Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Huyu nimekutana nae Jana kelele humu JF tu, ana aibu Huyu, nimemshika mkono namwambia mi zombi wa JF anarembua tu na kutazama chini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ana maneno mengi humu tu?
 
'Mwanaume ni sharti amvutie mwanamke' mwisho wa kunukuu
Kweli kabisa ukitaka uishinkwa raha na mwanamke awe amekupenda tu mbon autaona hii dunia yakooo

Mwanamke akikupendea kitu aisee sikunkikiiisha atakukimbia balaaaa
 
Huyu nimekutana nae Jana kelele humu JF tu, ana aibu Huyu, nimemshika mkono namwambia mi zombi wa JF anarembua tu na kutazama chini.
Mxeeeew zako nakwambia wewe ndo ulitetemeka na lisura lako libayaaa kama speaker za club
 
Aiseeeeeeh !

Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (Wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam.

Yan mwanaume amebarikiwa jaman
Ngozi nyeus ya kuvutia kama chocolate
Macho ya kimahaba
Kifua mashalaaaah
[emoji216]wa wastan na kuteleza
Tabasamu lake sasa uwiiiiii
Akiwa kitandan ndo hata usiulize
Anapendeza pamba balaaa

d5aa344880d41810f9db16b87598e517.jpg


Jaman na hii barid kwa kweli unaweza hata usihisi njaaa ukiwa na mwanaume kama huyuuu maana yeye ni shibe tosha.
Wanaume wazur wanafanana na chakula kizur ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.

Nyongeza:

Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesaa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.
[emoji377][emoji377][emoji377][emoji377][emoji377]

Demiss(cha mdeko)
.
4558fdba5fffaf2f54d4ddb7326105b8.jpg
 
Naona mindevu tu apo na makengeza
Yan ana makengeza akiona mtoto mzur unaweza kuhisi amuangaliii kumbe anazungusha kengeza lake kama mshale wa saaaaa

[emoji377][emoji377][emoji377]siachi
 
Aaah hapo sawa nilidhani unatuponda sisi wenye sura mbaya kana kwamba wewe ni sura nzuri wakati we ulifanana na baba yako[emoji1] [emoji1]
Mm nitajijuaje kama mzuri sasa si mpaka nisifiwe na yule atakayeniona

Mm huyo kwangu ndo handsome ndo maana nimemsifia
 
Najua umevutiwa na kifua na hilo body la fuso..... ila nikitokea mimi hapa na body langu la Passo na vihela vyangu utanifata......
 
Hahaaa kivuruge Mungu anakuona
Ananiona sio kidogo haka kamji kadogo wakinikamata

[emoji125][emoji125][emoji125]watanikeketaaaa kitumbua waallahh



Ooooo my papuyeeee jaman

[emoji377][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mxeeeew zako nakwambia wewe ndo ulitetemeka na lisura lako libayaaa kama speaker za club
Napendaga Sana nikimnyong'onyesha mdada machachari. Wakilainika Hawa maneno yakiisha wanakuwa very erotic.asiwatishe humu, nilivyomuona Jana first glance, Nico wale ukimwingiza room huyu, analalamikia puani tu,"jamani, we mbona hivyo, usinishike hivyo,halafu usiniangalie machoni Kwa mda mrefu hivyo".
 
Back
Top Bottom