Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,549
- 4,133
Ukweli ni kwamba mtaani kuna wake za watu na wana tabia za hovyo sana.
Huyu kasema ila wapo wengi wanaotenda bila kusema.
Ndoa nyingi zipo dizain hii ila tuu watu hawasemi.
Kila ndoa ina Changamoto.
Kila men akisimama na kusema ya ndoani....mtataman kutooa
Huyu kasema ila wapo wengi wanaotenda bila kusema.
Ndoa nyingi zipo dizain hii ila tuu watu hawasemi.
Kila ndoa ina Changamoto.
Kila men akisimama na kusema ya ndoani....mtataman kutooa