Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

Kuna wanaume wazuri yani mpaka unatamani kumla kama chakula

mmh wanaume wenye sura nzuri wanaringa kivipi kwamfano? Minah24
Mfano mdogo kabisa ni siku mnatoka, mtaingia mahali mmekaa muagize kitu ataanza kusema wahudumu wa hapo wachafu tuondoke(hii haikuwa ckunyingi sana alafu wadada wawatu hawakua wachafu Ila makeup zao zilikuwa kituko, akasema ni uchafu jamaniiii ikabid tuondoke) mengine niachie mm mwenyewe.
 
Mara ya mwisho lini kupigwa dudu inaonekana una ham sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Tupo wengi
Kama wanaume wanavyogeuka wakipisha na mdada mwenye chura namm nikipisha na mkaka mwenye dimpoz naeza gongwa hata na gari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wengi wa hivyo wanakuwaga wametatuliwa linda, nahis hata hapo amekaa akisubil atatuliwe linda

Sio kila kinyaacho ni dhahabu

Afu acha kuita wanaume wana sura mbaya wewe siyo Muumba

LONDON BOY
Mbona nyie mnasema sisi tunaflat screen kwan nyie ndo mungu
[emoji377][emoji377][emoji377][emoji377]bangi siachi
 
Back
Top Bottom