Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha ha ha haSijui ni ulafi au Uzungu, wewe kama umepika wachache si shida ni yako? kwanini usiweke kwenye sahani na mkashea hasa kwenye upande wa mboga? Hivyo vipande vitatu ni vya gram ngapi kila kimoja? Chakula cha manung'uniko bhana mwisho mtu anigwe na mfupa kisa jicho la usuda la kuchukua samaki mmoja (tena kagawanywa vipande vitatu) mwenye gram 400.
Kwani haufahamu siku hizi chakula ni mboga, YAANI MBOGA INAKUWA KUBWA ZAIDI YA WALI/UGALI?
Kwa upande wangu me nadhani kama una expect ugeni ni vema basi ukaandaa chakula ambacho wageni watakula na kufurahia na sio kujibana bana na kujutia.
Lakini kama ugeni ulikuwa ni wa ghafla ni vema ukawachukua wageni mkaenda mgahawani mkapiga menyu huko.....
Sent using Jamii Forums mobile app