Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Kama wewe...haunijibu PM zangu kabisa na hili jina lako!
Inaonekana hujui kusoma mzee vipi, nakushauri ujaribu kusoma tena au nenda Memkwa wakusaidie elimuKwahiyo umejisajili juzi tu tayari umeshaanza mikwala ya kusema "huku sio facebook" ? Umekuja kasi sana mkuu.
😅 😅 wanaboa
Hapana ila ndio maana yaoKwa hiyo umeombwa tunda mkuu!
Kipindi hicho nipo mgeni??Kama wewe...haunijibu PM zangu kabisa na hili jina lako!
Eti shida nini?
Mkuu kwani una kithembe hiyo kipinfi ni nini?Kipinfi hicho nipo mgeni??
Kwasasa na mie Id mpya sijibu[emoji2442][emoji2442]
Sent using Jamii Forums mobile app
ID za wahuni utazijua tu,,,jf kuna vibaka humu[emoji2442][emoji2442][emoji28] [emoji28] wanaboa
[emoji23][emoji23][emoji23] Hii comment Yako Nmejikuta nmecheka sanaKwa hiyo umeombwa tunda mkuu!
Nipo kupika wala sikuangaliaMkuu kwani una kithembe hiyo kipinfi ni nini?
Vivulana vikikua ndio wanaume hao. Fursa hiyo
Kwani mnatakaga nini zaidi ya komamanga?Kwa hiyo umeombwa tunda mkuu!
Oouh....Ramadan Mubarakah...watu na Ma ID yenu mapya mapya hayajawahi kupost uzi.
Wadau siyo poa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo umeombwa tunda mkuu!
Avast ya antivirus?Pia tabia ya mwanaume unakuwa husomeki sometimes nako inafikirisha sana ... au utakuta mwanaume anajifanya demu au anaweka avast ya kike .... ofcoz na mimi naunga mkono hoja