Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Mie sijambo mdogo wangu Kipenzi ila leo dada yako kawa tofauti kabisa na wewe mdogo wake. [emoji8]

Yeye anapenda wale wanaokaa mwezi hata kioo hawakijui kinafananaje. Teh. [emoji85] [emoji85]
Najua dada ipo siku nitawasifia na hao

Nahisi siku hiyo watanipa zawadi ya chocolate
 
Uzuri wa mwanaume ni mapenzi ya dhati kwa mkewe ,kuwajibika kiuchumi na kifamilia, kuwa kiongozi wa familia mwenye msimamo thabiti na mwenye hofu ya Mungu na siyo sura
Pamoja mkuuu kunywa sodaa nakuja kulipa
 
Mambo ni km hv
384352746046f36ab82e5a2a925e9709.jpg
Nyam nyam nyam nyam
 
Back
Top Bottom