DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
sasa anaanza kututishia watu tunaotaka mbususu 😀Toa mbunye wahuni waishi! Hujainunua ulipewa bure sasa kiburi cha kunyima watu unakitoa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa anaanza kututishia watu tunaotaka mbususu 😀Toa mbunye wahuni waishi! Hujainunua ulipewa bure sasa kiburi cha kunyima watu unakitoa wapi?
Kausha basi, sijazoea kubishanaKumbe
Chubwi bwana dah!
Fala huyosasa anaanza kututishia watu tunaotaka mbususu 😀
Umenijua haya nitaje?We jamaa mwandiko wako huwa haubadiliki...
Unataka mpaka niweke picha ya mashine hapo ndio akili ikae sawaTunda ni tunda tu mkuu wafikirie sio kupiga mikwara
Mimi mwandiko wangu unausomaje??Kidume niwe binti haiwezekani, au na wewe.................
Ahahahahah,,kweli kuishi mjini ni chuo kikuu tosha yani watu wanajifanya majike kumbe wanatengeneza mpungaWe jamaa mwandiko wako huwa haubadiliki...
JF ni kijiwe nongwa kuna pia IDs za kike lakini kimsingi ni njemba zinazotafuta fursa za kupiga mpunga...
😎😎😎😎 wewe unaamini lipi?Mimi mwandiko wangu unausomaje??
Unakaza sauti au sauti yako inakuwa nyororo??[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuumbwa na binadamu maelezo kidogoUkishazungumzia Social media , tambua uko ulimwengu wa Binadamu, uliumbwa na wao na ukakuzwa na wao. Kama vipi endelea kula mitongozo tu [emoji23][emoji23]
😂si umeona mambo kama hayo sasa Mkuu,wanaume tunatakiwa kuwa kama wanajeshi ukikutana na muuni unampa salamu kikakamavuSio JF tu....nadhani maisha yanabadilika kwa kasi...
Wanaume wamekuwa wa hovyo kabisa....hata Whatsapp siku hizi mwanaume anakutext kisha anakuambia nilikuwa nakusalimia...
Enzi zetu tunapiga simu ukiwa na jambo la muhimu. Mwanaume hauwezi ukanitumia text kisha unaniambia tu kirahisi nilikuwa nakusalimia.
Nimecheka sana aisee. Sasa kosa la hilo jamaa ni nini wakati mwenyewe ulijiita Miss Fortune [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mleta mada kazungumza kitu muhimu sana,kuna wakati nilibadili ID na kujiita "Misfortune" kwa sababu zangu nazozijua,kuna jamaa si likaja DM nimeniandikia "Mambo" ikabidi nilitukane nibadili na jina tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka sana aisee. Sasa kosa la hilo jamaa ni nini wakati mwenyewe ulijiita Miss Fortune [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]