Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
- #101
sasahivi pro mzee ni hivi Not open for further replies.ferther tena babu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasahivi pro mzee ni hivi Not open for further replies.ferther tena babu?
Alafu yupo huyo kwenye huu uzi🤣🤣Nakusemea kwa TG ndo kiboko chako.
wewe nilijuaga ni Dume badae nikajua ni mali safiHapo hakuna cha ajabu.
Acha wavamie ndivyo walivyoumbwa kujaribu jaribu tu.
Na kwa vile tupo anonymous humu sio rahisi jinsia kujulikana.
Mara pap Karucee ni dume 😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣
Satoh Hirosh sura yako utaiweka wapi kijanaaa
Vipi wewe umechomekwa mpini?Ili liitwe jembe lichomekwe mpini,
Kuna madume utakuta yanajitapa Mimi jembe bwana,
Au utakuta jamaa linasifiwa yule jamaa jembe Sana na lenyewe linachekaaaaa,
Shabhash!
Ili liitwe jembe lazima lichomekwe mpini eeehee wewe umechomekwa?
Aaaah samahani nje ya mada
Alilosema mtoa mada ni kweli hayo ni mambo ya ovyo Sana ndugu zanguni!
Tubadilike!
Ulitumia vigezo gani kujua Karucee ni ke?wewe nilijuaga ni Dume badae nikajua ni mali safi
Mbona sijampasha mtuMipasho hii haifai kutolewa na mwanaume
aliandika mambo fulani kwenye nyuzi kadhaa ya kuonesha yeye ni mwanamke,nikambebisha humu akabebishika
Sasa kama unacomment kinyoronyoro vi emoj vya hapa na pale utaacha ombwa tunda?
Tena unabahati ungetafanwa ndo akili ingekaa sawa.
Hii thread ilipaswa kwenda kule kuliwa kimasihara.
Dah!huyo atakua alisoma kwa haraka tu,yupo Kwa wazungu huko huyo jamaa ni mbeba box,mwanangu wa ma yutong
Sasa Kwa taarifa yako Karucee ni kidume cha mbegu kabisa😎aliandika mambo fulani kwenye nyuzi kadhaa ya kuonesha yeye ni mwanamke,nikambebisha humu akabebishika
kwa kifupi,hiyo ni pisi
Mkuu wacha kunirusha roho bana,sasa kwanini aseme yeye ni keSasa Kwa taarifa yako Karucee ni kidume cha mbegu kabisa😎
na mimi nilijua tu unazingua mkuu,yule jamaa ingekuwa tuna uwezo wa kukutana basi ningemtandika makofi mazito sanaDah!
Nilielewa ila nikajiweka kwenye viatu vya hiyo njemba iliyokuibukia. Pengine ilidhani hayo ma misfortune yako ni code fulani tu ya Miss Fortune umeamua kuichanganya ili kuepusha usumbufu so ikaamua kujaribu bahati. Wanaume sisi we acha tu. Sometimes we push doors that are clearly written "pull"...
That Gentleman njoo huyu Satoh anakuchukulia poa.Alafu yupo huyo kwenye huu uzi🤣🤣
Dah. 🤣🤣🤣aliandika mambo fulani kwenye nyuzi kadhaa ya kuonesha yeye ni mwanamke,nikambebisha humu akabebishika
kwa kifupi,hiyo ni pisi
Huwa sina kawaida ya kubishana na watu wenye stress za maisha, hivyo nimekupuuza.Inaonekana hujui kusoma mzee vipi, nakushauri ujaribu kusoma tena au nenda Memkwa wakusaidie elimu
ni muda sana hadi nimesahau Mkuu,enzi hizo damu inachemkaDah. 🤣🤣🤣
wapi hapo nikacheke.
Hebu nitag.
Hujielewi kabisa unajua maana ya kupuuza? usingejibu ila hapa unaonekana ni chokoHuwa sina kawaida ya kubishana na watu wenye stress za maisha, hivyo nimekupuuza.
NB:Labda nikupe sababu iliyofanya baadhi ya members wa kiume kukuvamia(kama ulivyosema hapo juu kwenye heading), umekaa kikike sana. Usipokuwa makini watakula kimasihara.