Tunaoifahamu hiyo ndoa acha tu 🤐Watu mmepanic, ukute na mumewe wanaishi vizuri tu. Tafuteni pesa habari ndo hiyo mshaipata
Yaani kasema kabisa unadhani jeuri hiyo naitoa wapi..!! KWAMBA ANAJUA AMEFANYA UJEURI..!!Hao ndiyo wanawake waliokombolewa
UNACHANGANYA KATI YA KIBURI NA KUWA NA FEDHA. Hivi nani kasema kuwa mwanamke mwenye fedha, anatakiwa amdharau mumewe? Hivi angeolewa na kapuku ingekuwaje?Oa unae fanana nae,ukiishia sekondary ,na ukawa na kipato Cha laki Tano kwa mwezi,harsfu ukaoa msomi wa chuo kikuu,utakufa kwa kihoro!kwa wasomi sie,mwanamke kuwa na roho ya kujiamini kiasi hicho ndio safi,tunaikubali,sasa kama unataka mkeo awe kama kondoo,Binti zako watajifunza nini?,na wao wawe makondoo wakiolewa?mwanamke independent wa pesa kwenye familia ni muhimu sana,ukiona unashindwa kuishi na mwanamke msomi,basi wewe uanaume wako una mashaka.
Old skool men,Wanapenda kutumia amri tu,hawawezi kujenga hoja,wapo wanawake anaingia kwenye ndoa tayari ana pesa yake ndeefu,huyo lazima ujue akili ipo sana,huwezi kumpeleka peleka kama gari bovu
Matamshi ya mke kwa wengine, yanasema namna ndoa yake ilivyo..!!! Huwezi tamka vile halafu huko kwako kuwe salama..!! Halafu, wanaume huwa hatusemisemi, tunakufaga na tai shingoni. Hutamsikia Mchechu akilalamika kuhusu mkewe hadharani..!!Umemsikia popote akilalamika? Kawaambia haishi vizuri na mke wake?
Tumsikie kwanza anasemaje ndo sisi tutoe maoni, otherwise kila mmoja atapambana na yake.
Kwani umeolewa?Tunatoa taarifa ndio acheni mambo ya kitumwa hakuna alichokosea huyo mke wa nehemia
🤣🤣changu kama yule hawezi kuwa na mume. anawadanganya walio ktk ndoa ili waharibikiwe kama yeye
Mura, hata wewe ukijipatia mzaramo, muda si mrefu atakukalia utosini na kukuelekeza kibra😁Mumewe atakua mzaramo.
Kule kwetu Tarime hakuna huo ujinga.
Huyu natamani sana angekuwa mke wangu; UHAKIKA kabisa ni kuwa sasa hivi hizo hela zake angekuwa anazitumia akiwa na mwanamme mwingine.Nimeona video mtandaoni mwanamke mmoja kwenye party ya wanawake wenzake anajigamba kwamba ametoka nyumbani kwake hajaaga ila kampa mumewe taarifa tu kwa vile tu yupo financial stable.
Imagine mke wako anajitapa hivi mtandaoni uko ndani hali ikoje mkeo anatoka kwako bila taarifa how, si anaweza hata kulala nje ya nyumbani bila taarifa kuna ndoa kweli hapo.
Kwanza huyu hata hela hana. Wenye hela si tunawajua kwa sura na kwa majina? Huyu nani anamjua?Binafsi nawaza haya;
1. Anawafundisha nini wanawake wenzie..! Kwamba ukiwa na hela huagi?
2. Anawafundisha nini watoto wake.?? Kama ana watoto wa kiume, nao wakioa wenye fedha wasiagwe? Au kama ni mtoto wa kike, naye asiwe anaaga kwake kisa ana financial freedom?
3. Mume wa huyu mama, huko kwa washikaji walioiona video hii, anajisikiaje?
USIKUTE, HATA HIZO HELA ZINAZOMFANYA ASIAGE, MUMEWE NDO KAMUWEZESHA.
Sista, unajua kunavitu mwanaume anafanya na jamii imekazia kuvifanya kana kwamba nisahihi lakini kwa mapana ni kama vile vinamshusha mwanaume mbele ya mwanamke ila unaambiwa ndio ndoa hiyo. Unaambiwa kuepusha majibizano wewe jifunze kubembeleza na kusema samahani kwa mkewe kwakuwa yeye hakosei hata kama yeye ndio mkosaji moja kwa moja. Pia tujifunze kuwa majukumu yote ya nyumbani yahusiyo pesa ni ya mwanaume hata kama mama anapesa zaidi ya baba ila ni wajibu wake baba kutunza mama na familia haijalishi situation yeyote ile, nahiki kitu bado kinaendelea na mnakipigania kisiishe kwelikweli. Ila hujamsikia mwanaume akilalamika kwenye public ceremonies au congregations maana ndiyo miiko yetu. Kitu kidogo hichi tu cha kutunza heshima ya mume mnakishindwa, seriously. Mahari ilikuwa kwa binti aliye bikra ila inaendelea mpaka sasa na mnakazania kwelikweli ila kutunza heshima mmeshindwa. Duh! Kwenye mambo mengi tu hutaki kuitwa partner bali mke ila kwenye hilo ndio unataka kuitwa partner. Ndoa kipindi hiki, inatatiza sana tena sana. Miiko mnaipenda ikiwa upande wenu bali ikiwa jukumu lenu mnaichukia na kuona mkandamizo. Haya, ngoja tuyaishi!Watu wajue mkioana sio mmoja awe mtumwa kila saa uombe ruhusa kaaa unatoa taarifa mbona ni vyema tu
Hivi yule aliyesema, "MWANAMKE AKIPEWA SAUTI, MAMLAKA...BASI MAMBO YAMEHARIBIKA...JAMII AU FAMILIA INAYOMPA UONGOZI MWANAMKE JAMII HIYO HAITOFANIKIWA KAMWE."
Hivi mnadhani yake yalidondoka bure...?
Maneno aliyotamka huo bibie ndio uhalisia wa ulimwengu wa Sasa....ndio mfumo ulioandaliwa ili kuuangusha uanamume Duniani....na huo mpango unaratibiwa na mashirika mbali mbali Duniani na fedha nyingi zinatumika kufanikisha Hilo Kwa kutumia NGOs mbali mbali......
Hizi ni nyakati ngumu sana kwa wanaume....ipo vita ya kimya kimya inayopiganwa ili kuondoa mfumo wa kiume Duniani.......
Mfumo huo unaanzia ngazi ya familia mpaka kwenye sheria za serikali......kila sehemu mwanaume amewekewa vikwazo na akisema ajitetee hata Kwa kuongea anaaambiwa anamkandamiza mwanamke.......
Matokeo yake Sasa hivi wanaume tumebakia wapweke hatuna pa kusema.....kisemeo chetu ni chupa za bia na pombe kali na kwenye mechi za ligi mbali mbali....huko ndiko ambako kidogo tunaweza walau kutabasamu.........
Kitu ambacho wanawake hawakijui ni kuwa hichi wanachokipigania ni ndio shimo lao la maangamizi.....muda utaongea....
Waume zao ndio wanapenda huo upuuzi. Kuna jamaa alioa binti wa Kiislam anajistiri safi lakini akawa hapendi na akawa anamnunulia vimini ili eti apendeze wenzake wamsifu kuwa na yeye ana mke mrembo.Ila samahanini sana hivi wenzangu inakuwaje unaoa mwanamke anavaa vinguo vifupi na kazi kubadilisha nywele daily? ...Vinguo mapaja yapo nje mwanamke kazi kujipodoa kila kitu bandia mapaka kucha mna moyo sana
Mshamba huyo ! Wavaa vimini wengi wanapigiwa miruzi mitaani kama mbwaWaume zao ndio wanapenda huo upuuzi. Kuna jamaa alioa binti wa Kiislam anajistiri safi lakini akawa hapendi na akawa anamnunulia vimini ili eti apendeze wenzake wamsifu kuwa na yeye ana mke mrembo.