Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀 nani kakuambia?Hivyo nibkuharibu watoto...
Tabia hiyo inaendelea mpk ukubwani. Sasa ukiwa kwa watu unatia aibu
Kweli mkuu nitie timu? Natafuta kashamba hukoUkija huku kwetu kalambo ,tunakuchinjia mbuzi , kuku ni kifungua kinywa, maziwa utachangua mwenyewe unywe jagi la maziwa mgando au Lita mbili za maziwa fresh.( Usione aibu sisi huku kula Sana kazi iendelee)
Wakati wa kurudi kwenu Huko dar, tunakufungashia maziwa Lita 40, mchele kilo utakazoweza kubeba kwenye gari yako Hadi gari ikae Kama chura, maboga, maharage, matango, mayai ya kuku wakienyeji, Mahindi, unga wa Mahindi, kuku ,bata ,pilipili, matikiti maji.mjage na double cabine tuwafungie na mabeberu( mbuzi madume) mkachinje mjini mpate mboga ya kutusema tukija na mnatusema kweli kweli.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Uchoyo tu unamsumbua, Usimsimange Binadamu mwenzio kisa Chakula.Sijui ni ulafi au Uzungu, wewe kama umepika wachache si shida ni yako? kwanini usiweke kwenye sahani na mkashea hasa kwenye upande wa mboga? Hivyo vipande vitatu ni vya gram ngapi kila kimoja? Chakula cha manung'uniko bhana mwisho mtu anigwe na mfupa kisa jicho la usuda la kuchukua samaki mmoja (tena kagawanywa vipande vitatu) mwenye gram 400.
Kwani haufahamu siku hizi chakula ni mboga, YAANI MBOGA INAKUWA KUBWA ZAIDI YA WALI/UGALI?
HahahahaaaSky Eclat, yaani umeamua kunisimanga JamiiForums, sawa tu, ukinialika ntakunywa hadi maji ya kunawa ndio mtie aibu
Pichani, angalia wanavyokula kwa furaha, wakati unasikitikia samaki.Uchoyo tu unamsumbua, Usimsimange Binadamu mwenzio kisa Chakula.