioni cha kwenda kuongea naye. Na mimi naye nina matatizo sana na madada wa na mna hii ambao hawajielewi. Naanza hata kujionea mashaka kuwa pengine sasa mimi ndo tatizo.
Ugwadu piaKumbe!? Ila mm nimesema tu.
Ila Performance nzuri inachangiwa na ushirikiano wenu wahusika et
Hapo ndipo kwenye changamoto ila ngoja nijipe mda wa kumsubiria mtu wa kuja kuupunguzaUgwadu pia
Yes,subira yavuta kheriHapo ndipo kwenye changamoto ila ngoja nijipe mda wa kumsubiria mtu wa kuja kuupunguza