Kuna wanaume mpaka wanazeeka hawajawahi kupendwa.

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
We kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa.

Kuna sisi, wazee wa love on the first sight , yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa, anakuelewa moja kwa moja, mambo ya pesa ni baadae hiko ndo uanaweza shtuka.

Unatumia swaga vizuri, pamba safi, muonekano wa nabii yusuph, kwanini mwanamke asikupende?

Sasa we sura personal, kuvaa zero, huna swaga we lazima ukubaliwe na huwezi kupendwa kamwe, utabaki kuonewa huruma tu.
 
Uzuri ni kwamba, aliyependwa na asiyependwa wote wanapiga mbussusu..!!
 
shida ni tunadhani kuwa tunamfahamu mwanamke 100%

we endelea kujidanganya na love at the first site mwanamke anaweza akawa na mambo 100 kichwan anayofikiria kukuhusu wewe na wewe ukaambulia ku guess 10 tu ( anakupendea utanashati swaga ) lakini akawa na sababu nyengine ambayo wewe hata hujaifikiria na akikuona umejaa kwenye huo mfumo wakujifanya umemuweza ata act along ili atimize lake jambo then baadae uje useme umemfanyia kila kitu lakini hakutulia akasepa pamoja na kujinadi (anakupendea utanashati swaga )
 
Mpumbavu wa Kila kitu huwezi kupendwa
 
Mwanaume unanukia, umevaa umependeza alaf unajigamba eti una sura ya mama. Na unajigamba eti huna hela ina mana nikikushikisha ukuta utanilaumu ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…