Kuna wakati huwa sivielewi vyama vya upinzani hasa Tanzania wanasimamia nini na wanataka nini?

Kuna wakati huwa sivielewi vyama vya upinzani hasa Tanzania wanasimamia nini na wanataka nini?

Mfano, utakuta wanakwambia eti Putin ni mwamba kabisa. Muda mwingine wanawashingilia Putin na kiduku.

Sasa Rais akiamua kuwaiga hao wanaowaita miamba wanalia tena kwamba ameminya demokrasia wakati hao akina punin wamepiga marufuku demokrasia.

Samia leo akisema hakuna uchaguzi tena hapa Tanzania bali waliopo waendelee kuongoza, wapinzani watalia tena kwamba Samia ni dictator wakati hao akina Putin ni life Presidents na wanawashangila kabisa.

Rais Samia akiamua kufunga jela wapinzani wake ataambiwa ni dictator wakati akina Putin wanawaua kabisa wapinzani wao na CHADEMA wanamshangilia kabisa kuwa hawa ni miamba.

Sasa hapa ndio unakuja kujua kwamba bora upinzani ufutwe maana hawajui wanataka nini na kipi kifanyike ndio maana wamebaki kupinga tu kila kitu cha serikali mana hamna cha kuongea.
Kuna siku Moja niliwahi kumuuliza chawa mmoja wa chadema kuwa nyie mnataka tuandamane je Kwa Nini tuandamane tunataka Nini Ili tusiandamane ???

Uongozi uliopo haufai?? Akasema tunataka katiba mpya
Nikamuuliza nyie mna katiba? Akasema ndiyo mnaifata ndiyo ndo inayoruhusu mbowe kuwa mwenyekiti Toka namfahamu?? Hakujibu chochote

Nikamuuliza Tena unadhani tatzo ni kubadili uongozi ?? Unadhani hivyo mnavyovilalamikia wakiingia chadema hawatakuwepo au wewe na Mimi tutafaidika Nini huo mfumo mpya wa uongozi mnaoutaka?????
 
Mfano, utakuta wanakwambia eti Putin ni mwamba kabisa. Muda mwingine wanawashingilia Putin na kiduku.

Sasa Rais akiamua kuwaiga hao wanaowaita miamba wanalia tena kwamba ameminya demokrasia wakati hao akina punin wamepiga marufuku demokrasia.

Samia leo akisema hakuna uchaguzi tena hapa Tanzania bali waliopo waendelee kuongoza, wapinzani watalia tena kwamba Samia ni dictator wakati hao akina Putin ni life Presidents na wanawashangila kabisa.

Rais Samia akiamua kufunga jela wapinzani wake ataambiwa ni dictator wakati akina Putin wanawaua kabisa wapinzani wao na CHADEMA wanamshangilia kabisa kuwa hawa ni miamba.

Sasa hapa ndio unakuja kujua kwamba bora upinzani ufutwe maana hawajui wanataka nini na kipi kifanyike ndio maana wamebaki kupinga tu kila kitu cha serikali mana hamna cha kuongea.
Ni wapi wapinzani walikaa vikao na kupitisha huu upuuzi unaoongea humu?
 
Back
Top Bottom