Kuna wadada wengine sijui wakoje! Huyu nimeshindwa kuelewa nimfanye nini

🤣🤣Oaneni tu.... Nimependa ulivyojionea mashaka 🤣
 
Kamtembelee kwa mpalange
 
Mbona jambo dogo tu hilo bro msamehe tu. Mi huwa nashindwaga kuwaelewa watu wanaovunja urafiki wa miaka zaidi ya 10 kwasababu ya kosa moja tu. Simpo msamehe mwenzio awe na amani ya moyo then ujue jins ya kuish na mtu mwenye madhaifu hayo. Other ways uniambie ulikuwa unamsubiria akosee umpotezee mazima.
 
Bro, uwe unatoaga sadaka na fungu la 10.
 
Hivi ni mimi tu humu JF ndio sina gari au kuna wenzangu?
Tafuta hela, gari mbona vitu vya kawaida tu mwana?
Hebu fanya kazi kwa bidii aisee, gari na nyumba ni kawaida tu wala usishangae au kuhisi jamaa wanadanganya kwenye story zao!
 
Shake before use
 
Pole sana,ila hukupaswa kumpeleka popote,safari yake ingeishia hapo,na kuku usingempa[emoji85]
 
amenikwaza sana................ halafu hata si kwamba tuna naniii.....wala. urafiki tu ule akiwa so bored ananitafuta n.k sasa naona kama anataka niingiza kwenye mahusiano ambayo nayakwepa kwake.
Kwani umeshaoa mkuu?kama bado nafikiri ni wakati sahihi wa kuanza kumchunguza na kufanya maisha.

Hivi mbona hizi bahati hazipiti upande wangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…