Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Usiache nakuletea zingine
Unileteee utanikuta chadulu uswahilin au aiport ndo chimbo letuuuuu

[emoji377][emoji377][emoji377][emoji377]ingekuwa mirungi ningesema nimepata handasiiiiii ya Machali ya chugaaaa
 
Mtoe huyo mwanao hapo kwenye avatar maana ningekupa povu mwenyewe ungekimbia chooon kuhara

Muone sura mbaya kama tako langu lililokataaa cream mxeeeew
Usijali ukihitaj picha zaid 0656339154,na kuhusu tako lako tiba ninayo
 
Hii inaashilia nini?

Biashara......kujitangaza?

Kutafuta mchumba......je sura pekee inatosha kutafsiri uzuri? Umbile!

Kujiuza......unaposifia nakujisifia kupendapenda!

Tamaa hizi ndizo zinawaponza Dada zangu kutumika nakila shape, size na mwishowe mnabakia wasimbe na mnakuja shituka mmezeeka kila mmoja anakukimbia....maana umefubaazwa na kuzeeshwa kwa mitwango na mitwalingo ya wagegedaji matapeli

Hizi ni sura za wanaume tapeli wa mapenzi kama ilivyo kwa asilimia kubwa ya wanawake wenye uzuri bandia was dukani.
 
Kuna mdau hapa aliwahi kumwita Gujike nafikiri story zao zero nafanana na yule mwingine anejiita Gudume
 
Hahahaa. Duuh.

Mie naona mwanaume akiwa anajua ule uwanaume wake na kusimama kama mwanaume tu ndio uzuri huo hayo mengine ndio mwanzo wa kuanza kugombania kioo. Akaaaa.

Mwanaume awe wa kawaida tu inatosha.
 
Safi kabisa ngja nikuweke hapa
f2fc8674bfd78ddc61026c7706dac1cf.jpg


Wewe ni msweeety
Mmh usinilinganishe na watu wa hivi, nipo zaidi ya unavyofikiria na ukiniona utataka kunila
 
Demiss ujue Mungu anakuona Ww[emoji23][emoji23][emoji23] yani Niko church nikasema hebu nichungilie jf kidogo dooh....hahahaha haya bhana ila wengine tunapenda kama akina wasira na remmy ongala
Hahahaaaaaa. Mie pia hao wanaume warembo hawajawahi nivutia raha ya mwanaume awe na sura ya kiume bana. Teh.
 
Hahahaa. Duuh.

Mie naona mwanaume akiwa anajua ule uwanaume wake na kusimama kama mwanaume tu ndio uzuri huo hayo mengine ndio mwanzo wa kuanza kugombania kioo. Akaaaa.

Mwanaume awe wa kawaida tu inatosha.
We uko sahii ila haya anayotaka mwenzio, ndio maana dar kule vidume vingi vinajipodoa na kuvaa vinguo vya kubana,mwisho vinapigwa mjengo
 
sasa jee,siku akinuna kweli nyumbani mnajua baba kanuna leo hacheki na mtu sio hujui akiwa na hasira au amefurahi muda wote yuko yoriyori....hahahahha mwanaume machine buana[emoji13]
Hahahaa. Na kweli aisee. Hizo sura nzuri watuachie sie Ke.

Sababu mwisho wa siku mkikaa hakuna tofauti kati ya Baba na Mama sababu wote nyuso zina poda kama nyusi wote mmetinda. Khaaaa. Ndio nini sasa.
 
wewe mwenyew una chura? K kavu au kama bawa la mtera ? tait au kma lambo
 
Hii inaashilia nini?

Biashara......kujitangaza?

Kutafuta mchumba......je sura pekee inatosha kutafsiri uzuri? Umbile!

Kujiuza......unaposifia nakujisifia kupendapenda!

Tamaa hizi ndizo zinawaponza Dada zangu kutumika nakila shape, size na mwishowe mnabakia wasimbe na mnakuja shituka mmezeeka kila mmoja anakukimbia....maana umefubaazwa na kuzeeshwa kwa mitwango na mitwalingo ya wagegedaji matapeli

Hizi ni sura za wanaume tapeli wa mapenzi kama ilivyo kwa asilimia kubwa ya wanawake wenye uzuri bandia was dukani.
Hahahaaa. Na hao wa hivyo sidhani hata kama ile shughuli yetu wanaiweza kisawa sawa. Teh. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Kwenye mihangaiko ya hapa na pale,niliwahi kukutana na mshikaji flani hivi ni mzaliwa wa tanga huyu jamaa alikuwa mzuri kupita kiasi yaani mzuri hasa ukitizama passpot yake unaweza sema mwanamke lips za kike macho ya kike.
Note:sijamsifia wala sitamani wanaume wenzangu ila najaribu kueleza muonekano wake ili nieleweke

Huyu jamaa alitokea kuwa rafk angu sana alikuwa ananikubali kupita kiasi most of the time alikuwa anapenda kunitumia sms "anaandika jina langu then mwishoni anamalizia na i adore you"mala kibao sana alikuwa anapenda kunitumia hiyo sms dah nilikuwa najiuliza ila nachukulia poa coz nimshikaji nasema haina noma.
Tulikuwa kwenye taasisi flani hivi,na maanisha tulikuwa wengi sana lile eneo ikafika kipindi washikaji wa pembeni wakaanza kuhoji urafk wetu,kwa pembeni mala inakuwaje hapa mbona hawa jamaa marafk sana na urafk wao siuelewagi,kiukweli nikuja sikia tetesi flani flani kwa pembeni na sikuzipenda niliona kama wanatuchora na wanamfikiria vibaya mshikaji wangu,
Huyu jamaa alikuwa ananijali vibaya mno,sometimes akienda deti lazima aje na zawadi kwajili yangu,lazima kila ucku aje aniage kwamba nd anaenda lala hivo,lazima kila asubuh aniulize how do you fel this morning,umeotaje,umeakaje,mchana mwingi alikuwa anaenda kuninunulia msosi,ikafika kipindi nikajishtukia ikanibidi nifanye kama namjali na mimi kiasi flani hivi japo niliona anavuka mipaka,

Hazikupita siku nyingi alichokuja kunifungukia dah,sikuamini masikio yangu,na urafiki ukafa ila mpaka leo huyu jamaa ananitafuta mala kibao japo me sina time nae,

Namaliza kwa kusema wanaume wazuri wanashida sana,tena shida kubwa mno hivyo si vyema kuwa karibu nao,wana mabalaa hawa.
 
Back
Top Bottom