The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Uhuru ni jambo la kukurupuka na haukuwa na maana kama Bado tunategemea wawekezaji Toka nje kwenye raslimali zetu hii ni kipimo kwamba tulikurupukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza kwa kununua pori hata chalinze kwa bei ya mbuzi baada ya miaka 20 mwanao akimaliza chuo itakuwa imeungana na DarNdiyo maana Napambana Sana wajukuu na vitukuu wasije kunidharau namna hii siku moja
Nipo mbali na dar Kaka ,nimeanza kwa kufuga kuku wawili jogoo na tetea ili mwanangu akija kufikisha miaka kumi na minane nitakuwa na kuku laki moja ,nitauza nimfungulie biashara kariakoo ya vitenge kakaAnza kwa kununua pori hata chalinze kwa bei ya mbuzi baada ya miaka 20 mwanao akimaliza chuo itakuwa imeungana na Dar
WamebwetekaVizazi vyao vingetoboa wapi? Wamarekani weusi wenyewe failure tu huko
Hamna mahala hii ngozi imeenda huko duniani ikatusua
Mkuu post yako namba moja kifupi umesema bora babu zetu wangekuwa watumwa tungekuwa Marekani.Mkuu. Mbona hakuna nilipoandika kuwa nlitaka babu yangu achukuliwe utumwa? Na mimi nimeishi sana Usa kentucky na huwa naenda mara nyingi sana. Si issue kwangu.
Mbona njia za kwenda marekani zipo wazi kuliko kuanza kumlaumu Babu yako?HATA kama n mateso wangeteseka waoo vizazi vyao vingetoboaaa ona sasa hali si nzuri kabisaa kila Kona ya africa
Wengi walichukuliwa from west africa kwa sababu ya Atlantic ocean kuwasafirisha through trans Atlantic slave tradeSijajua umewaza kutumia kiungo
gani mwilini mwako,
hivi unajua zile Safari zilkuwa za jasho na damu na hujui unapelekwa wapi hata wanaofika Siyo idadi iliyoanza Safari
hiyo ilikuwa ni miaka ya 1,526 to 1,867 huyo babu unayemlaumu ni wakipindi hicho?😕 can you trace them back?Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.
Utasema ooooh...wengine walikufa. Sawa walikufa.sasa huyu babu yako ambaye amebaki alifanya nini? Hamna mashamba makubwa, hamna mifugo mingi... Mpo tu hata CCM haiwatambui kuwapa vyeo. Sasa si bora angekufa akiwa ana try something new. Na pengine ange survive ungekuwa USA huko angalau maisha yako si haba. Sema labda ungeamua kuwa unatumia unga.
Lakini bora kidogo. Uongo? Unatumia unga wa hapa Bongo ushachanganywa sana mpaka hata stimu zinakuwa za kulazimisha na zina haribu akili.
Anyway. Mi nimewaza tu. Wengine wangeenda uarabuni huko na kuwa....sijui nini. Akajifanya kuwachenga wazungu abaki Tz eti ye mjanja. Kiko wapi sasa? Si bora tu angejipeleka kwenda huko pengine nawe ungezaliwa huko kwa watu. Kuliko sasa hivi upo Bongo unalalamika jua tu umepauka kama samaki aliyeanikwa juani.
Babu yako amebaki kusimulia tu kuwa alikwepa kuchukuliwa utumwani. Muulize sasa alibaki anafanya nini? Si bora hata angechukuliwa huko akafa. Kabaki ni shida tu kwenu. Sasa hivi asubuhi na jioni mna kazi ya kumtoa aote Jua. Ukoo wote mmechoka sababu ya udwanzi wake wa kukimbia kuchukuliwa utumwani. Haya alibaki.kipo wapi sasa? Anavaa tu shirts na kofia za CCM. Hovyo sana.

"Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.Mkuu post yako namba moja kifupi umesema bora babu zetu wangekuwa watumwa tungekuwa Marekani.
"Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.Wakati unalaumu wazee wako kutokuachia urithi jiulize wewe Sasa hivi unafanya nini kuachia vizazi vyako urithi?!!
Kama isha linakubondonda basi ujue na zamani ilikuwa hivyo hivyo!
Yes. Nyie. Siyo mimi.Mkuu post yako namba moja kifupi umesema bora babu zetu wangekuwa watumwa tungekuwa Marekani.
"Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma.
Utasema ooooh...wengine walikufa. Sawa walikufa.sasa huyu babu yako ambaye amebaki alifanya nini? Hamna...."
Kwani tulikwambia tunataka kuwa Marekani?Yes. Nyie. Siyo mimi.
Naam.
Kwa nini unaona njia ya kufika Marekani inatakiwa kupitia kwenye utumwa wakati watu wamefika Marekani bila utumwa?
In fact, kwa nini unaona kuwa kila mtu anatakiwa afike Marekani?
Kwani hakuna watu wanaotaka kuiendeleza nchi yao kwa kubaki huko kwao?
Kika Mtanzania akikimbikia Marekani Tanzania ataiendeleza nani?
Wapo walioniambia nao wanatamani wangekuja Marekani nimewalenga hao.Kwani tulikwambia tunataka kuwa Marekani?
Kama wameshindwa hilo ni suala tofauti.Hawa waliopo hapa wameendeleza nini? Kila nikirudi nakuta madudu tu. Juzi juzi Japan imewasaidia matundu ya vyoo 25. Mnaendeleza nini hapo?