Kuna wakati huwa sivielewi vyama vya upinzani hasa Tanzania wanasimamia nini na wanataka nini?

Kuna wakati huwa sivielewi vyama vya upinzani hasa Tanzania wanasimamia nini na wanataka nini?

Mkungunero

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2023
Posts
401
Reaction score
569
Mfano, utakuta wanakwambia eti Putin ni mwamba kabisa. Muda mwingine wanawashingilia Putin na kiduku.

Sasa Rais akiamua kuwaiga hao wanaowaita miamba wanalia tena kwamba ameminya demokrasia wakati hao akina punin wamepiga marufuku demokrasia.

Samia leo akisema hakuna uchaguzi tena hapa Tanzania bali waliopo waendelee kuongoza, wapinzani watalia tena kwamba Samia ni dictator wakati hao akina Putin ni life Presidents na wanawashangila kabisa.

Rais Samia akiamua kufunga jela wapinzani wake ataambiwa ni dictator wakati akina Putin wanawaua kabisa wapinzani wao na CHADEMA wanamshangilia kabisa kuwa hawa ni miamba.

Sasa hapa ndio unakuja kujua kwamba bora upinzani ufutwe maana hawajui wanataka nini na kipi kifanyike ndio maana wamebaki kupinga tu kila kitu cha serikali mana hamna cha kuongea.
 
Mfano, utakuta wanakwambia eti Putin ni mwamba kabisa. Mda mwingine wanawashngilia Putin na kiduku.


Sasa rais akiamua kuwaiga Hao wanaowaita miamba wanalia tena kwamba ameminya demokrasia wakati Hao akina punin wamepiga marufuku demokrasia.

Samia Leo akisema hakuna uchaguzi tena hapa Tanzania Bali waliopo waendelee kuongoza.. wapinzani watalia tena kwamba Samia ni dictator wakati Hao akina Putin ni life presidents na wanawashangila kabisa.

Rais Samia akiamua kufunga jela wapinzani wake ataambiwa ni dictator wakati akina Putin wanawaua kabisa wapinzani wao na chadema wanamshangilia kabisa kuwa Hawa ni miamba.

Sasa hapa ndo unakuja kujua kwamba Bora upinzani ufutwe mana hawajui wanataka nini na kipi kifanyike ndoana wamebaki kupinga tu kila kitu Cha serikali mana hamna Cha kuongea.
Kwa Uandishi huo kama UHARO wa Bata ulimaliza Elimu ya Msingi kweli??
 
Mfano, utakuta wanakwambia eti Putin ni mwamba kabisa. Mda mwingine wanawashngilia Putin na kiduku.


Sasa rais akiamua kuwaiga Hao wanaowaita miamba wanalia tena kwamba ameminya demokrasia wakati Hao akina punin wamepiga marufuku demokrasia.

Samia Leo akisema hakuna uchaguzi tena hapa Tanzania Bali waliopo waendelee kuongoza.. wapinzani watalia tena kwamba Samia ni dictator wakati Hao akina Putin ni life presidents na wanawashangila kabisa.

Rais Samia akiamua kufunga jela wapinzani wake ataambiwa ni dictator wakati akina Putin wanawaua kabisa wapinzani wao na chadema wanamshangilia kabisa kuwa Hawa ni miamba.

Sasa hapa ndo unakuja kujua kwamba Bora upinzani ufutwe mana hawajui wanataka nini na kipi kifanyike ndoana wamebaki kupinga tu kila kitu Cha serikali mana hamna Cha kuongea.
Braza, kauli/mtazamo wa kiongozi yeyote wa chama Chochote kuhusu issue yoyote sio mtazamo wa chama.
Mf: vita urusi na Ukraine Kila mtu atakua na upande wake, lissue aliwahi SEMA Putin Yuko sahihi, hii haimaanishi wanachadema wote wanafikiri Ivo.
Msimamo wa chama una namna unavo kuwa addressed
 
Mfano, utakuta wanakwambia eti Putin ni mwamba kabisa. Muda mwingine wanawashingilia Putin na kiduku.

Sasa Rais akiamua kuwaiga hao wanaowaita miamba wanalia tena kwamba ameminya demokrasia wakati hao akina punin wamepiga marufuku demokrasia.

Samia leo akisema hakuna uchaguzi tena hapa Tanzania bali waliopo waendelee kuongoza, wapinzani watalia tena kwamba Samia ni dictator wakati hao akina Putin ni life Presidents na wanawashangila kabisa.

Rais Samia akiamua kufunga jela wapinzani wake ataambiwa ni dictator wakati akina Putin wanawaua kabisa wapinzani wao na CHADEMA wanamshangilia kabisa kuwa hawa ni miamba.

Sasa hapa ndio unakuja kujua kwamba bora upinzani ufutwe maana hawajui wanataka nini na kipi kifanyike ndio maana wamebaki kupinga tu kila kitu cha serikali mana hamna cha kuongea.
kweli kabisa na ndio maana unaona wapinzani kila hoja wao wanadandia tu kwa mfano walianza na swala la katiba wakaja na DP mara wakaja na swala la maasai wa ngorongoro leo wamerudi na swala la katiba. Tanzania tunawapinzani wa hovyo sana
 
kweli kabisa na ndio maana unaona wapinzani kila hoja wao wanadandia tu kwa mfano walianza na swala la katiba wakaja na DP mara wakaja na swala la maasai wa ngorongoro leo wamerudi na swala la katiba. Tanzania tunawapinzani wa hovyo sana
Nakazia hapo ni wapinzani wa hovyo tena sana
 
CCM ndiyo rahisi kujua fasta kuwa huwa wanasimamia nini na wanataka kitu gani
 
Braza, kauli/mtazamo wa kiongozi yeyote wa chama Chochote kuhusu issue yoyote sio mtazamo wa chama.
Mf: vita urusi na Ukraine Kila mtu atakua na upande wake, lissue aliwahi SEMA Putin Yuko sahihi, hii haimaanishi wanachadema wote wanafikiri Ivo.
Msimamo wa chama una namna unavo kuwa addressed
sasa ndugu kweye hilo mbona chadema wote utawakosoa.

Kwa mfano swala la ngorongoro msigwa alisema serikal inapaswa ichukue hatua za haraka kuwaondoa wamasai mule hifadhini hayo yalikiwa maoni yake baada ya kuona maisha ya wamaasai wanavyoishi mule hifadhini. Lakini juzi tu mmeona lisu kaenda kule na hoja tofauti kabisa na chama kilibeba kama ajenda. Hapa sasa ndio uone hawa jamaa hawanaga hoja
 
Hakuna upinzani hii nchi,,Wanatukanana Hadharani,,Wanaenda pataniana Mafichoni!!
 
Wapinzani wengi wa Tanzania wana hilo tatizo la uelewa finyu au duni sana wa siasa za nchi nyingine na kupeleka kushabikia au kutamani vitu wasivyovielewa kwa undani kama huko Urusi, Korea Kaskazini ya Kiduku, Libya ya Gaddafi, Rwanda n.k . Hata hivyo hiyo hailalishi kufutwa kwao au kubughudhiwa kwa namna yoyote na dola.
 
sasa ndugu kweye hilo mbona chadema wote utawakosoa.

Kwa mfano swala la ngorongoro msigwa alisema serikal inapaswa ichukue hatua za haraka kuwaondoa wamasai mule hifadhini hayo yalikiwa maoni yake baada ya kuona maisha ya wamaasai wanavyoishi mule hifadhini. Lakini juzi tu mmeona lisu kaenda kule na hoja tofauti kabisa na chama kilibeba kama ajenda. Hapa sasa ndio uone hawa jamaa hawanaga hoja
Kuna ajenda/mtazamo wa chama, ambayo inawekwa waz kupitia msemaji wa chama. Na inatokana na majadiriano ya kamati tendaji. Na ayo ndo yanayoingia kwenye utekelezaji eiza Kwa kampeni or msimamo wa kimaandiko.
Sio nani kasema nini? Mambo ya utofauti wa kimtazamo kati ya mtu na mtu ndani ya chama ni kawaida coz ni tasisi kubwa, hata ndani ccm inatokeaga
 
Ni vyema pia kufahamu pia siasa za ki Africa na hasa bongo kwa makundi yote huwa sio za kuongozwa na itikadi sana. Katika dunia ya sasa Ulaya na mataifa machache sana kama Singapore, Japan, Korea Kusini, Canada n.k ndio unaweza kusema siasa zao zinaongozwa na itikadi na principles zaidi.
 
Wapinzani wengi wa Tanzania wana hilo tatizo la uelewa finyu au duni sana wa siasa za nchi nyingine na kupeleka kushabikia au kutamani vitu wasivyovielewa kwa undani kama huko Urusi, Korea Kaskazini ya Kiduku, Libya ya Gaddafi, Rwanda n.k . Hata hivyo hiyo hailalishi kufutwa kwao au kubughudhiwa kwa namna yoyote na dola.
No so wapinzani tu. Watanzania wengi wa vyama mbalimbali ikiwemo ccm wako ivo
 
CCM IMEKUTOA UFAHAMU SIO RAHISI KUJUA
20210716_160047.jpg
 
Yani washabiki wa CCM wapo radhi kuishambulia CDM ambayo haipo madarakani, misimamo yao haipunguzi wala kuongeza mshahara wa yeyote, lakini wapo radhi kushabikia AFYA TOTO ikifutwa huku WENZA WA VIONGOZI wakipangiwa kupata mafao bila kufanya lolote, hii Nchi......adui yetu sio CCM wala CDM ni sisi wenyewe wananchi walio wengi ni MAJUHA.
 
Mfano, utakuta wanakwambia eti Putin ni mwamba kabisa. Muda mwingine wanawashingilia Putin na kiduku.

Sasa Rais akiamua kuwaiga hao wanaowaita miamba wanalia tena kwamba ameminya demokrasia wakati hao akina punin wamepiga marufuku demokrasia.

Samia leo akisema hakuna uchaguzi tena hapa Tanzania bali waliopo waendelee kuongoza, wapinzani watalia tena kwamba Samia ni dictator wakati hao akina Putin ni life Presidents na wanawashangila kabisa.

Rais Samia akiamua kufunga jela wapinzani wake ataambiwa ni dictator wakati akina Putin wanawaua kabisa wapinzani wao na CHADEMA wanamshangilia kabisa kuwa hawa ni miamba.

Sasa hapa ndio unakuja kujua kwamba bora upinzani ufutwe maana hawajui wanataka nini na kipi kifanyike ndio maana wamebaki kupinga tu kila kitu cha serikali mana hamna cha kuongea.
Ma homie Putin and Kim inajulikana wamesimamia maslahi ya mataifa yao na watu wao, lkn viongoz wa Africa wamesimamia maslahi ya matumbo yao plus familia zao na washkaj zao!!
 
Back
Top Bottom