mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Vinakera sana,,,,ukivipekua kutwa kwenye uzi wa kubet.Vivulana vikikua ndio wanaume hao. Fursa hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vinakera sana,,,,ukivipekua kutwa kwenye uzi wa kubet.Vivulana vikikua ndio wanaume hao. Fursa hiyo
Hahahah.
Wala kucomment[emoji23][emoji23]Oouh....Ramadan Mubarakah...watu na Ma ID yenu mapya mapya hayajawahi kupost uzi.
Kwa Mwanaume hii ni dharau kubwa sana nikajua jamaa anadiliWadau siyo poa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mshkaji ameogopa kuliwa kimasihara
Ila mimi huwa nazispot kirahisi saana...miandiko huwa hainipingi chenga.Wala kucomment[emoji23][emoji23]
Yaani inakuwa maalumu kwa kazi moja tu[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu sio yule tapeli wa elf 20
Kaja na ID ingine:
😅 😅 😅 Wazee wakuweka mizigo mezani wanabeti 1200
Hahahahahaha nilipita uzi ule jamaa analalama huyo sijui ni Msukuma
Labda mwana alitaka kukujulia hali mkuu...mleta mada kazungumza kitu muhimu sana,kuna wakati nilibadili ID na kujiita "Misfortune" kwa sababu zangu nazozijua,kuna jamaa si likaja DM nimeniandikia "Mambo" ikabidi nilitukane nibadili na jina tena
Hapana mkuu ni ile ya album ya SUGU aliye mwimbia RUGEMALILAAvast ya antivirus?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unawazoom tu.Ila mimi huwa nazispot kirahisi saana...miandiko huwa hainipingi chenga.
Sasa huyu jinga limeanza Mambozmleta mada kazungumza kitu muhimu sana,kuna wakati nilibadili ID na kujiita "Misfortune" kwa sababu zangu nazozijua,kuna jamaa si likaja DM nimeniandikia "Mambo" ikabidi nilitukane nibadili na jina tena
Nj nayo alimwimbia nani?Hapana mkuu nj ile ya album ya SUGU aliye mwimbia RUGEMALILA
Kama unatoolbox jaribu kuchukua ngazi upande kichwani kuna misumari imeachia au panya watakua wamekula nyayaSasa kama unacomment kinyoronyoro vi emoj vya hapa na pale utaacha ombwa tunda?
Tena unabahati ungetafanwa ndo akili ingekaa sawa.
Hii thread ilipaswa kwenda kule kuliwa kimasihara.
Ule uzi unachekesha balaa[emoji23]Hahahahahaha nilipita uzi ule jamaa analalama huyo sijui ni Msukuma
Hahaha...mkuu kaza mwandiko wako....Sasa huyu jinga limeanza Mamboz