Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Kuna wanaume wanaishi kwenye ndoa ngumu nyie

Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?

USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
Poleni wanaume, maana kwa wanawake wa aina hii mnapitia mengi

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.

Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.

Hakuna ndoa hapo. Kwanza tushawaambia ndoa ni haramu #KATAANDOA
 
Tunatoa taarifa ndio acheni mambo ya kitumwa hakuna alichokosea huyo mke wa nehemia
 
Yule mwanamke mpumbavu ni mke wa Nehemiah Mchechu, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la nyumba (NHC) sasa Msajili wa Hazina

Sijui Mchechu anaishije na mwanamke asiye na heshima kwa mume kama yule. Kwa kauli ile kamdhalilisha sana mumewe

Wanaelewana na mme wake hana shida nyie Ndio mnapata tabu
 
Wanawake wenye status wana changamoto sana...mwez ulio isha nikikuwa natoka zangu pahar keenye harakat kidogo niko kwenye kapikpik kangu naenda mwendo wa slow gaflakwambel kama mita 20 nikaona gar aina ya blevis dam ya mzee imekata kona kutoka barabara ya vumb kuja main ya rami iko kas bas niliv fik maeneo yale jamaa mmoja akanisimamisha akanambia ndug kwenda mjin ni bei gan nkamjibu sifki yown kabsa but utanipa pesa yyte bas akapanda mala alivo panda akanambia kaka fukuzia ile gari mbele ile brevis nkapata mshangao kidog nkaenda mwendo flan wa tahadhar uku nasoma mchezo kwa sait mirro na mbel nisije kuchomeshwa mar niliv ifkia gar ile ubavun upand wa mbele naona jamaa ana gusanisha mikon ishara ya kuomba msamaha iv uku anajisemea mama nisamehe. Mmmh nikaguna kimya kimya ikabdi nimuulize jamaa vip kulikon jamaa akafunguka bro mm nashida sana yan uyu mke wangu anisikilizi kabsa kakosa kidog anatak tuachane na tukigombana tu anakinbilia gar anaondoka anaeza kaa uko ad akijisikia kurud lakin syo kuwa sitaki mwacha ila ninawatoto nae tena wadog ndo wanao niuma ntawaleaje au watalelewaje pia uyu mama ananisumbua kisa status yake asee napata tabu sana sema basi.....mm ikabd nmwambie jitahd kuzngumza nae vem atakuelewa tu myamalize bas nika mshusha mitaa flan karb na mjini akasema ngoja nimfatilie najua anaenda ofisin kwake........ushaur wangu wanaume tuwen makin sana namna tunavo walea wake zetu tunapo kuwa nao kwenye mahusiano ndivyo watakavyo itaji tuish nao kwenye ndoa, sasa kama ulikuwa unamlea kimiemko ya mapenz atakutesa san lakin kama ulimuandaa kuwa mama bora uto pata tabu,,,,,,,, ILA KWANGU MM WAKINIZINGUAGA UWA NAJAZA MAJI KWENYE BESEN KUBWA NAMKABA VZUR NAMDUMBUKIZA KICHWA UMO KWA KUZINGATIA MUDA WAKITOKA APO WAPOLE PLUS MAFUA NA MAKAMAS KAMA KATOKA KUFUKIZWA.... uwa sipend ujinga mm😃😃😃😃
1.NImejifunza kitu kwenye hii stori..
2.Hilo zoezi hpo mwisho linaitwa WATER THERAPY 😅
 
Hakikisha mkeo anakutegemea kwa Kila kitu hata chupi ununue wewe bro heshima utaipata.imagine mwanamke amenunua gari lake mda wowote anatimka kusiko julikana hapo huna mke utashuhudia dharau mpk bas.

Mkuu unafikiri ili jambo ni rahisi kwa kila mwanaume, fikiria mshahara wako unalisha familia, unapeleka watoto shule, kma una na ndugu( wadogo zko) inabidi kuwa support, inabidi pia upate saving ya emergency kma magonjwa, upate saving ya maendeleo ya familia, je kwa kipato cha kawaida utabaki na nn hapo? na unakuta mwanamke anafanya kazi anaingiza mshahara karibu na wako au zaidi yako n unasema akutegemee wewe hadi chupi, basi akae nyumbani tu maana kazi yake haina tija kwa familia bali ni mzigo kwa mwanaume. Stupid,
 
Oa unae fanana nae,ukiishia sekondary ,na ukawa na kipato Cha laki Tano kwa mwezi,harsfu ukaoa msomi wa chuo kikuu,utakufa kwa kihoro!kwa wasomi sie,mwanamke kuwa na roho ya kujiamini kiasi hicho ndio safi,tunaikubali,sasa kama unataka mkeo awe kama kondoo,Binti zako watajifunza nini?,na wao wawe makondoo wakiolewa?mwanamke independent wa pesa kwenye familia ni muhimu sana,ukiona unashindwa kuishi na mwanamke msomi,basi wewe uanaume wako una mashaka.
Old skool men,Wanapenda kutumia amri tu,hawawezi kujenga hoja,wapo wanawake anaingia kwenye ndoa tayari ana pesa yake ndeefu,huyo lazima ujue akili ipo sana,huwezi kumpeleka peleka kama gari bovu
UNAYUMBAA, kama umezidiwa kipato na mamsap wako wee ugulia moyon sio ku justify alichosema huyo feminist. Kwanza mada ni kuaga kwa mmeo wee kama unaona sawa mke kujiamulia chochote kisa wee ni new school sawa, kumuomba mume kutoka in advance ni kua kondoo?? stop simping! Unatudhalilisha.
 
itakuwa mwanamke kamuoa mwanaume siku hizi wimbi la wavulana wanaopenda kulelewa Ni kubwa .
 
Wanawake wenye status wana changamoto sana...mwez ulio isha nikikuwa natoka zangu pahar keenye harakat kidogo niko kwenye kapikpik kangu naenda mwendo wa slow gaflakwambel kama mita 20 nikaona gar aina ya blevis dam ya mzee imekata kona kutoka barabara ya vumb kuja main ya rami iko kas bas niliv fik maeneo yale jamaa mmoja akanisimamisha akanambia ndug kwenda mjin ni bei gan nkamjibu sifki yown kabsa but utanipa pesa yyte bas akapanda mala alivo panda akanambia kaka fukuzia ile gari mbele ile brevis nkapata mshangao kidog nkaenda mwendo flan wa tahadhar uku nasoma mchezo kwa sait mirro na mbel nisije kuchomeshwa mar niliv ifkia gar ile ubavun upand wa mbele naona jamaa ana gusanisha mikon ishara ya kuomba msamaha iv uku anajisemea mama nisamehe. Mmmh nikaguna kimya kimya ikabdi nimuulize jamaa vip kulikon jamaa akafunguka bro mm nashida sana yan uyu mke wangu anisikilizi kabsa kakosa kidog anatak tuachane na tukigombana tu anakinbilia gar anaondoka anaeza kaa uko ad akijisikia kurud lakin syo kuwa sitaki mwacha ila ninawatoto nae tena wadog ndo wanao niuma ntawaleaje au watalelewaje pia uyu mama ananisumbua kisa status yake asee napata tabu sana sema basi.....mm ikabd nmwambie jitahd kuzngumza nae vem atakuelewa tu myamalize bas nika mshusha mitaa flan karb na mjini akasema ngoja nimfatilie najua anaenda ofisin kwake........ushaur wangu wanaume tuwen makin sana namna tunavo walea wake zetu tunapo kuwa nao kwenye mahusiano ndivyo watakavyo itaji tuish nao kwenye ndoa, sasa kama ulikuwa unamlea kimiemko ya mapenz atakutesa san lakin kama ulimuandaa kuwa mama bora uto pata tabu,,,,,,,, ILA KWANGU MM WAKINIZINGUAGA UWA NAJAZA MAJI KWENYE BESEN KUBWA NAMKABA VZUR NAMDUMBUKIZA KICHWA UMO KWA KUZINGATIA MUDA WAKITOKA APO WAPOLE PLUS MAFUA NA MAKAMAS KAMA KATOKA KUFUKIZWA.... uwa sipend ujinga mm😃😃😃😃
Utakuja kwenda jela kijinga shauri zako. Mtu kama hamuelewani si muachane
 
Back
Top Bottom