Kuna wanaume mpaka wanazeeka hawajawahi kupendwa.

Kuna wanaume mpaka wanazeeka hawajawahi kupendwa.

Unafaa kujua pesa sio tatizo kwa watu wengine kijana.
Kama huna hizo pesa ndio utaona Ni vigumu ila wenye nazo wanazitumia jinsi wanavyotaka
Pengine hata hujui how it feels to be loved by a women. Keep using money if that is all you have got.
 
Jamaa anajisifu kwamba anapendwa na yeye sio sura personal, wakati ukiangalia list ya maex wa demu wake anayemuona special utakuta sura personal kibao washapita, hapo ndio utagundua kumbe hana maajabu.
We unamjua demu wangu? Ukimuona wewe huwez hata kumpa salam, mana sio hadhi yako. She is gorgeous of 1% of 1% of gorgeous in the world
 
We kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa.

Kuna sisi, wazee wa love on the first sight , yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa, anakuelewa moja kwa moja, mambo ya pesa ni baadae hiko ndo uanaweza shtuka.

Unatumia swaga vizuri, pamba safi, muonekano wa nabii yusuph, kwanini mwanamke asikupende?

Sasa we sura personal, kuvaa zero, huna swaga we lazima ukubaliwe na huwezi kupendwa kamwe, utabaki kuonewa huruma tu.
Comment zinaonyesha jf kumejaa watu wa sura personal kweli kweli .
 
We kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa.

Kuna sisi, wazee wa love on the first sight , yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa, anakuelewa moja kwa moja, mambo ya pesa ni baadae hiko ndo uanaweza shtuka.

Unatumia swaga vizuri, pamba safi, muonekano wa nabii yusuph, kwanini mwanamke asikupende?

Sasa we sura personal, kuvaa zero, huna swaga we lazima ukubaliwe na huwezi kupendwa kamwe, utabaki kuonewa huruma tu.
Kwaiyo wewe n mzuri sio
 
We kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa.

Kuna sisi, wazee wa love on the first sight , yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa, anakuelewa moja kwa moja, mambo ya pesa ni baadae hiko ndo uanaweza shtuka.

Unatumia swaga vizuri, pamba safi, muonekano wa nabii yusuph, kwanini mwanamke asikupende?

Sasa we sura personal, kuvaa zero, huna swaga we lazima ukubaliwe na huwezi kupendwa kamwe, utabaki kuonewa huruma tu.
😀😀😀 umewachokoza sura ngumu, subiri kuitwa upinde
 
We kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa.

Kuna sisi, wazee wa love on the first sight , yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa, anakuelewa moja kwa moja, mambo ya pesa ni baadae hiko ndo uanaweza shtuka.

Unatumia swaga vizuri, pamba safi, muonekano wa nabii yusuph, kwanini mwanamke asikupende?

Sasa we sura personal, kuvaa zero, huna swaga we lazima ukubaliwe na huwezi kupendwa kamwe, utabaki kuonewa huruma tu.
Hiii inasikitisha sana mpk unakua mzee hupendwi wakati uku tunawaliza wanaotupenda 🤣🤣🤣
 
We unamjua demu wangu? Ukimuona wewe huwez hata kumpa salam, mana sio hadhi yako. She is gorgeous of 1% of 1% of gorgeous in the world
Acha ushamba dogo, mwanamke hata aweje bado atabaki kuwa chini ya mwanaume
 
We kama umetumia kigezo cha hela kumpata mwanamke wewe hujapendwa, umekubaliwa tu, kukubaliea si kupendwa.

Kuna sisi, wazee wa love on the first sight , yani mdada anakuona tu, anachanganyikiwa, anakuelewa moja kwa moja, mambo ya pesa ni baadae hiko ndo uanaweza shtuka.

Unatumia swaga vizuri, pamba safi, muonekano wa nabii yusuph, kwanini mwanamke asikupende?

Sasa we sura personal, kuvaa zero, huna swaga we lazima ukubaliwe na huwezi kupendwa kamwe, utabaki kuonewa huruma tu.
Lipia tangazo
 
Back
Top Bottom