Uzuri ni kwamba, aliyependwa na asiyependwa wote wanapiga mbussusu..!!We kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa.
Kuna sisi, wazee wa love on the first site, yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa, anakuelewa moja kwa moja, mambo ya pesa ni baadae hiko ndo uanaweza shtuka.
Unatumia swaga vizuri, pamba safi, muonekano wa nabii yusuph, kwanini mwanamke asikupende?
Sasa we sura personal, kuvaa zero, huna swaga we lazima ukubaliwe na huwezi kupendwa kamwe, utabaki kuonewa huruma tu.
shida ni tunadhani kuwa tunamfahamu mwanamke 100%We kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa.
Kuna sisi, wazee wa love on the first site, yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa, anakuelewa moja kwa moja, mambo ya pesa ni baadae hiko ndo uanaweza shtuka.
Unatumia swaga vizuri, pamba safi, muonekano wa nabii yusuph, kwanini mwanamke asikupende?
Sasa we sura personal, kuvaa zero, huna swaga we lazima ukubaliwe na huwezi kupendwa kamwe, utabaki kuonewa huruma tu.
Mpumbavu wa Kila kitu huwezi kupendwaWe kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa.
Kuna sisi, wazee wa love on the first site, yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa, anakuelewa moja kwa moja, mambo ya pesa ni baadae hiko ndo uanaweza shtuka.
Unatumia swaga vizuri, pamba safi, muonekano wa nabii yusuph, kwanini mwanamke asikupende?
Sasa we sura personal, kuvaa zero, huna swaga we lazima ukubaliwe na huwezi kupendwa kamwe, utabaki kuonewa huruma tu.
Mwanaume unanukia, umevaa umependeza alaf unajigamba eti una sura ya mama. Na unajigamba eti huna hela ina mana nikikushikisha ukuta utanilaumu ama?We kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa.
Kuna sisi, wazee wa love on the first site, yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa, anakuelewa moja kwa moja, mambo ya pesa ni baadae hiko ndo uanaweza shtuka.
Unatumia swaga vizuri, pamba safi, muonekano wa nabii yusuph, kwanini mwanamke asikupende?
Sasa we sura personal, kuvaa zero, huna swaga we lazima ukubaliwe na huwezi kupendwa kamwe, utabaki kuonewa huruma tu.