Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umesoma kwa utulivu kidogo?sijaona kama nimelazimisha watu wote waende marekani lakini suala la kuuawa hata tanzania muda woowte unatekwa na kuuawa , muda wowote unakabwa na kuuawa , muda wowote mwanamke anaweza fariki wakati wa kujifungua, au kwa malaria, au kwa kipindu pindu, au kwa kukosa matibabu mepesi tu, muda wowote mtu anaweza singiziwa kesi akafungwa..... so its about choices.Kama wameshindwa hilo ni suala tofauti.
Lakini hilo halimaanishi kila mtu anatakiwa atake kuishi Marekani.
Wengine washaridhika kula mihogo na kisamvu cha nazi Marekani hakuna hayo mambo.
Sasa kwa nini unataka kuwalazimisha watake kuishi Marekani nchi ambayo muda wowote unapigwa risasi na Polisi na kuuawa?
waafrika waliwahi sana kutaka uhuru ambao mpaka sasa umewashinda kabisaUhuru ni jambo la kukurupuka na haukuwa na maana kama Bado tunategemea wawekezaji Toka nje kwenye raslimali zetu hii ni kipimo kwamba tulikurupukia
kwa nini?Mwamba unaonekana upo tayari kupoteza utu ili upate vitu.....
Wewe ndiye hujaandika kwa utulivu.umesoma kwa utulivu kidogo?sijaona kama nimelazimisha watu wote waende marekani lakini suala la kuuawa hata tanzania muda woowte unatekwa na kuuawa , muda wowote unakabwa na kuuawa , muda wowote mwanamke anaweza fariki wakati wa kujifungua, au kwa malaria, au kwa kipindu pindu, au kwa kukosa matibabu mepesi tu, muda wowote mtu anaweza singiziwa kesi akafungwa..... so its about choices.
basi kwe hujasoma kwa utulivumtu yeyote anaweza kwenda marekani???????????? hii hiii????? kweli kuwa kila tom ,dick and harry can come up here in the USA? basi sasa nimeelewa shida ni nini.Wewe ndiye hujaandika kwa utulivu.
Katika dunia ambayo mtu yeyote anaweza kwenda Marekani bila kuhitaji utumwa wa mababu umeileta habari ya kutamani utumwa wa mababu kama hoja ya kumfaidisha mtu kufika Marekani.
Lakini mkuu kama babu zetu wangechukuliwa sidhani kama mimi na wewe tungezaliwaUmewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.
Utasema ooooh...wengine walikufa. Sawa walikufa.sasa huyu babu yako ambaye amebaki alifanya nini? Hamna mashamba makubwa, hamna mifugo mingi... Mpo tu hata CCM haiwatambui kuwapa vyeo. Sasa si bora angekufa akiwa ana try something new. Na pengine ange survive ungekuwa USA huko angalau maisha yako si haba. Sema labda ungeamua kuwa unatumia unga.
Lakini bora kidogo. Uongo? Unatumia unga wa hapa Bongo ushachanganywa sana mpaka hata stimu zinakuwa za kulazimisha na zina haribu akili.
Anyway. Mi nimewaza tu. Wengine wangeenda uarabuni huko na kuwa....sijui nini. Akajifanya kuwachenga wazungu abaki Tz eti ye mjanja. Kiko wapi sasa? Si bora tu angejipeleka kwenda huko pengine nawe ungezaliwa huko kwa watu. Kuliko sasa hivi upo Bongo unalalamika jua tu umepauka kama samaki aliyeanikwa juani.
Babu yako amebaki kusimulia tu kuwa alikwepa kuchukuliwa utumwani. Muulize sasa alibaki anafanya nini? Si bora hata angechukuliwa huko akafa. Kabaki ni shida tu kwenu. Sasa hivi asubuhi na jioni mna kazi ya kumtoa aote Jua. Ukoo wote mmechoka sababu ya udwanzi wake wa kukimbia kuchukuliwa utumwani. Haya alibaki.kipo wapi sasa? Anavaa tu shirts na kofia za CCM. Hovyo sana.
basi kwe hujasoma kwa utulivumtu yeyote anaweza kwenda marekani???????????? hii hiii????? kweli kuwa kila tom ,dick and harry can come up here in the USA? basi sasa nimeelewa shida ni nini.
Mungu tu awasaidie muweze kufanikiwa na ninyi huko TZ
Kweli wewe ni Chizi maarifa!Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.
Utasema ooooh...wengine walikufa. Sawa walikufa.sasa huyu babu yako ambaye amebaki alifanya nini? Hamna mashamba makubwa, hamna mifugo mingi... Mpo tu hata CCM haiwatambui kuwapa vyeo. Sasa si bora angekufa akiwa ana try something new. Na pengine ange survive ungekuwa USA huko angalau maisha yako si haba. Sema labda ungeamua kuwa unatumia unga.
Lakini bora kidogo. Uongo? Unatumia unga wa hapa Bongo ushachanganywa sana mpaka hata stimu zinakuwa za kulazimisha na zina haribu akili.
Anyway. Mi nimewaza tu. Wengine wangeenda uarabuni huko na kuwa....sijui nini. Akajifanya kuwachenga wazungu abaki Tz eti ye mjanja. Kiko wapi sasa? Si bora tu angejipeleka kwenda huko pengine nawe ungezaliwa huko kwa watu. Kuliko sasa hivi upo Bongo unalalamika jua tu umepauka kama samaki aliyeanikwa juani.
Babu yako amebaki kusimulia tu kuwa alikwepa kuchukuliwa utumwani. Muulize sasa alibaki anafanya nini? Si bora hata angechukuliwa huko akafa. Kabaki ni shida tu kwenu. Sasa hivi asubuhi na jioni mna kazi ya kumtoa aote Jua. Ukoo wote mmechoka sababu ya udwanzi wake wa kukimbia kuchukuliwa utumwani. Haya alibaki.kipo wapi sasa? Anavaa tu shirts na kofia za CCM. Hovyo sana.