Kuna wanaume humu wapo kuvamia members wapya wanaodhani ni Wasichana

Kuna wanaume humu wapo kuvamia members wapya wanaodhani ni Wasichana

mleta mada kazungumza kitu muhimu sana,kuna wakati nilibadili ID na kujiita "Misfortune" kwa sababu zangu nazozijua,kuna jamaa si likaja DM nimeniandikia "Mambo" ikabidi nilitukane nibadili na jina tena
Labda mwana alitaka kukujulia hali mkuu...
 
Sasa kama unacomment kinyoronyoro vi emoj vya hapa na pale utaacha ombwa tunda?

Tena unabahati ungetafanwa ndo akili ingekaa sawa.

Hii thread ilipaswa kwenda kule kuliwa kimasihara.
Kama unatoolbox jaribu kuchukua ngazi upande kichwani kuna misumari imeachia au panya watakua wamekula nyaya
 
Back
Top Bottom