Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu kisa kakaribishwa kaambiwa jiskie uko nyumbani. Kakaanga mayai tisa toka kwny tray. [emoji23]Unakaribishwa chakula kwenye familia, mabakuli makubwa ya chakula na mbogamboga yanawekwa kati kati. Inakuja wakati kila mtu ajiwekee chakula anachopenda...
Pole sana, lakini sio vizuri kuleta siri za shemeji yako humu ndani.Unakaribishwa chakula kwenye familia, mabakuli makubwa ya chakula na mbogamboga yanawekwa kati kati. Inakuja wakati kila mtu ajiwekee chakula anachopenda...
Nimeileta hapa ili kama kuna wenye tabia kama za shemeji yangu wajirekebishe.
Wengine wanaushindilia wali na kijiko. Akipasi hotpot kwako liko nusu.Ilinitokea moja niko ugenini na mgen nilienda nae mimi wote tulikua wagen mgen alijaza wali mama mwenye nyumba akamkata jicho na mdomo ukakunjwa mimi ndio niliona jicho jamaa alikua anachekelea tu zamu yangu nikachota kias kidogo ila nikaona jamaa langu lilikosea unaenda kwa mtu bila miad alafu unskuta msosi usiku saa tatu hujui ratiba zao unajaza juuu mpala sahan inakua full hata ujiongezi
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ulafi piaUchoyo ndio unawasumbua watu kama hao
Siku za MwishoUtandawazi unakuja na mema pamoja na mabaya mengi pia ikiwamo hili la wazazi kutofanya sehemu zao ipasavyo (Not playing their part accordingly)
Noted. Ila mimi sipendi kabisa kula kwa watu. Na ikitokea basi huwa napakuwa chakula kiwango kidogo kadiri nitakavyoweza. Ni bora nisishibe ugenini, nitaenda kujazia mbele ya safari (nyumbani).
Wengine wanaushindilia wali na kijiko. Akipasi hotpot kwako liko nusu.
Fikiria mgeni ameweka vipande vitatu na Junior akose kabisa samaki, inabidi Baba Junior atoe samaki wake ampe Junior. Mgeni atajisikiaje!Poleni sana watu wa Dar, sisi huku mikoani mgeni akikaribishwa na akajipakulia Lumbesa ndiyo furaha yetu na faraja ya kumkirimu mgeni, hatuna takrima zingine mbali na msosi lumbesa...
Haaa haaa maji yakunawa ya watu waliokula samaki samaki zenyewe migebuka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sky Eclat, yaani umeamua kunisimanga JamiiForums, sawa tu, ukinialika ntakunywa hadi maji ya kunawa ndio mtie aibu
Wengine si boarding bali ni malezi mabaya, kama wale wababa wapenda kuoa oa hawanaga muda wa kula na watoto wao muda wote wanawaza vimadaMy dear Sky Eclat
Ndio maana siku zote wazazi huwa wanashauriwa kuwa wanakula meza moja na watoto wao ili wawafundishe TABLE MANNERS ikiwamo kuwafikiria wengine na hata namna ya kutafuna chakula...
Nunua basi mpelekee shemeji yako akapike, sio kupiga domo tu hata chungwa la mia haubebi watoto wapokee bamdogo karudi[emoji23][emoji23][emoji23] ila kwangu kama samaki nitakujazia wewe tu!Sijui ni ulafi au Uzungu, wewe kama umepika wachache si shida ni yako? kwanini usiweke kwenye sahani na mkashea hasa kwenye upande wa mboga? Hivyo vipande vitatu ni vya gram ngapi kila kimoja? Chakula cha manung'uniko bhana mwisho mtu anigwe na mfupa kisa jicho la usuda la kuchukua samaki mmoja (tena kagawanywa vipande vitatu) mwenye gram 400.
Kwani haufahamu siku hizi chakula ni mboga, YAANI MBOGA INAKUWA KUBWA ZAIDI YA WALI/UGALI?
Sasa ndiyo bajeti zao, wewe umetoka mkoa hata kilo 5 za mchele hujabeba, unafika ndugu yako nyie mnapenda kula ugali usiku sie kwetu ni wali na ndizi sasa watu wakuelewe vipi jamani?Watu wa Dar acheni uchoyo kwanini msipike chakula kingi?..ndo mana mnakufa kwa stress mana moyoni mmejaza kila aina za uchoyo....