Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahah kumbeMkuu nilimaanisha mwisho wa andiko lake[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hakuna kitu kinanikela kama mwanamke kumsifia mwanaume mwenzangu kama hivi .....mahandsome tupo tena zaid ya huyo
Acha kabisaaakumbe nawe unawajua!
Acha kabisaaa
Kwenye sifa alizoweka Demiss kwangu inaongezeka dimpoz..
Yaaan dimpoz ugonjwa wangu kabisa
Mfano mdogo kabisa ni siku mnatoka, mtaingia mahali mmekaa muagize kitu ataanza kusema wahudumu wa hapo wachafu tuondoke(hii haikuwa ckunyingi sana alafu wadada wawatu hawakua wachafu Ila makeup zao zilikuwa kituko, akasema ni uchafu jamaniiii ikabid tuondoke) mengine niachie mm mwenyewe.mmh wanaume wenye sura nzuri wanaringa kivipi kwamfano? Minah24
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie had kesho napenda men wenye dimpozi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Tupo wengi
Kama wanaume wanavyogeuka wakipisha na mdada mwenye chura namm nikipisha na mkaka mwenye dimpoz naeza gongwa hata na gari
Ukiwasifia ndo wanazidisha nyodo, usiwe unawasifia sana shoga ake!haaaahhh mie niliwah kuwa naye nillikua namwambia daily eti ananuna! hakuwa akitaka kusifiwa kisa yy men!!lols
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Tupo wengi
Kama wanaume wanavyogeuka wakipisha na mdada mwenye chura namm nikipisha na mkaka mwenye dimpoz naeza gongwa hata na gari
Mbona nyie mnasema sisi tunaflat screen kwan nyie ndo munguWengi wa hivyo wanakuwaga wametatuliwa linda, nahis hata hapo amekaa akisubil atatuliwe linda
Sio kila kinyaacho ni dhahabu
Afu acha kuita wanaume wana sura mbaya wewe siyo Muumba
LONDON BOY
Ukiwasifia ndo wanazidisha nyodo, usiwe unawasifia sana shoga ake!