Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Usijali nitampatia la kumtosha tu ajue hao wa hivyo ni wazuri kuwaangalia tu kwenye picha ila nje la hapo ni wasumbufu hatari.Mpe darasa mdg wako,na hao wanaume warembo wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Usijali nitampatia la kumtosha tu ajue hao wa hivyo ni wazuri kuwaangalia tu kwenye picha ila nje la hapo ni wasumbufu hatari.Mpe darasa mdg wako,na hao wanaume warembo wake
Wewe mbona ni mwanamke ila una sura mbaya ila tunavumilia tu? Wanaume tunaona mengi mbonaLipia kwanza nauli
Sawa pamoja sana mkuuu nimekusomaHii inaashilia nini?
Biashara......kujitangaza?
Kutafuta mchumba......je sura pekee inatosha kutafsiri uzuri? Umbile!
Kujiuza......unaposifia nakujisifia kupendapenda!
Tamaa hizi ndizo zinawaponza Dada zangu kutumika nakila shape, size na mwishowe mnabakia wasimbe na mnakuja shituka mmezeeka kila mmoja anakukimbia....maana umefubaazwa na kuzeeshwa kwa mitwango na mitwalingo ya wagegedaji matapeli
Hizi ni sura za wanaume tapeli wa mapenzi kama ilivyo kwa asilimia kubwa ya wanawake wenye uzuri bandia was dukani.
Naenda kumuona MTU narudiLeo weekend huko pori unafanya nn njoo nikukuleee huku kama chipsy kuku
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]nakusalimu dadaHahahaa. Duuh.
Mie naona mwanaume akiwa anajua ule uwanaume wake na kusimama kama mwanaume tu ndio uzuri huo hayo mengine ndio mwanzo wa kuanza kugombania kioo. Akaaaa.
Mwanaume awe wa kawaida tu inatosha.
Hahahaha...[emoji23] [emoji23] ukumbuke leo jumapili eeMm sibishanagi na watu wa mahesabu atajua wapi kubembeleza mpnz watu kama hawa kutwa kwenda kwa wanasaikolojia kutafuta solution anipishe hapa
Usimuone hivyo huwa anapita kimya kimya kusoma mada zangu leo atakuwa kavutaaa hiii[emoji377][emoji377][emoji377]kaamua kucoment
Akwendeee na Forex lake
Hahaaa nafaa bana, ujue nina dimpoz[emoji4] [emoji4] [emoji4]hhahahaha sikumaanisha wewe !hhahah haya pokea zangu sifa kama' unafaa'
Mie sijambo mdogo wangu Kipenzi ila leo dada yako kawa tofauti kabisa na wewe mdogo wake. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]nakusalimu dada
Nimewavumilia nimeshindwa wallahDemiss ujue Mungu anakuona Ww[emoji23][emoji23][emoji23] yani Niko church nikasema hebu nichungilie jf kidogo dooh....hahahaha haya bhana ila wengine tunapenda kama akina wasira na remmy ongala
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125]Hahahaaa. Na hao wa hivyo sidhani hata kama ile shughuli yetu wanaiweza kisawa sawa. Teh. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
[emoji16][emoji16][emoji16]aisee dada umejua kunichekesha hakuna mama wala baba wote wasweeetyHahahaa. Na kweli aisee. Hizo sura nzuri watuachie sie Ke.
Sababu mwisho wa siku mkikaa hakuna tofauti kati ya Baba na Mama sababu wote nyuso zina poda kama nyusi wote mmetinda. Khaaaa. Ndio nini sasa.
Hahaaa. Best Umefanya nione aibu lol. [emoji85] [emoji85][emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji125] [emoji125]