Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Kuna wahenga mnaokumbuka hili tangazo la UKIMWI la kwenye TV?

Sasa min -me kuna siku nilimwambia "mkuu umebadili avatar mpaka nimekusahau" tokea siku hiyo ndio akaniganda😂
Bora we hua unakumbuka starting point yenu mi hata sielewagi najikuta nikiona comment ya nanii naisoma tu Kwa umakini naiquote ila natuma dkk saba kujibu ni mwendo wa typing.... delete.....typing..... delete
 
Kabisa wengi wanachafuliwa kimtindo , kuna dem flan iv kila mtu kitaa alisema ashapiga , kipindi cha nyuma kidogo , mwamba kuibuka mtoto ni sildi 😁😁 sasa sijui walipiga wapi😂😂
Labda walipiga mabegani, mwenyewe kuna mwamba alishamsakama demu mbaya na kusema kashajipigia sana, huku pisi inaniambia ni bikra nikawa sielewi mpaka nilipochana goli na kukuta mtoto hakuwai guswa.
 
Back
Top Bottom