Kuna wanaume humu wapo kuvamia members wapya wanaodhani ni Wasichana

Kuna wanaume humu wapo kuvamia members wapya wanaodhani ni Wasichana

Mhhh! ni masikitiko makubwa sana kwa wanajamvi tena mwanaume na akili zako timamu unakaa kuvizia id mpya yenye kajina ambako unafikiri atakuwa msichana

Huo ni ulimbukeni na mwachage hiyo tabia kabisa nyie ndio mnao fanya watu waone Jf ni kama badoo kuja na kuja mnataka muombe tunda

kuna jinga moja hivi aisee achaga hizo huku sio facebook kuombana friend request in short mimi ni dume la mbegu na nimekuja kusumbua so tulia kijana hili ni jina tu.
Wala sio mpya humu tu ni maswahibu yalionikuta ya kusahau kipassword cha akaunti yangu

Mimi najua sio mwandishi mzuri

Naishi Milele
sheria inasemaje juu ya kumiliki account mbili? unajaza servers tu 😀
 
hapana Mkuu, wanaume hatuambianagi Mambo na pia toka nimejiunga JF 2017 huwa sichati na wana DM yani nikimtafuta mtu naenda straight naeleza shida yangu
Sio JF tu....nadhani maisha yanabadilika kwa kasi...

Wanaume wamekuwa wa hovyo kabisa....hata Whatsapp siku hizi mwanaume anakutext kisha anakuambia nilikuwa nakusalimia...

Enzi zetu tunapiga simu ukiwa na jambo la muhimu. Mwanaume hauwezi ukanitumia text kisha unaniambia tu kirahisi nilikuwa nakusalimia.
 
Back
Top Bottom