Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutongoza niliachaga zamani sanaa aiseee...!! Ukikubali kuja geto aisee jua utato...mbwaa tu. Tena sio goli mojaaa ni za kutoshaaaaHahahahaha,hiyo ndo siipendi
Wanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli
Angalia hapa
1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa anakutumia pesa, hata bila kuomba unashtukia tu imethibitishwa,ukiuliza anakwambia nimekutumia tu,basi baada ya siku kadhaa anakwambia,nina hamu na wewe tukutane wapi ,au njoo Lodge Fulani au yaani hapo anataka gemu tu,unafikiria huyu mwanaume amenitongoza lini,D.D.D.D.D
2,Huyu mnakutana mnabadilishana namba,mnakuwa mnapiga stories za kawaida tu,siku moja anakuomba uende kwake kumsalimia,kufika anataka penzi,sasa unajiuliza umenitongoza lini yaani nachekaga wanaume wana mambo
3,Huyu yeye anaanza kukuita baby,sweet,love,mpenz,hata hajakutongoza,mwisho wa siku utakwambia njoo lodge fulani,unashangaa sasa huyu amenitongoza lini?
4,Huyu yeye anakutongoza na misifa juu,mara ajipigishe simu,anaulizia miradi,mara anauliza kuhusu gari lake ,hahahahaha,hapo anataka usikie alivyonavyo umkubalie mapema
5,Huyu yeye anakupenda,sijui anaogopa kukutongoza, anapenda sana kampani,kusindikizana njiani,baada ya siku kadhaa utasikia anawambia watu huyo ni dem wangu nilishakula zamani,hahahahaha yaani wanaume wanavituko jamani
Ongezea zingine.......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ukiona demu kakubali kuja geto jua ashajiandaaa... Wengi nakutaga wamenyoaa kabisa mamaee yupo safiiiSiji ng'oo
Hapo siajabu hakukuvutia ukamuacha andezake kumbe nanyie huwa mnavungaKuna mmoja alikuaga kanizidi kidogo umri kipindi iyo chuo, na mi ndo nilikua CR,
Basi bhana mi nikawa nimesha msoma matendo yake ila nikawa naogopa kujiongeza.
End of semester akaamuaga kunipigia na kunielezea hisia zake damn moyo ulipiga paah afu nikashindwa nimjibu nn[emoji3]
Ndiyo mkuu, Tena katka watu wanao ongoza kuvunga Yani watu amba awapo really nice sisi wanaume trust meHapo siajabu hakukuvutia ukamuacha andezake kumbe nanyie huwa mnavunga
Kumbee !!! Ila alijihisi vibaya kwa kutomjibu ungejaribu kuheshim hisia zake bwanaNdiyo mkuu, Tena katka watu wanao ongoza kuvunga Yani watu amba awapo really nice sisi wanaume trust me
Hizo sio mbwe mbwe ni visiki ambavyo unatakiwa kuwa na subira kuving'oa ili ufanikishe lengo lako.Lazima aupime msimamo wako na uvumilivu wako kwanza ajue kama kweli unampenda kwa dhati ndio akukubalie.Tatizo mkishatongozwa bila mbwembwe hizo mnaanza kulinga mara ooh mimi na mtu wangu mara sijui subir nijifikirie
Mama mambo ni mengi muda mchache, kutongoza tongoza kunarudisha maendeleo nyuma.
mkuu don't take it serious like that!HATUHITAJI KUWATONGOZA, MAVAZI YENU NA NJAA ZENU ZINAONYESHA KABISA MLIVYO MALAYA.
MNASHINDIA KUVAA VISURUARI VYA KUBANA, MARA SIJUI VISKIN TIGHT, MARA MNATUACHIA MATITI NJE, KUJICHEKESHA NA KUOMBA VOCHA PAMOJA NA OUTING HAZIISHI.
MALIPO YENU NI KUWAGEGEDA, KUWAPA MIMBA AU UKIMWI, MTULELE HAO WATOTO HUKU MKIITWA NA KUJIITA SINGLE MOTHERS, WAKIKUA TUTAKUJA KUWACHUKUA WATOTO WETU!.
Wewe uko vizuri acha wanaosubiri aanze kuimbiwa njiwaaa. Kitu umeikuta tu hapo hukununua gharama ya kusafisha hata mia haizidi kwa sabuni ya magadi , ukiona muelekeo sio utoeKuna mmoja nilienda kusalimia kwake nikachelewa kurud ikabid nilale kwake ilipofika asubuh nikashangaa tunagegedana sijui hata alinitongoza saa ngapi?
Kele na matingo nungwe.
Wanawake huwa mnapata vituko vingi sana kutoka kwa me sema hamna ushupavu wa kuvisema hapa sijui huwa mnaambiana wenyewe kwa wenyewe tu.Kuna uyo dokta wa hospitali flani,alitokea kunisaidia tu,na kuwa ananijulia hali naendeleaje,mara honey unaendeleaje,mara mpenzi Mara mke wangu...mm nikawa napotezea tu...sasa kuna siku nilikuwa narudi kwenye vipimo nikamwambia nakuja na mama,
Sasa Hapo Ndo Alinishangaza na kunivunja mbavu maana aliniambia
"Sawa Lkn Usimwambie Mama Kuhusu Mahusiano Yetu"
Nilibaki Najiuliza Huyu Nae Kanitongoza Lini,Wanaume kwa Kujibebisha!!! Muwe Mnafunguka Acheni Kujirahisishia....