Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hiyo naiona sanaUtagundua humu pia kuna trending ya urafiki,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo naiona sanaUtagundua humu pia kuna trending ya urafiki,
Halafu inatokea tu, watu hata hampangiHiyo naiona sana
Kuna mada mlielewana vizuri, baadae kila mkikutana mnavibeHalafu inatokea tu, watu hata hampangi
Bora we hua unakumbuka starting point yenu mi hata sielewagi najikuta nikiona comment ya nanii naisoma tu Kwa umakini naiquote ila natuma dkk saba kujibu ni mwendo wa typing.... delete.....typing..... deleteSasa min -me kuna siku nilimwambia "mkuu umebadili avatar mpaka nimekusahau" tokea siku hiyo ndio akaniganda😂
Lioneee! Kumbe unanichora tu hapa😂Bora we hua unakumbuka starting point yenu mi hata sielewagi najikuta nikiona comment ya nanii naisoma tu Kwa umakini naiquote ila natuma dkk saba kujibu ni mwendo wa typing.... delete.....typing..... delete
KwambaLioneee! Kumbe unanichora tu hapa😂
Nina D mbili mwenzako
Unaning'ong'aKwamba
🎶Moyo unasemaEphen tena, sio kweli mkuu
Wala hata najizungumzia mimiUnaning'ong'a
Hongera! Muwe mnanialika mara kwa mara nije kupiga menu za kibabeWala hata najizungumzia mimi
😂😂😂 Unafikiri ni rahis hvoHongera! Muwe mnanialika mara kwa mara nije kupiga menu za kibabe
Kweli watu hatuaminiani😂😂😂😂 Unafikiri ni rahis hvo
Ukitaka kuenjoy maisha epuka stress ndogo ndogo zinazoepukikaKweli watu hatuaminiani😂
Ila ni vizuri kuchukua tahadhari mamba ni wengi
Umetisha mwanangu hii hii sasa nataka jina lake nmecheka sana mpka watu wamenshangaaHilo tangazo nafikiri lilikuepo channel 10 miaka ya elf 2 mwanzoni, mida ya jioni, tena baada ya katuni kuomyeshwa, nafikiri lilikuwa lina-sound kama hivi 😁 jerryempire
Ivo yaanHIV bado ipo na inaua ni kuwa makini tu mkuu ,kinga ni bora kuliko tiba .
Wee ulikuwa wanichukulia poa kwa sababu ya ujinga ujinga naoandikaga humu 🤣🤣🤣🤣🤣Hee kumbe wewe Mzee 😲 kipindi cha Hilo tangazo la usione Soo mm niko shule ya msingi mzabzab
Labda walipiga mabegani, mwenyewe kuna mwamba alishamsakama demu mbaya na kusema kashajipigia sana, huku pisi inaniambia ni bikra nikawa sielewi mpaka nilipochana goli na kukuta mtoto hakuwai guswa.Kabisa wengi wanachafuliwa kimtindo , kuna dem flan iv kila mtu kitaa alisema ashapiga , kipindi cha nyuma kidogo , mwamba kuibuka mtoto ni sildi 😁😁 sasa sijui walipiga wapi😂😂
Huwa wanazingua tu mkuu😁Labda walipiga mabegani, mwenyewe kuna mwamba alishamsakama demu mbaya na kusema kashajipigia sana, huku pisi inaniambia ni bikra nikawa sielewi mpaka nilipochana goli na kukuta mtoto hakuwai guswa.