Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli mkuu inashangaza sana, fikiria watu wametoka Uvira, Manyema, Kalemie, Bukavu, Goma huko Kongo, wamevuka ziwa Tanganyika kwa tabu na mashaka kisha wakatembea kwa miguu mpaka Bagamoyo ili wasafirishwe kwenda ughaibuni!!Sijajua umewaza kutumia kiungo
gani mwilini mwako,
hivi unajua zile Safari zilkuwa za jasho na damu na hujui unapelekwa wapi hata wanaofika Siyo idadi iliyoanza Safari
Vizazi vyao vingetoboa wapi? Wamarekani weusi wenyewe failure tu hukoHATA kama n mateso wangeteseka waoo vizazi vyao vingetoboaaa ona sasa hali si nzuri kabisaa kila Kona ya africa
inauma sana kwakweliUmewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.
Utasema ooooh...wengine walikufa. Sawa walikufa.sasa huyu babu yako ambaye amebaki alifanya nini? Hamna mashamba makubwa, hamna mifugo mingi... Mpo tu hata CCM haiwatambui kuwapa vyeo. Sasa si bora angekufa akiwa ana try something new. Na pengine ange survive ungekuwa USA huko angalau maisha yako si haba. Sema labda ungeamua kuwa unatumia unga.
Lakini bora kidogo. Uongo? Unatumia unga wa hapa Bongo ushachanganywa sana mpaka hata stimu zinakuwa za kulazimisha na zina haribu akili.
Anyway. Mi nimewaza tu. Wengine wangeenda uarabuni huko na kuwa....sijui nini. Akajifanya kuwachenga wazungu abaki Tz eti ye mjanja. Kiko wapi sasa? Si bora tu angejipeleka kwenda huko pengine nawe ungezaliwa huko kwa watu.
HeheheUmewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.
Utasema ooooh...wengine walikufa. Sawa walikufa.sasa huyu babu yako ambaye amebaki alifanya nini? Hamna mashamba makubwa, hamna mifugo mingi... Mpo tu hata CCM haiwatambui kuwapa vyeo. Sasa si bora angekufa akiwa ana try something new. Na pengine ange survive ungekuwa USA huko angalau maisha yako si haba. Sema labda ungeamua kuwa unatumia unga.
Lakini bora kidogo. Uongo? Unatumia unga wa hapa Bongo ushachanganywa sana mpaka hata stimu zinakuwa za kulazimisha na zina haribu akili.
Anyway. Mi nimewaza tu. Wengine wangeenda uarabuni huko na kuwa....sijui nini. Akajifanya kuwachenga wazungu abaki Tz eti ye mjanja. Kiko wapi sasa? Si bora tu angejipeleka kwenda huko pengine nawe ungezaliwa huko kwa watu.
Nimetumia Ukuni kufikiria. Niambie wewe uliyetumia Mbwatah.Sijajua umewaza kutumia kiungo
gani mwilini mwako,
hivi unajua zile Safari zilkuwa za jasho na damu na hujui unapelekwa wapi hata wanaofika Siyo idadi iliyoanza Safari
Nazo za kuzalishia tu hilo nashukuru....Yaani kwa pumba uliyoandika sidhani hata akili za kuvukia barabara unazo
Kuna sehemu nimelaumu wazazi? Nyie watu hamjui kusoma? Na nani amesema wazazi wake wamekufa au anawalaumu?Usiwalaumu waliokufa bali jiangalie wewe sasa,
Leo njia za kufika majuu ni rahisi kuliko wao waliodhalilika na wengine kutupwa baharini kisa waliugua.
Leo hakuna kulazimishwa kuja ulaya bali unaenda jiua mwenyewe kwenye boti lililojaa watu 300 na kuzama
Kila mmoja apambane na hali yake, na ukitaka kuja majuu unaweza ila usisubiri mizimu ikusaidie
Mkuu unataka babu yako angekuwa kachukuliwa utumwani ili wewe ufike Marekani?Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.
Utasema ooooh...wengine walikufa. Sawa walikufa.sasa huyu babu yako ambaye amebaki alifanya nini? Hamna mashamba makubwa, hamna mifugo mingi... Mpo tu hata CCM haiwatambui kuwapa vyeo. Sasa si bora angekufa akiwa ana try something new. Na pengine ange survive ungekuwa USA huko angalau maisha yako si haba. Sema labda ungeamua kuwa unatumia unga.
Lakini bora kidogo. Uongo? Unatumia unga wa hapa Bongo ushachanganywa sana mpaka hata stimu zinakuwa za kulazimisha na zina haribu akili.
Anyway. Mi nimewaza tu. Wengine wangeenda uarabuni huko na kuwa....sijui nini. Akajifanya kuwachenga wazungu abaki Tz eti ye mjanja. Kiko wapi sasa? Si bora tu angejipeleka kwenda huko pengine nawe ungezaliwa huko kwa watu. Kuliko sasa hivi upo Bongo unalalamika jua tu umepauka kama samaki aliyeanikwa juani.
Babu yako amebaki kusimulia tu kuwa alikwepa kuchukuliwa utumwani. Muulize sasa alibaki anafanya nini? Si bora hata angechukuliwa huko akafa. Kabaki ni shida tu kwenu. Sasa hivi asubuhi na jioni mna kazi ya kumtoa aote Jua. Ukoo wote mmechoka sababu ya udwanzi wake wa kukimbia kuchukuliwa utumwani. Haya alibaki.kipo wapi sasa? Anavaa tu shirts na kofia za CCM. Hovyo sana.
Funga hicho kizazi, watoto watatesekaNazo za kuzalishia tu hilo nashukuru....
Bangi +gongo +mihadarati +kichwani 0=Bomu la Asili!. Mlipuko wake ni mkubwa sana!!Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.
Utasema ooooh...wengine walikufa. Sawa walikufa.sasa huyu babu yako ambaye amebaki alifanya nini? Hamna mashamba makubwa, hamna mifugo mingi... Mpo tu hata CCM haiwatambui kuwapa vyeo. Sasa si bora angekufa akiwa ana try something new. Na pengine ange survive ungekuwa USA huko angalau maisha yako si haba. Sema labda ungeamua kuwa unatumia unga.
Lakini bora kidogo. Uongo? Unatumia unga wa hapa Bongo ushachanganywa sana mpaka hata stimu zinakuwa za kulazimisha na zina haribu akili.
Anyway. Mi nimewaza tu. Wengine wangeenda uarabuni huko na kuwa....sijui nini. Akajifanya kuwachenga wazungu abaki Tz eti ye mjanja. Kiko wapi sasa? Si bora tu angejipeleka kwenda huko pengine nawe ungezaliwa huko kwa watu. Kuliko sasa hivi upo Bongo unalalamika jua tu umepauka kama samaki aliyeanikwa juani.
Babu yako amebaki kusimulia tu kuwa alikwepa kuchukuliwa utumwani. Muulize sasa alibaki anafanya nini? Si bora hata angechukuliwa huko akafa. Kabaki ni shida tu kwenu. Sasa hivi asubuhi na jioni mna kazi ya kumtoa aote Jua. Ukoo wote mmechoka sababu ya udwanzi wake wa kukimbia kuchukuliwa utumwani. Haya alibaki.kipo wapi sasa? Anavaa tu shirts na kofia za CCM. Hovyo sana.
Hao mababu pia ni wazaziKuna sehemu nimelaumu wazazi? Nyie watu hamjui kusoma? Na nani amesema wazazi wake wamekufa au anawalaumu?
Mkuu. Mbona hakuna nilipoandika kuwa nlitaka babu yangu achukuliwe utumwa? Na mimi nimeishi sana Usa kentucky na huwa naenda mara nyingi sana. Si issue kwangu.Mkuu unataka babu yako angekuwa kachukuliwa utumwani ili wewe ufike Marekani?
Mbona unataka kulipa bei kubwa sana kwa kitu kinachoweza kupatikana bila utumwa?
Mbona sisi wengine babu zetu hawajawa watumwa na Marekani tumefika, tumesoma, tumefanya kazi, tumejenga nyumba, tymefanya biashara, mpaka uraia tumechukua?
Jipange tu, Marekani unaweza kufika bila babu yako kuchukuliwa utumwa.