Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kweli tumetofautiana mtoa posti anaapenda wanaume wazuri. Kidume hapa nikikutana na demu ana sura ngumu tena awe na machunusi kama limao huwa niko taabani tena awe na shape kama PAPAI ananimaliza kabisa si mchezo.
 
Aiseeeeeeh !

Kuna wanaume wamebarikiwa hapa duniani mpaka unajiuliza angekuwa chips kuku (Wadada tunapenda ) ningekuwa namuagiza kila siku namla huyu nyam nyam.

Yan mwanaume amebarikiwa jaman
Ngozi nyeus ya kuvutia kama chocolate
Macho ya kimahaba
Kifua mashalaaaah
[emoji216]wa wastan na kuteleza
Tabasamu lake sasa uwiiiiii
Akiwa kitandan ndo hata usiulize
Anapendeza pamba balaaa

d5aa344880d41810f9db16b87598e517.jpg


Jaman na hii barid kwa kweli unaweza hata usihisi njaaa ukiwa na mwanaume kama huyuuu maana yeye ni shibe tosha.
Wanaume wazur wanafanana na chakula kizur ninachopenda kula maana anavutia mpaka mapigo ya moyo yanaenda kasi speed 120 kwa saa.

Nyongeza:

Mwanaume ukiwa na msura mbaya uwe na pesaa alafu usiwe na wivu maana sura lako linatisha kama mchawi karaba.
[emoji377][emoji377][emoji377][emoji377][emoji377]

Demiss(cha mdeko)
Hii hali ya hewa tutaona mengi......
 
Kweli tumetofautiana mtoa posti anaapenda wanaume wazuri. Kidume hapa nikikutana na demu ana sura ngumu tena awe na machunusi kama limao huwa niko taabani tena awe na shape kama PAPAI ananimaliza kabisa si mchezo.


atleast jaman nasi tupendwe
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] asante kwa kutia moyo
Goodmorning
Hahahaaa. Na hao wa hivyo kitanzania Tanzania ni wachache mno tena wengi wao ni wale wanamitindo au wasanii..

Ila hawa wanaume wetu wa kweli walio wengi wako busy kupambana na maisha hivyo muda wa kuanza kupiga picha kwa kulegeza macho na kung'ata midomo hata hawana.
 
Kila siku mnalia nakulalama Dada zangu.

Wanaume wasikuhizi wanapanda na kushuka kisha wanatokomea

Kwasababu mnavamia makondakita wa mapenzi


Kila daladala anarukia kupiga debe (handsome).....akimaliza anarukia jengine(wadada wanaotamani kurukiwarukiwa) si madalala yamejaa vituoni bure kusubiria makonda watanashati

Tafuta fundi mechanics wa maengine ya magari amejaaa grease mchafuu.....pesa mwake na kitandani akikutia mikononi kama umebanwa na vice fully strong kuanzia kifuani mpaka mtalimbo wake misuli imekaza anakupa chakula akikuachia ameshibishwa) wala hakuachi mnadum


Hao wapaka rangi ni sura tu......kindani mnajuwa wenyewe.....maana makeup mnafanya wote tofauti hakuna ....muda wore mnabadilishana kwenye kioo kujitazama.....sasa wote mnataka kupendwa hata huyo Dume wako anataka apendwe na madume wenzake......yeye apandwe akija kwako akupande!!!!!!! Nyote mnapandwa?
 
Hahahaaa. Na hao wa hivyo kitanzania Tanzania ni wachache mno tena wengi wao ni wale wanamitindo au wasanii..

Ila hawa wanaume wetu wa kweli walio wengi wako busy kupambana na maisha hivyo muda wa kuanza kupiga picha na kulegeza macho hata hawana.
Haha kweli
 
Back
Top Bottom