Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioKwani umeolewa?
Aisee anahitaji ukombozi wa hali ya juu mwanaume mwenzetu huyu..Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.
Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.
Yaani mtihani wallahi Lau wangejua Wanawake tusingekua tunajimaliza hvMtihani kwa kweli, asichokijua kaonesha level ya upumbavu wake ulivokua mkubwa na bila kujua kamshusha mume wake hadhi mbele ya dunia
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mi ndo maana nimeamua kutafuta under 18 akizingua natafuta kengine tena, kakizingua natafuta kengine tena
Ndo hivyo wanawake wakorofi nawatafutia wenzao[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Thubutuuu wanaume wachache wa kibongo wanaweza mudu Hilo🙅wengi wanaoa kazi ya mwanamke,hela ya mwanamke,biashara ya mwanamke, degree ya mwanamke,wanasema wanaenda kusaidizana kujenga family Bora🤣🤣🤣Hakikisha mkeo anakutegemea kwa Kila kitu hata chupi ununue wewe bro heshima utaipata.imagine mwanamke amenunua gari lake mda wowote anatimka kusiko julikana hapo huna mke utashuhudia dharau mpk bas.
Semaa wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakikisha mkeo anakutegemea kwa Kila kitu hata chupi ununue wewe bro heshima utaipata.imagine mwanamke amenunua gari lake mda wowote anatimka kusiko julikana hapo huna mke utashuhudia dharau mpk bas.
Wanaume taduteni pesa, ndo mtapata heshima na utii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio mtajua kwanini kungwi hana ndoa
Khaaaaaah huwezi jua mtindo wao wa maisha ya ndoa.Yule mwanamke mpumbavu ni mke wa Nehemiah Mchechu, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la nyumba (NHC) sasa Msajili wa Hazina
Sijui Mchechu anaishije na mwanamke asiye na heshima kwa mume kama yule. Kwa kauli ile kamdhalilisha sana mumewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu dada Mercy Luhanga. Mke wa Nehemia Mchechu. Ngonja nikamnyakie Mchechu nimpe heshima zote na mapenzi kama yote. Hahahhaha.Mbona Mercy atatia akili.Jamani ninatania tu,nimeokoka siwezi iba mme wa mtu.
NdiwooooooohWatu mmepanic, ukute na mumewe wanaishi vizuri tu. Tafuteni pesa habari ndo hiyo mshaipata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazee wa kuoa nadhani watakuwa wamepata somo hapo.
#KATAA NDOA
Na siku mkiweza kujipa mimba wenyewe itakuwa ze endiii..!!Km pesa ninayo, gari yangu na mafuta najaza mwenyewe, kila kitu najifanyia mwenyewee, sasa naanzaje kuagq?? Baba tamu atapewa taarifa tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman tutafute pesa, ndo raha ya kujitegemea unakua HURU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatokaa kwenye madaa, au wee ndo usiyeagwa ila ukapewa taarifa?? Lol
Mlongo, kwa mtindo wowote ule, ILE KAURI YA KUSEMA KILICHONIPA JEURI NI HELA ZANGU..!! Hakuna mtindo wa kutetea kauli hii..!! Yule ni mjinga mmoja tu anayedhani hela ndo mumewe..!!Khaaaaaah huwezi jua mtindo wao wa maisha ya ndoa.