Minah24
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 1,043
- 1,937
Kabisaaa!!![emoji1] [emoji1] kwan zinaongeza mvuto mamah
Zinanipaga wenge hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa!!![emoji1] [emoji1] kwan zinaongeza mvuto mamah
Mi ninazo ila machoni angalia avatar yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Tupo wengi
Kama wanaume wanavyogeuka wakipisha na mdada mwenye chura namm nikipisha na mkaka mwenye dimpoz naeza gongwa hata na gari
Hahaaaa best umenichekesha hatariHahaaa. Best Umefanya nione aibu lol. [emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]very hatarious my friend!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Cheka tu best.Hahaaaa best umenichekesha hatari
Huyu nimekutana nae Jana kelele humu JF tu, ana aibu Huyu, nimemshika mkono namwambia mi zombi wa JF anarembua tu na kutazama chini.Hunifikiii mm yan namwangalia mpaka basiii mapigo ya moyo yanaongezekaaaa
Duh !!! si kwa majibu hayo [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Kwan kuna mtu ananibebea kitumbua wallah
Asante kwa povuuuuuuu nimelipata nitafulia vyup vilivyotoboka
Uyo cmpendag japokuwa dimpoz anazoOmari au
Khaaaa hongera tu baasi, nikajua ndo unanifuata pyemhahaha basi hongera!
Naona mindevu tu apo na makengezaMi ninazo ila machoni angalia avatar yangu
Aaah hapo sawa nilidhani unatuponda sisi wenye sura mbaya kana kwamba wewe ni sura nzuri wakati we ulifanana na baba yako[emoji1] [emoji1]Kama nyie mnavyosifiaga vizur
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
Angalia vizuri,wanawake makini ndio wanaona. Siamini Kama wewe pia hujaona. Nakuaminia.Naona mindevu tu apo na makengeza
Ukiona hivyo wanapenda mahandsome ina maana wanaume wabaya mpaka wawe na wallet iliayononaNahisi ukakasi asee! Mie huwa siwaelewi hii jinsia huwa inataka Nn?? Pesa, dushe kubwa, kibamia, uhandsome, sura ya kazi au kitu gani sijui huko!! Maana niliwahi kukutana na mademu kadhaa wakawa wanasema madume wanaowataka wao ni wale wenye sura ngumu Ila wallet zao ziwe laini kuliko pamba!
Hahaaa kivuruge Mungu anakuonaSasa kivuruge ndo nipo Dodoma yan nawasubir wanaume wa dar wanaohamishwa na mkulu waje tuwakaribishe