Kuna wanaume wanatongoza vibaya! Kero mpaka vituko

Nikutongozee Uniombee helaa???[emoji23][emoji23][emoji15][emoji15][emoji15] Dawa ni kukwambia njoo geto unisalimiew bhasi ndo ushaliwaa hivyooo
Hahahahaha,hiyo ndo siipendi
 

Utashangaa hao wote walikugegeda mwishoni
 
Mbna vyote ulivyoelezea hapo kutongozwa,ss iv tume update mtongozo,masuala ya kuanza kutoa hotuba kama rais kila mwez huk lengo n moja tu kupata papuch n matumiz mabaya ya muda
 
Hapo siajabu hakukuvutia ukamuacha andezake kumbe nanyie huwa mnavunga
 
sasa kutaka gem kwani lazima akutongoze? kwa hyo wewe mpaka utongozwe ndo uvue pichu? inawezekana kakutamani tu anataka apige alaf apite hivi sasa unataka utongozwe ili iweje? wewe kama ukiitwa lodge na pesa ulishatumiwa ukaila we nenda tu
 
Hapo siajabu hakukuvutia ukamuacha andezake kumbe nanyie huwa mnavunga
Ndiyo mkuu, Tena katka watu wanao ongoza kuvunga Yani watu amba awapo really nice sisi wanaume trust me
 
Tatizo mkishatongozwa bila mbwembwe hizo mnaanza kulinga mara ooh mimi na mtu wangu mara sijui subir nijifikirie
Hizo sio mbwe mbwe ni visiki ambavyo unatakiwa kuwa na subira kuving'oa ili ufanikishe lengo lako.Lazima aupime msimamo wako na uvumilivu wako kwanza ajue kama kweli unampenda kwa dhati ndio akukubalie.
 
mkuu don't take it serious like that!
 
NAUZA HAPA DAWA ZA KUTONGOZA THS 500 uje na mia tano kamili
 
Kuna mmoja nilimpa tongozo akachomoa nikaachana nae kumbe alikuwa anataka kubembelezwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

mpuuzi mpuuzi tu
 
Kuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Wewe uko vizuri acha wanaosubiri aanze kuimbiwa njiwaaa. Kitu umeikuta tu hapo hukununua gharama ya kusafisha hata mia haizidi kwa sabuni ya magadi , ukiona muelekeo sio utoe
 
Yaan kwa umri wako mpaka sasa umepata mitongozo mi5 tuu, ??!!
 
Wanawake huwa mnapata vituko vingi sana kutoka kwa me sema hamna ushupavu wa kuvisema hapa sijui huwa mnaambiana wenyewe kwa wenyewe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…