Kuna wakati unamfikiria Babu yako unamwona alikuwa mpuuzi kukimbia

Kuna wakati unamfikiria Babu yako unamwona alikuwa mpuuzi kukimbia

Kama wameshindwa hilo ni suala tofauti.

Lakini hilo halimaanishi kila mtu anatakiwa atake kuishi Marekani.

Wengine washaridhika kula mihogo na kisamvu cha nazi Marekani hakuna hayo mambo.

Sasa kwa nini unataka kuwalazimisha watake kuishi Marekani nchi ambayo muda wowote unapigwa risasi na Polisi na kuuawa?
umesoma kwa utulivu kidogo?sijaona kama nimelazimisha watu wote waende marekani lakini suala la kuuawa hata tanzania muda woowte unatekwa na kuuawa , muda wowote unakabwa na kuuawa , muda wowote mwanamke anaweza fariki wakati wa kujifungua, au kwa malaria, au kwa kipindu pindu, au kwa kukosa matibabu mepesi tu, muda wowote mtu anaweza singiziwa kesi akafungwa..... so its about choices.
 
Wewe unaweza kwenda freely sio kama mtumwa na bado unashindwa. Babu yako ni bora kuliko wewe.
 
umesoma kwa utulivu kidogo?sijaona kama nimelazimisha watu wote waende marekani lakini suala la kuuawa hata tanzania muda woowte unatekwa na kuuawa , muda wowote unakabwa na kuuawa , muda wowote mwanamke anaweza fariki wakati wa kujifungua, au kwa malaria, au kwa kipindu pindu, au kwa kukosa matibabu mepesi tu, muda wowote mtu anaweza singiziwa kesi akafungwa..... so its about choices.
Wewe ndiye hujaandika kwa utulivu.

Katika dunia ambayo mtu yeyote anaweza kwenda Marekani bila kuhitaji utumwa wa mababu umeileta habari ya kutamani utumwa wa mababu kama hoja ya kumfaidisha mtu kufika Marekani.
 
Wewe ndiye hujaandika kwa utulivu.

Katika dunia ambayo mtu yeyote anaweza kwenda Marekani bila kuhitaji utumwa wa mababu umeileta habari ya kutamani utumwa wa mababu kama hoja ya kumfaidisha mtu kufika Marekani.
basi kwe hujasoma kwa utulivumtu yeyote anaweza kwenda marekani???????????? hii hiii????? kweli kuwa kila tom ,dick and harry can come up here in the USA? basi sasa nimeelewa shida ni nini.

Mungu tu awasaidie muweze kufanikiwa na ninyi huko TZ
 
Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.

Utasema ooooh...wengine walikufa. Sawa walikufa.sasa huyu babu yako ambaye amebaki alifanya nini? Hamna mashamba makubwa, hamna mifugo mingi... Mpo tu hata CCM haiwatambui kuwapa vyeo. Sasa si bora angekufa akiwa ana try something new. Na pengine ange survive ungekuwa USA huko angalau maisha yako si haba. Sema labda ungeamua kuwa unatumia unga.

Lakini bora kidogo. Uongo? Unatumia unga wa hapa Bongo ushachanganywa sana mpaka hata stimu zinakuwa za kulazimisha na zina haribu akili.

Anyway. Mi nimewaza tu. Wengine wangeenda uarabuni huko na kuwa....sijui nini. Akajifanya kuwachenga wazungu abaki Tz eti ye mjanja. Kiko wapi sasa? Si bora tu angejipeleka kwenda huko pengine nawe ungezaliwa huko kwa watu. Kuliko sasa hivi upo Bongo unalalamika jua tu umepauka kama samaki aliyeanikwa juani.

Babu yako amebaki kusimulia tu kuwa alikwepa kuchukuliwa utumwani. Muulize sasa alibaki anafanya nini? Si bora hata angechukuliwa huko akafa. Kabaki ni shida tu kwenu. Sasa hivi asubuhi na jioni mna kazi ya kumtoa aote Jua. Ukoo wote mmechoka sababu ya udwanzi wake wa kukimbia kuchukuliwa utumwani. Haya alibaki.kipo wapi sasa? Anavaa tu shirts na kofia za CCM. Hovyo sana.
Lakini mkuu kama babu zetu wangechukuliwa sidhani kama mimi na wewe tungezaliwa
 
Ni sawa na kusema wewe ungekuwa Adam na Ever usingeli kubali kula tunda ,tambua ya kwamba kuna miamba hapa hapa Africa ina miliki utajiri wa kutosha ni haija wahi kwenda kokote nje ya Africa sasa swali la kujiuliza wewe mtoa mada legacy kani utawaachia vitukuu vyako, kwamba walikuwa na babu jembe kweli kweli kwa assets utakazo acha kama maviwanja mengi maeneo potential, mijengo n.k.
 
basi kwe hujasoma kwa utulivumtu yeyote anaweza kwenda marekani???????????? hii hiii????? kweli kuwa kila tom ,dick and harry can come up here in the USA? basi sasa nimeelewa shida ni nini.

Mungu tu awasaidie muweze kufanikiwa na ninyi huko TZ

Mtu yeyote (Ukiondoa wachache waliopigwa ban kama Makonda na waliopigwa palanja) anaweza kwenda Marekani, tafuta hela. Ubalozi wa Marekani wanatafuta watalii pale.


Hata kama si mtu yeyote anaweza kwenda, kwa maana ya jwamba access is tgere but not everyone has mibey, kutaka utumwa ili uwe Marekani ni janga.
 
Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.

Utasema ooooh...wengine walikufa. Sawa walikufa.sasa huyu babu yako ambaye amebaki alifanya nini? Hamna mashamba makubwa, hamna mifugo mingi... Mpo tu hata CCM haiwatambui kuwapa vyeo. Sasa si bora angekufa akiwa ana try something new. Na pengine ange survive ungekuwa USA huko angalau maisha yako si haba. Sema labda ungeamua kuwa unatumia unga.

Lakini bora kidogo. Uongo? Unatumia unga wa hapa Bongo ushachanganywa sana mpaka hata stimu zinakuwa za kulazimisha na zina haribu akili.

Anyway. Mi nimewaza tu. Wengine wangeenda uarabuni huko na kuwa....sijui nini. Akajifanya kuwachenga wazungu abaki Tz eti ye mjanja. Kiko wapi sasa? Si bora tu angejipeleka kwenda huko pengine nawe ungezaliwa huko kwa watu. Kuliko sasa hivi upo Bongo unalalamika jua tu umepauka kama samaki aliyeanikwa juani.

Babu yako amebaki kusimulia tu kuwa alikwepa kuchukuliwa utumwani. Muulize sasa alibaki anafanya nini? Si bora hata angechukuliwa huko akafa. Kabaki ni shida tu kwenu. Sasa hivi asubuhi na jioni mna kazi ya kumtoa aote Jua. Ukoo wote mmechoka sababu ya udwanzi wake wa kukimbia kuchukuliwa utumwani. Haya alibaki.kipo wapi sasa? Anavaa tu shirts na kofia za CCM. Hovyo sana.
Kweli wewe ni Chizi maarifa!
 
Back
Top Bottom